haki

  1. Je, nina haki gani katika hili jambo wana JF?

    Habari za majukumu wana JF! naomba msaada wa kisheria nini hasa cha kufanya. Jana mida ya saa tano asubuhi, nilipokea sms kutoka vodacom ikiniambia kwamba kuna jambo kubwa sana la kisoka litatokea kesho (yani leo), mechi ya simba na plateau united watacheza. niliiamini sana hio sms ya vodacom...
  2. Askofu Mwamakula: Mamlaka zinazominya haki na Demokrasia

    Mamlaka zote duniani zinazofinya haki, uhuru wa kujieleza, uhuru wa kujumuika, demokrasia, nk hufanya mambo yanayofana kama vile: kutumia Majeshi na Idara za Usalama kuwadhibiti, kuwatisha na hata kuwatesa wapinzani, wakosoaji na watetezi wa haki; kutumia Idara za Usalama na pesa katika...
  3. CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

    Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Japo mimi ni kada wa chama cha siasa na sio CHADEMA, ukada wangu, haunizuii kutoa ushauri kwa Chama chochote kukisaidia. Upendo wa kweli ni pale unapoona jirani yako ambaye ni kipofu, haoni mbele, anatembea na...
  4. D

    Kanuni ya haki ya msingi haikufuatwa kuwafukuza uanachama Halima Mdee na wenzake 18

    Nimetafakari sana kisheria kuhusu kufukuzwa akina Mdee uanachama ninapata shida kidogo. Sina uhakika kama suala hili lilifanyika with due diligence. Hii ni kwa sababu kwa hali ya kawaida walipaswa waandikiwe barua ya mashtaka (kimaandishi)kuhusu makosa/tuhuma zinazowakabili na wapewe muda wa...
  5. Baada ya Uingereza kuazimia kuiwekea vikwazo Nigeria juu ya uvunjifu wa haki za binadamu, Nigeria imeenda kuomba isamehewe

    Wiki chache zilizopita Nigeria ilikumbwa na maandamano ya kupinga ukatili wa jeshi la polisi maarufu kama #EndSARS ambapo Jeshi la Nigeria lilituhumiwa kuua watu. Bunge la UK Liliazimia kuwawekea vikwazo maafisa kadhaa wa Nigeria, jeshi la polisi na jeshi la ulinzi kwa uvunjifu wa haki za...
  6. Maendeleo bila ya Haki na Sheria siyo maendeleo

    Habari Wanajamvi, Ili maendeleo yadumu, yaheshimiwe na yathaminiwe, ni lazima yaambatane na uadilifu, Sheria na Haki. Maendeleo yeyote yanayofikiwa kwa ukiukaji mkubwa wa haki za raia, ni rahisi sana kubomolewa, na mwenyewe aliyeyaleta kusahauliwa katika jaa la historia. Ipo mifano mingi...
  7. Haya Mbowe ameitendea haki pasi aliyoletewa, sasa mpira upo kwako Maalim Seif

    CHADEMA wameona kama mbwai na iwe mbwai. Badala ya kutuliza wamerudisha huko huko Mpira ulipotoka. Na kwa Bahati umeangukia kwako Maalim Seif, tunasubiri tuone utafanyaje? Mpira unao wewe Sasa. Watazamaji wa Zenji na Bara wanasubiri kuona. Kazi kwako
  8. Hujuma kubwa ajira za Serikali ya wanyonge

    Nachokizungumza hapa nina uhakika nacho asilimia 100% naombeni msinichukulie kama nalalia mlango wazi bahati za wengine. Kwanini mimi mwenye GPA ya 4.5 ya UDSM sijapangiwa shule japokuwa nina uwezo mzuri wa kufundisha? Huu ni mwaka wa pili nimekaa mtaani. Sawa, sijajitolea. Hebu fikirieni...
  9. S

    Sababu ya Tanzania kujitoa katika Mahakama ya Haki za Binadamu Afrika

    Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu (African Court on Human and Peoples' Rights) ni Mahakama ya Kibara iliyoanzishwa na nchi za Afrika ili kulindaHaki za Binadamu na za mataifa barani humo. Uamuzi huo ulichukuliwa naOAU huko Burkina Faso, mnamo Juni 1998 ukapata nguvu ya kisheria tarehe...
  10. Kwitega: Haki za Watoto sio hisani bali ni wajibu

    Katibu tawala mkoa wa Arusha Richard Kwitega ameitaka jamii kutambua kuwa haki za watoto sio hisani bali ni wajibu wao wa kutimiza haki hizo. Ameyasema hayo wakati alipokuwa akiongea na watoto , walimu katika maadhimisho ya kimataifa ya siku ya mtoto duniani yaliyofanyika leo Arusha School...
  11. Wa Tigray Ethiopia wana kila haki ya kujitenga, ni kama Catalonia, White People wa South Africa

    Watu wa Tigray Ethiopia ni 6 % ya Waethiopia wote zaidi ya milioni 80, Lakini ndiyo wanaoIOngoza Ethiopia kwenye kila sekta, Uchumi wote wa Ethiopia uko chini ya Watu wa Jamii ya Tigray , hii economic miracle ya Ethiopia tunayooishuhudia ni sababu ya Tigray people Kiongozi Meles Zenawi...
  12. Hatukuwapa kura ili mkaendelee kushibisha matumbo yenu bali msimame kidete kutetea haki na uhuru wa kweli. Kwa hili hamvumiliki!

    Haiingii akilini eti mtumie kura zetu tulizowapa kwa jasho na damu mkashibishe matumbo yenu. Eleweni kuwa sisi tulishaapa kuwa katu hatutotambua kile kilicholetwa kama matokeo! Hatutatambua watu wao wala matendo yao! Niliyaona kwa macho yangu yale yaliyotokea. Leo unaenda kula kuku? Haiingii...
  13. V

    Kwa wana CCM wacha Mungu: Je, mnaamini mmeshinda kihalali na uchaguzi ulikuwa huru na wa haki? Kila mmoja wetu atasimama mbele za kiti cha hukumu

    Ndugu zangu kuna maisha baada ya maisha haya, na kila mmoja wetu atasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu. Asilimia kubwa ya Watanzania ni wacha Mungu, ndio maana naomba sana tujibu swali hili kutoka kwenye vina vya mioyo yetu. CCM ina watu wanaomcha Mungu na wengine ni Maaskofu Wachungaji...
  14. Matukio ya polisi kunyanyasa na kutesa watu ni mengi sana

    Historia imethibitisha majeshi hayajawahi kuwashinda binadamu hata siku moja. Napoleone Bonaparte na jeshi lake lenye nguvu alipoivaimia Urusi aliondoka kwa aibu baada ya warusi kuchoma nyumba zao na baridi kali likamfanya Napoleo atoke nduki. Alipotekwa Mo Dewji tulimsikia rais JPM akisema...
  15. Tamko la kimataifa la haki za binadamu -:( Sehemu ya 2)

    IBARA YA 16: (1)Wanaume na wanawake waliotimiza umri wa utu uzima, bila kujali uasili, uraia au dini wana haki ya kuoa na kuolewa na kuanzisha familia, wanapaswa kuwa na haki sawa katik ndoa.wakati ndoa inaendele au ikivunjika. (2)Ndoa itafungwa tu pale wanandoa watakapokuwa wamekubali kwa hiari...
  16. M

    Jenerali Ulimwengu: Hakukuwa na Uchaguzi huru na haki

    Akihojiwa na kituo cha habari cha Sauti ya Ujerumani, Jenerali ulimwengu amesema kuwa zoezi la uchaguzi mkuu halikuwa huru na haki na kwamba tangu mchakato wa upinzani uanze, wapinzani walitendewa mambo ambayo kimsingi ukiyaangalia siyo fair kabisa. Jenerali amekumbushia kauli ya Magufuli...
  17. T

    Gazeti la Mzalendo: Prof. Mbwiliza, gwiji wa historia ya siasa amlilia Rawlings lakini ameshindwa kulilia demokraisia, haki na maendeleo ya Watanzania

    Ninajua wasifu wa Prof. Joseph Mbwiliza kwa kina. Ni Muha wa Kasulu huko Kigoma na ni mmoja wa maprofesa wa mwanzo kabisa wa kutoka maeneo ya ziwa Tanganyika. Mtoto wa mkulima aliyepata elimu yake huko Marekani. Alishika madaraka makubwa serikalini na kwenye siasa. Amewahi kuwa Mkuu wa Chuo cha...
  18. I

    ICC yakiri kupokea rasmi malalamiko kutoka Tanzania juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu wakati wa uchaguzi uliopita

    The International Criminal Court (ICC) in The Hague, has confirmed receipt of two formal letters alleging human rights violations by the Tanzania government in the wake of the October 28 election and its aftermath. The Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo), one of the main...
  19. Je, unazifahamu vizuri haki zako kama binadamu? Tamko la kimataifa la haki za binadamu -LHRC ( sehemu ya 1)

    Binadamu wote wamezaliwa na haki sawa na uhuru wa kimsingi. Katika tamko la haki za binadamu, umoja wa mataifa umeeleza kwa lugha rahisi kabisa haki ambazo zinampasa kila mtu kuwa nazo na kwa usawa. Hizi haki ni zako. Haki hizi ni mali yako, zijue haki hizi, saidia kuzieneza na kuzitetea kwa...
  20. The New York Times lasambaza uongo Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze, au uongo tukanushe?

    Wanabodi, Hili ni bandiko la Swali, Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu duniani kwa ukubwa, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe? Kwenye bandiko hili, natumia kanuni ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…