happy birthday

  1. ngara23

    JamiiForums Tanzania Happy birthday Joseph Minala, leo anatimiza miaka 28

    Sikia kisa cha Joseph Minala kiungo raia wa Cameroon aliwahi kukutana na changamoto ya kuhisiwa kudanganya umri wakati huo ambao alikuwa anadai kuwa na umri wa miaka 17. Vyombo vya habari vya Italia vilidai kwamba wakati huo alikuwa na umri wa miaka 42 na sio 17 kama ambavyo anasema Mchezaji...
  2. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday Madaraka Nyerere

    Leo Madaraka anatimiza miaka 64. Ni mtoto wa mwisho wa Mwalimu Nyerere ( now that Rose Nyerere has passed away). Madaraka amesoma Banking, Italy na Canada. Madaraka ana predilection for going to Uhuru Peak,( Uhuru Peak,that is the summit of Mount Kilimanjaro).
  3. m2peace

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday to Me

    LEO NIMEZALIWA
  4. Leejay49

    JamiiForums Tanzania Happy birthday to me

    Signed out forever
  5. Mahondaw

    JamiiForums Tanzania Happy birthday Smart911

    Wishing you a birthday as perfect as you are for me. Your day is as special as you are! May your birthday be as unforgettable as you are every day. Here's to another year of good health and happiness. May you have all the love your heart can hold, all the happiness a day can bring, and all...
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke atumia meseji za Mume wake na Mchepuko kuandaa keki ya Birthday

    Ungekuwa wewe ungefanya nini kama mwanaume, chhkulia ni mbele za watu. Tena mkeo unamuita stupid mbele kwa mchepuko.
  7. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday to you

    Ni siku mpya hii, pia kwa ndugu wengine ni siku muhimu ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwao. Kama umezaliwa siku kama ya leo tujuze basi maana sisi ni familia. Japo hatuwezi kukumwagia maji, tutakupa wishes, ambazo pia zitaweza kukumotivate, na kufanya siku yako iwe njema na uifurahie zaidi...
  8. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Happy birthday Innocent Bashungwa, kwanini baadhi ya viongozi hutenguliwa ghafla!

    Bwana Inno alivyokataa Bilioni 5 za Hayati kwenye miaka ya 2018 Alitokea mfanyabiashara mmoja alimfuata Bwana Inno ofisini pale Wizara ya Biashara, na alifika pale akaanza kumshawishi ili amkubalie ombi lake la kwenda kumuombea kibali cha kuagiza sukari kutoka nje kwa sababu wakati huo SHUGA...
  9. Mjanja M1

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kuokolewa na Tukio la Happy Birthday to you?

  10. excel

    JamiiForums Tanzania Happy birthday Admin wa Mashujaa FC

    Huyu jamaa ndie mbunifu mkuu na admin wa wazee wa mapigo na mwendo. namkubali sana kwa sanaa yake katika Page za Mashujaa FC, wazes wa mapigo na mwendo
  11. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday to me, kwaheri ujana. Sasa ni muda wa busara za kiutu uzima

    HAPPY BIRTHDAY TO ME. KWA KHERI UJANA. SASA NI MUDA WA BUSARA ZA KIUTU UZIMA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Namshukuru Mungu. Leo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwangu. Nikiwa nimetimiza Rasmi miongo mitatu kamili(miaka 30). Nimejifunza mengi. Nimefanya mengi kwa muda huo. Namshukuru...
  12. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday Floyd Mayweather

    Leo ni kumbukumbu ya mfanano wa siku ya kuzaliwa ya bondia tajiri zaidi duniani ambaye si mwingine bali ni Floyd Mayweather Jr wengi wanapenda kumuita The Money May. Floyd Jr baba yake mzazi anaitwa Floyd Mayweather Sr ambaye alikuwa pia bondia na mama yake Deborah Sinclair alikuwa ni mhasibu...
  13. Wimbo

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday Madamu Samia Suluhu Hasani

    Nianze kwa shukrani , nimshukuru Rabuka, Yeye ni mwenye auni, tena mwingi wa baraka, Nguvuze zapita kani, haziwezi elezeka, HONGERA MAMA SAMIA 63 KUTIMIZA. Mengi alikujalia , wete tumeshuhudia vema umesimamia, kwa upendo kadilia, sifa Tunampatia, Muumba wa hidunia, HONGERA MAMA...
  14. Intelligent businessman

    JamiiForums Tanzania Happy birthday to me Intelli, I mean no malice to anybody

    December 31 I was finally birthed, it was time for me to find what is this planet worth. Jamaa home where I got my sernity first, you can say, this is where I was handled my bless. I have been hustling since a kid and iam so talented based, it was like a game to me, I never knew hustling paid...
  15. Stroke

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday to me Next week i am turning another decade

    Wakuu, Next week! That is Next year!! It's very very big for me. Natimiza muongo mwingine. I am so happy I feel so blessed! Much love.
  16. Anna Mwaigomole

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday Dada Mkubwa Heaven Sent!

    Naamini hunijui. Na mimi nakiri kuwa sikujui. Hatujuani! Lakini zamani wakati sijajiunga JF ulikuwa unaandika sana hasa kuhusu ushauri wa kimahusiano, malezi ya watoto, familia, mambo ya kiroho; na maisha kwa ujumla. Mwaka 2018 au 2017 (sikumbuki vizuri), nilisoma comment yako moja hivi...
  17. Mahondaw

    JamiiForums Tanzania Happy birthday cocastic

    The day is finally here shostie. Have loads of fun and more happy days of joy . Let your life be filled with health love strength success and passion. Wish you more years of happiness and wonderful experience cocastic . Happy birthday cocastic
  18. Msanii

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Happy Birthday Msanii🌷🌼🌻, lakini unanikera aisee

    Happy birthday kwako (kwangu) Msanii Leo umetimiza miaka kadhaa tangu uanze kupumua juu ya ardhi hii ya wadudi. Natumaini umejifunza mengi na kuona mengi kwenye dunia hii hii ambayo ni nzuri kwa wachache na shubiri kwa wengi. Ombi lako (as birthday wish) kwa uongozi wa JamiiForums kwamba...
  19. Fabian Vitus

    JamiiForums Tanzania Happy birthady

    Kwanza kabisa nashukuru Mungu kwa kuendelea kunipa zawadi hii ya uhai maana Sina cha kumlipa zaid ya maombi na Sala kwake🙏🙏 ✍️Kama Uzi unavyojieleza kama WWE ni mmoja wapo umezaliwa tarehe kama hii Mwezi kama huu Mwaka kila mtu anajua wake naomba tujipigie makofi Maana Mungu Ameweza kutufikisha...
  20. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday. Leo ni birth day ya Dr. Slaa.

    Leo ni birth day ya Dr Slaa. Nimeona katika internet. Ingawa yeye alitamka October 28 ndiyo birth day yake. Namtakia Dr. Slaa afya njema na mambo yote mema;yeye,familia yake na rafiki zake.
Back
Top Bottom