happy birthday

  1. Excel

    Happy birthday Admin wa Mashujaa FC

    Huyu jamaa ndie mbunifu mkuu na admin wa wazee wa mapigo na mwendo. namkubali sana kwa sanaa yake katika Page za Mashujaa FC, wazes wa mapigo na mwendo
  2. Robert Heriel Mtibeli

    Happy Birthday to me, kwaheri ujana. Sasa ni muda wa busara za kiutu uzima

    HAPPY BIRTHDAY TO ME. KWA KHERI UJANA. SASA NI MUDA WA BUSARA ZA KIUTU UZIMA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Namshukuru Mungu. Leo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwangu. Nikiwa nimetimiza Rasmi miongo mitatu kamili(miaka 30). Nimejifunza mengi. Nimefanya mengi kwa muda huo. Namshukuru...
  3. Hance Mtanashati

    Happy Birthday Floyd Mayweather

    Leo ni kumbukumbu ya mfanano wa siku ya kuzaliwa ya bondia tajiri zaidi duniani ambaye si mwingine bali ni Floyd Mayweather Jr wengi wanapenda kumuita The Money May. Floyd Jr baba yake mzazi anaitwa Floyd Mayweather Sr ambaye alikuwa pia bondia na mama yake Deborah Sinclair alikuwa ni mhasibu...
  4. Wimbo

    Happy Birthday Madamu Samia Suluhu Hasani

    Nianze kwa shukrani , nimshukuru Rabuka, Yeye ni mwenye auni, tena mwingi wa baraka, Nguvuze zapita kani, haziwezi elezeka, HONGERA MAMA SAMIA 63 KUTIMIZA. Mengi alikujalia , wete tumeshuhudia vema umesimamia, kwa upendo kadilia, sifa Tunampatia, Muumba wa hidunia, HONGERA MAMA...
  5. Intelligent businessman

    Happy birthday to me Intelli, I mean no malice to anybody

    December 31 I was finally birthed, it was time for me to find what is this planet worth. Jamaa home where I got my sernity first, you can say, this is where I was handled my bless. I have been hustling since a kid and iam so talented based, it was like a game to me, I never knew hustling paid...
  6. Stroke

    Happy Birthday to me Next week i am turning another decade

    Wakuu, Next week! That is Next year!! It's very very big for me. Natimiza muongo mwingine. I am so happy I feel so blessed! Much love.
  7. Anna Mwaigomole

    Happy Birthday Dada Mkubwa Heaven Sent!

    Naamini hunijui. Na mimi nakiri kuwa sikujui. Hatujuani! Lakini zamani wakati sijajiunga JF ulikuwa unaandika sana hasa kuhusu ushauri wa kimahusiano, malezi ya watoto, familia, mambo ya kiroho; na maisha kwa ujumla. Mwaka 2018 au 2017 (sikumbuki vizuri), nilisoma comment yako moja hivi...
  8. Mahondaw

    Happy birthday cocastic

    The day is finally here shostie. Have loads of fun and more happy days of joy . Let your life be filled with health love strength success and passion. Wish you more years of happiness and wonderful experience cocastic . Happy birthday cocastic
  9. Msanii

    Happy Birthday Msanii🌷🌼🌻, lakini unanikera aisee

    Happy birthday kwako (kwangu) Msanii Leo umetimiza miaka kadhaa tangu uanze kupumua juu ya ardhi hii ya wadudi. Natumaini umejifunza mengi na kuona mengi kwenye dunia hii hii ambayo ni nzuri kwa wachache na shubiri kwa wengi. Ombi lako (as birthday wish) kwa uongozi wa JamiiForums kwamba...
  10. Fabian Vitus

    Happy birthady

    Kwanza kabisa nashukuru Mungu kwa kuendelea kunipa zawadi hii ya uhai maana Sina cha kumlipa zaid ya maombi na Sala kwake🙏🙏 ✍️Kama Uzi unavyojieleza kama WWE ni mmoja wapo umezaliwa tarehe kama hii Mwezi kama huu Mwaka kila mtu anajua wake naomba tujipigie makofi Maana Mungu Ameweza kutufikisha...
  11. Poppy Hatonn

    Happy Birthday. Leo ni birth day ya Dr. Slaa.

    Leo ni birth day ya Dr Slaa. Nimeona katika internet. Ingawa yeye alitamka October 28 ndiyo birth day yake. Namtakia Dr. Slaa afya njema na mambo yote mema;yeye,familia yake na rafiki zake.
  12. Vincenzo Jr

    Happy birthday Hayati Dkt. Magufuli

    Kheri ya siku ya mfanano wa Kuzaliwa Kwako , Comrade Hayati Dkt JOHN POMBE MAGUFULI. Uli wanyoosha sana chawa wa ccm
  13. jastertz

    Happy Birthday to Me…

    Miaka 25 si Haba. Thank God 🙏
  14. A

    Happy birthday Dr Rev Eliona Kimaro

    Heri ya Kuzaliwa Mtumishi wa Mungu Dr Rev Kimaro. Mungu azidi kukupa miaka mingi ya Neema na baraka uzidi kutimiza kusudi lake hapa duniani.
  15. Replica

    Happy Birthday Tido Muhando, mwamba imara kwenye tasnia ya Habari

    Alianzia redio ya Taifa, Radio Tanzania Dar Es Salaam, kabla ya kuelekea Kenya ambako alifanya kazi kwa miaka mingi kabla ya kujiunga na shirika la utangazaji la Uingereza, BBC katikati ya miaka ya 1990. Mojawapo ya maswali aliyoomuuliza Rais Magufuli ilikuwa kuhusu Demokrasia nchini na...
  16. To yeye

    Happy birthday to you To yeye

    Kheri ya siku ya kuzaliwa kwangu, Asante Jehova Asante Mama Asante walimwengu Kwa kunipokea kuishi nanyi. Tuitafute amani sikuzote Duniani tunapita tusijisahau tukalowea kwenye dhambi, Kila kitu kifanyike Kwa kias Tusijione wabora kuliko wengine,maana sote tu wa mavumbini. Mwenyezi Mungu...
  17. KJ07

    Happy birthday to me.

    Aloooooooooooooo. its my birthday. shukrani kwa mwenyezimungu muumba wa mbingu na ardho kwa kunifikisha siku hii ya leo. siku muhimu katika maisha yangu. lakini pia nitumie nafasi hii kuwashukuru wazazi wangu huko walipo na Mungu awape umri mrefu zaidi. happy birthday to me.🧁🧁🧁🎂🎂
  18. Leejay49

    Happy birthday to me 🎂🎉

    Hello everyone 😊☺ Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kuendelea kuniweka hadi leo ambapo nimeongeza mwaka mwingine tena, yote ni kwaajili ya nguvu na huruma zake, maana haikuwa rahisi 😊🤗 Nitakuwa mchoyo wa fadhila nisipowapongeza wazazi wangu kwajili ya siku hii maana bila wao kupendana, na...
Back
Top Bottom