haki

  1. K

    Mahubiri ya leo yasisitize juu ya haki maana ndiyo Mama wa Amani

    "Sema kwa ajili yao na kuamua kwa haki, Linda haki za masikini na fukara" Methali 31:9 Amani iwe kwenu wana jamiiforums, kwanza namshukuru Mungu baba mwenyezi muumba wa mbingu na nchi kwa kutupa afya njema mpaka wakati huu tunatazamia kumaliza mwaka huu wa 2019. Kwakweli sifa na utukufu...
  2. Gama

    Duniani hakuna haki

    Siamini kuwa huyu mtu sasa ni homeless
  3. ibesa mau

    Watanzania ni waoga kweli kushiriki maandamano ya kudai haki, lakini hawaogopi kushiriki ngono zembe

    Huu ndio ukweli, tungekuwa uoga huo tumeuelekeza kwenye kuiogopa ngono zembe na uasherati ingekuwa safi sana, maambukizi ya magonjwa ya ngono yasingekuwepo miongoni mwa vijana wetu. Lakini cha ajabu Ukimwi unamaliza vijana na wala hawonekani kuujali wala kuogopa. Unaogopa kufa kwenye...
  4. Miss Zomboko

    Askofu Shoo akemea utekaji na utesaji wa raia, uvunjifu wa haki na kiburi kilichopo kwa viongozi wa nchi

    Askofu Mkuu wa KKKT Askofu Dkt. Frederick Shoo TABIA ya utekaji, utesaji, unyongaji haki, dhuluma na kiburi inayolalamikiwa nchini, imekemewa vikali na Dk. Frederick Shoo, Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT). Anaripoti Mwandishi Wetu, Moshi … (endelea). Kiongozi huyo...
  5. J

    Waraka wa Anglican: 2020 ni mwaka wa uchaguzi wananchi itumieni haki yenu ya kikatiba ya Kuchagua na Kuchaguliwa, Msiogope

    Kanisa la Anglikana dayosisi ya DSM limetoa Waraka wa Christmas ambao umeandaliwa na baba Askofu Jackson na kusomwa katika makanisa yote ya dayosisi hiyo. Waraka huo umeelezea mafanikio ya Kanisa katika kuifikisha injili kwa wahitaji na changamoto zilizosalia. Waraka umesema ili uwe kiongozi...
  6. ubongokid

    Huwezi kumpiga mtu na Kumnyima haki ya kulia

    Naandika haya nikitambua kwamba kila mtu anaweza kuwa na tafsiri yake kwa mujibu wa mtazamo na uelewa wake."Kuwa na uwezo au haki ya kumpiga mtu hakukupi haki au uwezo wa kumzuia kulia"Huu ni msemo wa wenye hekima wengi. Ni wajibu wa serikali na viongozi wote wa serikali kuhakikisha kwamba raia...
  7. B

    Dhamana katika tawala zenye kuheshimu wajibu wake ni haki ya mtuhumiwa

    Dhamana mahakamani au polisi ni haki ya kila mtuhumiwa. Hii ni pasipo na kujali tuhuma mtu alizo nazo pale inapodhihirika wazi kuwa mtuhumiwa atapatikana muda atapohitajika pasipo na kukosekana. Ona kama hivi kwa majirani zetu...
  8. Sky Eclat

    Katibu Mkuu wa Chadema, Mheshimiwa John Mnyika aongea na Wanahabari

    ===== Dar es Salaam. Katibu Mkuu mpya wa Chadema, John Mnyika ameanisha vipaumbele vitano vya chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2020. Mnyika aliyeteuliwa na mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe kuwa katibu mkuu Desemba 20, 2019 kuchukua nafasi...
  9. Influenza

    Haki ya Mwanamke kabla ya Uislamu: Sheria Mbalimbali zinazolinda Haki za Mwanawake

    Ulinzi wa haki za binadamu ni haki ya msingi kwa kila mwanadamu ambapo mwanamke na mwanamme wana haki sawa katika kufaidi haki hizo. Kukosekana kwa haki hizo kunapelekea kudharaulika, kuongezeka umasikini na kukosekana kwa amani ya wanawake. Mikataba mbalimbali imepitishwa ili kuhakikisha kuwa...
  10. B

    Cecil Mwambe: Nimeshindwa kwenye uchaguzi Mkuu wa CHADEMA kwa kuwa uwanja haukuwa sawa

    Ikiwa ni siku moja imepita tangu kufanyika kwa uchaguzi wa viongozi wa kitaifa wa CHADEMA na viongozi hao kupatikana, aliyekuwa mgombea wa nafasi ya mwenyekiti na kushindwa Mhe. Cecil Mwambe amesema kuwa, ameshindwa kwenye uchaguzi huo kwa kuwa 'uwanja haukuwa sawa'. Amesema "Mhe. Mwenyekiti...
  11. Analogia Malenga

    Azimio la kulinda haki ya matumizi ya intaneti Afrika lawasilishwa

    Mwenyekiti wa kamati ndogo ya Mambo ya Nje katika Baraza la Wawakilishi Karen Bass (Mdemokrat wa California) amewasilisha azimio linalozitaka serikali za Afrika kulinda na kuhamasisha haki za kibindamu kupitia uhuru wa intaneti na kuwaunganisha kidijitali raia wa nchi zote za Afrika. “Kuzuia au...
  12. Planett

    Hii sio haki kabisa, CHADEMA wana-fake viewers

  13. B

    CHADEMA yapewa saa mbili kuondoa bendera zake kwenye barabara ya Sam Nujoma eneo la Mlimani City. Polisi yafika kushusha bendera hizo

    Mkurugenzi wa manispaa ya Ubungo, Beatrice Dominic amekiandikia barua chama cha Chadema na kukipa saa mbili kuondoa bendera zake zilizowekwa barabara ya Sam Nujoma karibu na ukumbi wa Mlimani City unakofanyika uchaguzi wa viongozi wa chama hicho. Bendera hizo ziliwekwa katika barabara hiyo...
  14. Influenza

    Desemba 10: Siku ya Haki za Binadamu | Vijana wanasimamia Haki za Binadamu

    Mwaka 1948, Umoja wa Mataifa ulichagua tarehe 10 mwezi 12 kila mwaka kuwa Siku ya Haki za Binadamu ambapo kwa mwaka huu Kaulimbiu ni 'Vijana Wanasimamia #HakiZaBinadamu' Kaulimbiu imeweka vijana kwasababu ushiriki wa vijana ni muhimu kufikia maendeleo kwa wote na Wanaweza kuchukua jukumu muhimu...
  15. Miss Zomboko

    Brazil hatarini kupoteza haki ya kura baraza la umoja wa mataifa kutokana na ada ya uanachama

    Huenda Brazil ikapoteza haki ya kura katika baraza kuu la Umoja wa Mataifa kama itashindwa kulipa mchango wa lazima wa uanachama inayodaiwa kufikia mwishoni mwa mwaka. Brazil ipo hatarini kupoteza haki ya kura katika baraza kuu la Umoja wa Mataifa kama kufikia mwishoni mwa mwaka huu itashindwa...
  16. Miss Zomboko

    Asasi za Kiraia kuishtaki Tanzania kwa kutaka kujitoa kwenye itifaki ya Mahakama ya haki za binadamu Afrika

    Dar es Salaam. Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) wamesema wanatafakari kuIshtaki Serikali ya Tanzania katika kamisheni ya Umoja wa Afrika kwa kutaka kujitoa kwenye itifaki ya Mahakama ya Haki za Binadamu ya Afrika. Katika barua...
  17. B

    Ifahamu Itifaki ya Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AFCHPR)

    Wataalamu wa sheria tunaomba uchambuzi wa kina tujue hii kitu na uhalisia wake katika kutekelezeka === PROTOCOL TO THE AFRICAN CHARTER ON HUMAN AND PEOPLES' RIGHTS ON THE ESTABLISHMENTOF AN AFRICAN COURT ON HUMAN AND PEOPLES' RIGHTS The Member States of the Organization of African Unity...
  18. J

    Msajili: Nafuatilia kwa karibu sana Uchaguzi wa Viongozi CHADEMA kuhakikisha haki inatendeka na Katiba kufuatwa

    Msajili wa vyama vya siasa nchini Jaji Mutungi amesema anafuatilia kwa makini sana uchaguzi wa viongozi wa CHADEMA kuhakikisha katiba inafuatwa na haki inatendeka kwa wagombea wote. Msajili amesema endapo katiba itakiukwa kwa makusudi basi uongozi utakaochaguliwa utakuwa ni batili na...
  19. bahati93

    Wanayoyasema juu ya haki

    Habari wanajamii, Haki ni kitendawili ambacho kimewaandama wanafalsafa wakubwa waliowahi kutembea kwenye uso wa dunia hii tangia enzi hizo watu walipoanza kufikirisha mbongo zao huko UGIRIKI. Kwa kufwata mtiririko ntaeleza yaliyowahi semwa juu ya haki. Ntaanza na plato yeye alifika hitimisho ya...
  20. beth

    Tume ya Haki Binadamu na Utawala Bora yaangukia vyombo vya habari

    Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Jaji mstaafu Mathew Mwaimu, amesema tasnia ya habari kuwa ndio wadau wakubwa wa haki za binadamu nchini. Jaji Mwaimu alisema hayo jana katika mkutano uliofanyika Zanzibar wa kuwajengea uelewa wa pamoja makamishna wa tume...
Back
Top Bottom