happy birthday

  1. Vincenzo Jr

    JamiiForums Tanzania Happy birthday Hayati Dkt. Magufuli

    Kheri ya siku ya mfanano wa Kuzaliwa Kwako , Comrade Hayati Dkt JOHN POMBE MAGUFULI. Uli wanyoosha sana chawa wa ccm
  2. jastertz

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday to Me…

    Miaka 25 si Haba. Thank God 🙏
  3. A

    JamiiForums Tanzania Happy birthday Dr Rev Eliona Kimaro

    Heri ya Kuzaliwa Mtumishi wa Mungu Dr Rev Kimaro. Mungu azidi kukupa miaka mingi ya Neema na baraka uzidi kutimiza kusudi lake hapa duniani.
  4. Replica

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday Tido Muhando, mwamba imara kwenye tasnia ya Habari

    Alianzia redio ya Taifa, Radio Tanzania Dar Es Salaam, kabla ya kuelekea Kenya ambako alifanya kazi kwa miaka mingi kabla ya kujiunga na shirika la utangazaji la Uingereza, BBC katikati ya miaka ya 1990. Mojawapo ya maswali aliyoomuuliza Rais Magufuli ilikuwa kuhusu Demokrasia nchini na...
  5. Kamanda Asiyechoka

    JamiiForums Tanzania Happy birthday Freeman Aikael Mbowe

    Mwamba tuvushe...
  6. Beesmom

    JamiiForums Tanzania Happy birthday to you To yeye

    Kheri ya siku ya kuzaliwa kwangu, Asante Jehova Asante Mama Asante walimwengu Kwa kunipokea kuishi nanyi. Tuitafute amani sikuzote Duniani tunapita tusijisahau tukalowea kwenye dhambi, Kila kitu kifanyike Kwa kias Tusijione wabora kuliko wengine,maana sote tu wa mavumbini. Mwenyezi Mungu...
  7. KJ07

    JamiiForums Tanzania Happy birthday to me.

    Aloooooooooooooo. its my birthday. shukrani kwa mwenyezimungu muumba wa mbingu na ardho kwa kunifikisha siku hii ya leo. siku muhimu katika maisha yangu. lakini pia nitumie nafasi hii kuwashukuru wazazi wangu huko walipo na Mungu awape umri mrefu zaidi. happy birthday to me.🧁🧁🧁🎂🎂
  8. Leejay49

    JamiiForums Tanzania Happy birthday to me 🎂🎉

    Signed out
  9. papag

    JamiiForums Tanzania Happy birthday to me

    Napenda kuchukua nafasi hii adhimu kwa kujipongeza kufika mwaka mwingine tena. Nawashukuru wazazi wangu walionileta duniani huko waliko waendelee kupumzika kwa amani. Namshukuru Mungu mwingi wa rehema kwa kuendelea kunilinda pamoja na mapungufu mengi ninayo mtendea kwa namna yeyote ile. Na...
  10. Mahondaw

    JamiiForums Tanzania Happy birthday Bantu Lady

    Helloowww guyss!!! Today a true queen was born and I take this chance to wish her a very sweet, happy , lovely ,enjoyable, and an ameizing birthday! Mary God bless you and grant you many more years to celebrate! Happy birthday Bantu Lady
  11. Intelligent businessman

    JamiiForums Tanzania Happy birthday to JF member Mwachiluwi

    Wish yah all the best young bro Mwachiluwi, imeisha hiyoo!
  12. Mwachiluwi

    JamiiForums Tanzania Happy birthday to me Mwachiluwi

    Leo nakumbuka siku yangu ya kuzaliwa nashukuru ni mzima wa afya maana katika familia yetu watu wanakufa kabla ya tarehe ya siku ya ya kuzqliwa kabla ya siku tatu au mbili na mimi pia wiki ilio isha mambo yalikuwa mengi ya kuvuruga akili naona shetan alikuwa kazini ila Mungu mwema
  13. Da'Vinci

    JamiiForums Tanzania Happy birthday to me D

    Namshukuru Mungu leo nimetimiza miaka 23. Long may I reign.
  14. Chakorii

    JamiiForums Tanzania Happy birthday to me

    Leo ni kumbukizi ya kuzaliwa Kwa chakorii.. Karibu tusheherekee pamoja na Gemini. Kama na wewe unasheherekea birthday yako leo tafadhali mguse Mungu Kwa namna ya kipekee kabisa.Tembelea watoto yatima watu waishio katika mazingira magumu,,kula nao mfurahi. Mungu akubariki utoapo na upokeapo...
  15. trudie

    JamiiForums Tanzania Happy birthday to me Trudie

    Namshukuru sana Mungu kwa kunipa neema ya kuongeza mwaka mwingine. Nashukuru leo nimetimiza miaka kadhaa kwa kuingia floor mpya ya majukumu. Mwaka huu umekuwa wa neema sana kwangu mwenyezi Mungu anazidi kunipigania. Kweli tunazeeka na miaka inaenda sana. Happy birthday to me. Intelligent...
  16. Okrap

    JamiiForums Tanzania Happy birthday to me

    Nisema asante sana kwa Mungu kwa siku ya leo asante sana
  17. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania Happy birthday to me Mohamedi wa 5, Jamiiforums wish me

    May 20 Mohammed wa 5 nililetwa kwenye dunia hii...Asante Sana familia, baba na mama kwa upendo wenu mpaka leo nilipofika..pole Sana mama angu kwa yote uliyoyapata baada ya kunileta duniani miaka 2 ulikuwa mtu wa kuumwa na kuteseka nakupenda Sana. Happy birthday to me Mohammed wa 5
  18. ladyfurahia

    JamiiForums Tanzania Another year and another blessing happy birthday to me

    Habarini Wadau wangu wa nguvu Ni jambo la kumshukuru Mungu muumba mbingu na nchi kwa nafasi hii ya upendeleo kwangu kunitoa duniani tarehe kama yale nakumbuka nilivyotokea na amenipa afya tele ingawaje nina kahoma na kifua kuuma [sijui ndo korona hii shindwa} nafurahia kufikia siku hii muhimu...
  19. ladyfurahia

    JamiiForums Tanzania Happy birthday sweet Chachu Ombara

    Habari wadau mabestito wa zamani na wasasa (wanasema ya kale ni dhahabu) Ninafuraha iliyoje kumtakia mwandani wangu kumbukizi ya kuzaliwa kwake, Mungu ampe miaka mingi ya ubabu kabisa aje kusahau hata kuingia humu JF hahaaaaaaaaaa. Chachu jisikie kupendwa kwa namna hii hata kama hujaona...
  20. Chance ndoto

    JamiiForums Tanzania My precious daughter Maureen is 1 year old today. Happy birthday to her

    Kipindi cha siku, Mwezi au mwaka kwa bindamu mkamilifu ni muda mrefu sana wa maisha yake. Mtoto wangu leo ametimiza mwaka mmoja tangu kuzaliwa kwake. Mapito ya magonjwa, na kama binadamu mwingine unakwama kununua nguo mpya walau kila siku kwa mtoto, baby diapers, hata mara zingine hela ya...
Back
Top Bottom