CHADEMA wameona kama mbwai na iwe mbwai.
Badala ya kutuliza wamerudisha huko huko Mpira ulipotoka.
Na kwa Bahati umeangukia kwako Maalim Seif, tunasubiri tuone utafanyaje?
Mpira unao wewe Sasa. Watazamaji wa Zenji na Bara wanasubiri kuona.
Kazi kwako
Badala ya kutuliza wamerudisha huko huko Mpira ulipotoka.
Na kwa Bahati umeangukia kwako Maalim Seif, tunasubiri tuone utafanyaje?
Mpira unao wewe Sasa. Watazamaji wa Zenji na Bara wanasubiri kuona.
Kazi kwako