Chawa wa lumumbashi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 793
- 1,749
Nimezaliwa familia ya kishua sana tena sana yaani mimi kwa sasa kumiliki bilioni kadhaa kwenye akauti kwenye akauti yangu is not big issue naenda London kama wewe unavyoenda huko kwenu kwa mtogole au unavyoenda kwenu maganzo au unavyoenda huko kwenu maji kuinama ukienda na mabasi yanayovuja huko
Nimezaliwa Aghakhan miaka 30 iliyopita je wewe umezaliwa nyumbani au kwenye dispensary? Pole sana nimeishi na kukulia upanga wewe umekulia wapi? Pole sana kwa hayo maisha yako ya kishindia mihogo na uji au mchembe hahahaha
Karibu nyote tuparty pale nyumbani lounge vyakula vyote vitakuwepo tafadhali kama unataka kuja please ni pm maaan unaweza kufukuzwa kama Mbwa wa kinondoni msikitini! Pole sana
Now I have billion of money kwenye account kuanzia Nmb,Absa, CRDB,BOA mpaka standard chartered na pia kama utakuwa na shida ya hela karibuni sana
" Happy birthday to me tajiri,majanja,billionaire na deep state"
Nimezaliwa Aghakhan miaka 30 iliyopita je wewe umezaliwa nyumbani au kwenye dispensary? Pole sana nimeishi na kukulia upanga wewe umekulia wapi? Pole sana kwa hayo maisha yako ya kishindia mihogo na uji au mchembe hahahaha
Karibu nyote tuparty pale nyumbani lounge vyakula vyote vitakuwepo tafadhali kama unataka kuja please ni pm maaan unaweza kufukuzwa kama Mbwa wa kinondoni msikitini! Pole sana
Now I have billion of money kwenye account kuanzia Nmb,Absa, CRDB,BOA mpaka standard chartered na pia kama utakuwa na shida ya hela karibuni sana
" Happy birthday to me tajiri,majanja,billionaire na deep state"