ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,460
Habarini ni jambo la kumshukuru Mungu muumba mbingu na nchi kwa nafasi hii ya upendeleo kwangu kunitoa duniani tarehe kama yale nakumbuka nilivyotokea na amenipa afya tele na kunilinda na mabaya yote ingawaje safari kuna vikwazo vingi ila muumba Mbingu na Nchi amenivusha nafurahia kufikia siku hii muhimu ya kumbukizi ya kuzaliwa kwangu
Marafiki, jamaa na wadau wote ungama nami katika kumbukizi hii maalum kwangu, nipeni vikeki basi mm mtoto mchanga hahaaaa
Nawapenda
Wasalaam;
Ladyf a.k.a mama mfundaji, mama mjasiriamali😂🤣😅
Marafiki, jamaa na wadau wote ungama nami katika kumbukizi hii maalum kwangu, nipeni vikeki basi mm mtoto mchanga hahaaaa
Nawapenda
Wasalaam;
Ladyf a.k.a mama mfundaji, mama mjasiriamali😂🤣😅