Huyu jamaa ndie mbunifu mkuu na admin wa wazee wa mapigo na mwendo.
namkubali sana kwa sanaa yake katika Page za Mashujaa FC, wazes wa mapigo na mwendo
HAPPY BIRTHDAY TO ME. KWA KHERI UJANA. SASA NI MUDA WA BUSARA ZA KIUTU UZIMA.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Namshukuru Mungu. Leo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwangu. Nikiwa nimetimiza Rasmi miongo mitatu kamili(miaka 30). Nimejifunza mengi. Nimefanya mengi kwa muda huo.
Namshukuru...
Leo ni kumbukumbu ya mfanano wa siku ya kuzaliwa ya bondia tajiri zaidi duniani ambaye si mwingine bali ni Floyd Mayweather Jr wengi wanapenda kumuita The Money May.
Floyd Jr baba yake mzazi anaitwa Floyd Mayweather Sr ambaye alikuwa pia bondia na mama yake Deborah Sinclair alikuwa ni mhasibu...
Nianze kwa shukrani , nimshukuru Rabuka,
Yeye ni mwenye auni, tena mwingi wa baraka,
Nguvuze zapita kani, haziwezi elezeka,
HONGERA MAMA SAMIA 63 KUTIMIZA.
Mengi alikujalia , wete tumeshuhudia
vema umesimamia, kwa upendo kadilia,
sifa Tunampatia, Muumba wa hidunia,
HONGERA MAMA...
December 31 I was finally birthed, it was time for me to find what is this planet worth.
Jamaa home where I got my sernity first, you can say, this is where I was handled my bless.
I have been hustling since a kid and iam so talented based, it was like a game to me, I never knew hustling paid...
Naamini hunijui. Na mimi nakiri kuwa sikujui. Hatujuani! Lakini zamani wakati sijajiunga JF ulikuwa unaandika sana hasa kuhusu ushauri wa kimahusiano, malezi ya watoto, familia, mambo ya kiroho; na maisha kwa ujumla.
Mwaka 2018 au 2017 (sikumbuki vizuri), nilisoma comment yako moja hivi...
The day is finally here shostie. Have loads of fun and more happy days of joy .
Let your life be filled with health love strength success and passion.
Wish you more years of happiness and wonderful experience cocastic .
Happy birthday cocastic
Happy birthday kwako (kwangu) Msanii
Leo umetimiza miaka kadhaa tangu uanze kupumua juu ya ardhi hii ya wadudi. Natumaini umejifunza mengi na kuona mengi kwenye dunia hii hii ambayo ni nzuri kwa wachache na shubiri kwa wengi.
Ombi lako (as birthday wish) kwa uongozi wa JamiiForums kwamba...
Kwanza kabisa nashukuru Mungu kwa kuendelea kunipa zawadi hii ya uhai maana Sina cha kumlipa zaid ya maombi na Sala kwake🙏🙏
✍️Kama Uzi unavyojieleza kama WWE ni mmoja wapo umezaliwa tarehe kama hii Mwezi kama huu Mwaka kila mtu anajua wake naomba tujipigie makofi Maana Mungu Ameweza kutufikisha...
Leo ni birth day ya Dr Slaa. Nimeona katika internet. Ingawa yeye alitamka October 28 ndiyo birth day yake.
Namtakia Dr. Slaa afya njema na mambo yote mema;yeye,familia yake na rafiki zake.
Alianzia redio ya Taifa, Radio Tanzania Dar Es Salaam, kabla ya kuelekea Kenya ambako alifanya kazi kwa miaka mingi kabla ya kujiunga na shirika la utangazaji la Uingereza, BBC katikati ya miaka ya 1990.
Mojawapo ya maswali aliyoomuuliza Rais Magufuli ilikuwa kuhusu Demokrasia nchini na...
Kheri ya siku ya kuzaliwa kwangu,
Asante Jehova
Asante Mama
Asante walimwengu Kwa kunipokea kuishi nanyi.
Tuitafute amani sikuzote
Duniani tunapita tusijisahau tukalowea kwenye dhambi, Kila kitu kifanyike Kwa kias
Tusijione wabora kuliko wengine,maana sote tu wa mavumbini.
Mwenyezi Mungu...
Aloooooooooooooo.
its my birthday.
shukrani kwa mwenyezimungu muumba wa mbingu na ardho kwa kunifikisha siku hii ya leo.
siku muhimu katika maisha yangu.
lakini pia nitumie nafasi hii kuwashukuru wazazi wangu huko walipo na Mungu awape umri mrefu zaidi.
happy birthday to me.🧁🧁🧁🎂🎂
Hello everyone 😊☺
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kuendelea kuniweka hadi leo ambapo nimeongeza mwaka mwingine tena, yote ni kwaajili ya nguvu na huruma zake, maana haikuwa rahisi 😊🤗
Nitakuwa mchoyo wa fadhila nisipowapongeza wazazi wangu kwajili ya siku hii maana bila wao kupendana, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.