Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Watu wa Tigray Ethiopia ni 6 % ya Waethiopia wote zaidi ya milioni 80,
Lakini ndiyo wanaoIOngoza Ethiopia kwenye kila sekta, Uchumi wote wa Ethiopia uko chini ya Watu wa Jamii ya Tigray , hii economic miracle ya Ethiopia tunayooishuhudia ni sababu ya Tigray people
Kiongozi Meles Zenawi (1955-2012 ) alikuwa ni Tigray, Maelite karibia wote wa Ethiopia wanatoka Tigray region hata Top Boss wa WHO Tedros Adhanom ni mtigray, kwa kifupi Ethiopia bila ya Tigray people hakuna kitu na hawa ni 6% tu ya population ya Ethiopia
Ni watu tofauti wana utamaduni wao tofauti, wanathamini kazi, uaminifu na kujituma na wamejenga ustaarabu ambao umesimama hivyo wanarudhishwa nyuma na the rest of Ethiopia na wana kila haki ya kujitenga kwani peke yao watafika mbali sana, wana higher IQ kuliko the rest of Ethiopia, hivyo hawawezi kuishi pamoja kwani wako tofauti.
Hivyo binafsi nawaunga mkono kama ninvyounga mkono watu wa Katalonia (Barcelona) kujitenga na the rest of Spain, Wakatalonia ndiyo wanaobeba uchumi karibia wote wa Uhispania bila ya Katalonia Spain ni third world country, vivyo hivyo ningependekeza pia White People Afrika Kusini wapewe Jimbo lao wenyewe kwani wako tofauti kiutamaduni na the rest of Afrika Kusini
Sasa hivi ni kama wanalazimishwa kuishi kwenye jamii ambayo wako tofauti nayo na wanarudishwa nyuma tu, By The Way ukisikia Wahabeshi ndio Tigray people
Lakini ndiyo wanaoIOngoza Ethiopia kwenye kila sekta, Uchumi wote wa Ethiopia uko chini ya Watu wa Jamii ya Tigray , hii economic miracle ya Ethiopia tunayooishuhudia ni sababu ya Tigray people
Kiongozi Meles Zenawi (1955-2012 ) alikuwa ni Tigray, Maelite karibia wote wa Ethiopia wanatoka Tigray region hata Top Boss wa WHO Tedros Adhanom ni mtigray, kwa kifupi Ethiopia bila ya Tigray people hakuna kitu na hawa ni 6% tu ya population ya Ethiopia
Ni watu tofauti wana utamaduni wao tofauti, wanathamini kazi, uaminifu na kujituma na wamejenga ustaarabu ambao umesimama hivyo wanarudhishwa nyuma na the rest of Ethiopia na wana kila haki ya kujitenga kwani peke yao watafika mbali sana, wana higher IQ kuliko the rest of Ethiopia, hivyo hawawezi kuishi pamoja kwani wako tofauti.
Hivyo binafsi nawaunga mkono kama ninvyounga mkono watu wa Katalonia (Barcelona) kujitenga na the rest of Spain, Wakatalonia ndiyo wanaobeba uchumi karibia wote wa Uhispania bila ya Katalonia Spain ni third world country, vivyo hivyo ningependekeza pia White People Afrika Kusini wapewe Jimbo lao wenyewe kwani wako tofauti kiutamaduni na the rest of Afrika Kusini
Sasa hivi ni kama wanalazimishwa kuishi kwenye jamii ambayo wako tofauti nayo na wanarudishwa nyuma tu, By The Way ukisikia Wahabeshi ndio Tigray people