Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,545
Nachokizungumza hapa nina uhakika nacho asilimia 100% naombeni msinichukulie kama nalalia mlango wazi bahati za wengine.
Kwanini mimi mwenye GPA ya 4.5 ya UDSM sijapangiwa shule japokuwa nina uwezo mzuri wa kufundisha?
Huu ni mwaka wa pili nimekaa mtaani. Sawa, sijajitolea. Hebu fikirieni ningewezaje kwenda shule km. 5 kila siku nakurudi wakati sijui nitakula nini? na wazazi wanataka niwasaidie kazi za shamba kufidishia pesa nilizowagharimu kunisomesha?
Sawa, mmeangalia wale wenye miaka mingi, mbona mmemwajiri mwenyekiti wa UV CCM, katibu na Mhazini waliomaliza vyuo mwaka 2019 udsm na matawi yake yote? Na wakati tunajua wengine walikuwa na carry over karibia miaka yote?
Sawa, tuachane na kada ya ualimu. Mbona JKT mpwa wa general X mmempangia ajira JW na wakati hakuwa na sifa. Maana hakujenga ukuta wala nini. Na amewaacha Ma-service man aliyowakuta? Hii ndio Tanzania ya wanyonge?
Haki ya nani siwashitaki popote pale...lazima nichukue hatua mwenyewe na Mungu wangu.
Kwanini mimi mwenye GPA ya 4.5 ya UDSM sijapangiwa shule japokuwa nina uwezo mzuri wa kufundisha?
Huu ni mwaka wa pili nimekaa mtaani. Sawa, sijajitolea. Hebu fikirieni ningewezaje kwenda shule km. 5 kila siku nakurudi wakati sijui nitakula nini? na wazazi wanataka niwasaidie kazi za shamba kufidishia pesa nilizowagharimu kunisomesha?
Sawa, mmeangalia wale wenye miaka mingi, mbona mmemwajiri mwenyekiti wa UV CCM, katibu na Mhazini waliomaliza vyuo mwaka 2019 udsm na matawi yake yote? Na wakati tunajua wengine walikuwa na carry over karibia miaka yote?
Sawa, tuachane na kada ya ualimu. Mbona JKT mpwa wa general X mmempangia ajira JW na wakati hakuwa na sifa. Maana hakujenga ukuta wala nini. Na amewaacha Ma-service man aliyowakuta? Hii ndio Tanzania ya wanyonge?
Haki ya nani siwashitaki popote pale...lazima nichukue hatua mwenyewe na Mungu wangu.