Kamati ya Haki za Binadamu ya (IPU) yazitaka mamlaka nchini Tanzania kumuhakikishia Tundu Lissu usalama wake pindi atakaporejea nchini

MWALLA

JF-Expert Member
Dec 12, 2006
16,992
10,497


1595608646012.png

Kamati ya haki za binadamu (IPU) imezitaka mamlaka husika nchini Tanzania kuhakikisha usalama wa kiongozi huyo pindi atakaporejea nchini. Aidha, kamati hiyo inadai kuwa tangu Tundu Lissu atangaze nia ya kurejea nchini hivi karibuni imekuwa ikilifuatilia suala hilo kwa ukaribu.

Mh. Tundu Lissu anatarajia kurejea Nchini Tanzania siku ya tarehe 27 Julai mwaka huu baada ya kukaa muda mrefu nje ya nchi akifanyia matibabu kufuatia tukio la kuvamiwa na kupigwa risasi mnamo mwaka 2017.

Aidha, Tundu Lissu alitolewa katika kiti cha Ubunge mwaka 2019 na pia anakabiliwa na mashtaka kadhaa mahakamani.

SOMA: Tundu Lissu: Narudi kama Mwananchi huru tarehe 27 Julai 2020, Serikali inipe Ulinzi. Kesi zangu 6 zina dhamana, sitakamatwa

Zaidi soma

Mr. Tundu Lissu, a former member of the Tanzanian Parliament and a vocal opposition leader, is due to return home on 27 July. Mr. Lissu survived an assassination attempt in 2017 and has since been abroad for medical treatment after being shot 16 times.

Mr. Lissu was stripped of his parliamentary mandate in June 2019. Previously, he had been arrested and charged multiple times for sedition and related offences in connection with public statements he made that were critical of the Government.

After declaring his intention to return to Tanzania earlier this year, death threats have started to appear on social media and in the press. The IPU Committee on the Human Rights of Parliamentarians has been monitoring closely Mr. Lissu’s situation. The IPU Committee recently expressed its deep concern about the attempt on his life, the allegation that the assassination attempt was carried out with the support of the authorities, the revocation of his parliamentary mandate and legal charges brought against him. (Read the decision of the Committee.)

The IPU Committee urges the authorities to ensure that Mr. Lissu receives the necessary protection and that he is allowed to exercise his rights of freedom of expression and freedom of assembly. The IPU Committee also calls on the authorities to investigate the 2017 assassination attempt to identify and hold to account those responsible.

Chanzo: International Parliament Union
 
Mr. Tundu Lissu, a former member of the Tanzanian Parliament and a vocal opposition leader, is due to return home on 27 July.

Mr. Lissu survived an assassination attempt in 2017 and has since been abroad for medical treatment after being shot 16 times.

Mr. Lissu was stripped of his parliamentary mandate in June 2019. Previously, he had been arrested and charged multiple times for sedition and related offences in connection with public statements he made that were critical of the Government.

After declaring his intention to return to Tanzania earlier this year, death threats have started to appear on social media and in the press.

The IPU Committee on the Human Rights of Parliamentarians has been monitoring closely Mr. Lissu’s situation. The IPU Committee recently expressed its deep concern about the attempt on his life, the allegation that the assassination attempt was carried out with the support of the authorities, the revocation of his parliamentary mandate and legal charges brought against him. (Read the decision of the Committee.)

The IPU Committee urges the authorities to ensure that Mr. Lissu receives the necessary protection and that he is allowed to exercise his rights of freedom of expression and freedom of assembly. The IPU Committee also calls on the authorities to investigate the 2017 assassination attempt to identify and hold to account those responsible.
 
Tundu Lisu siyo binadamu, jamaa anaonea wivu hata marehemu? Hapo anaona Mzee Mkapa (Apumzike kwa Amani) anapata attention kubwa kuliko yeye, huyu jamaa ni pure evil, nafikiri ni kizazi cha Cain, ...
 
Hawa Wazungu buana... Tanzania tuna freedom of expression na freedom of assembly hatuna haja ya kufunzwa na Wazungu hawa!.
NDIYO MAANA umepata kura 2! Wewe hapo ni victim of all those mentioned by IPU , halafu unaandika "utopolo" hapa. Niliacha kukufuatilia baada ya kuona "hufai". Post kama hizi zinaku-rate wewe ni nani! Nimesikia kusisimka mwili! Akiandika Steve Nyerere, sitashangaa, lkn ukiandika wewe inaniuma sana!
 
[SUP]⁷[/SUP]
NDIYO MAANA umepata kura 2! Wewe hapo ni victim of all those mentioned by IPU , halafu unaandika "utopolo" hapa. Niliacha kukufuatilia baada ya kuona "hufai". Post kama hizi zinaku-rate wewe ni nani! Nimesikia kusisimka mwili! Akiandika Steve Nyerere, sitashangaa, lkn ukiandika wewe inaniuma sana!
Mkuu Retired, hata hizo kura 2 ni umenipendelea, nimepata kura moja tuu!.
Kosa langu mimi humu jf ni kuwa mkweli kupindukia

Watetezi Wa Kweli wa Haki za Binaadamu Tanzania ni Kina Nani?!, Jee JF Tumo?!.
P
 
Mwala, asante kuni tag,
Hawa Wazungu buana... Tanzania tuna freedom of expression na freedom of assembly hatuna haja ya kufunzwa na Wazungu hawa!.

Uchunguzi ulishindikana kufuatia tukio hilo kushuhudiwa na mashuhuda wawili tuu, Lissu na dereva wake, hivyo anasubiriwa ndipo uchunguzi uanze.

Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

P
Hamna chá uchunguzi há tá kimoja mnachokiweza kukofanya unafiki wenu ndio mnaouweza.

Kwani uchunguzi hauwezi kufanyika bila ya muhusika kuwepo na majibu yakapatikana?

Kwani mbowe alihojiwa baada ya kufanyiwa ufedhuli na wajinga wakiccm?
 



Kamati ya haki za binadamu (IPU) imezitaka mamlaka husika nchini Tanzania kuhakikisha usalama wa kiongozi huyo pindi atakaporejea nchini. Aidha, kamati hiyo inadai kuwa tangu Tundu Lissu atangaze nia ya kurejea nchini hivi karibuni imekuwa ikilifuatilia suala hilo kwa ukaribu.

Mh. Tundu Lissu anatarajia kurejea Nchini Tanzania siku ya tarehe 27 Julai mwaka huu baada ya kukaa muda mrefu nje ya nchi akifanyia matibabu kufuatia tukio la kuvamiwa na kupigwa risasi mnamo mwaka 2017.

Aidha, Tundu Lissu alitolewa katika kiti cha Ubunge mwaka 2019 na pia anakabiliwa na mashtaka kadhaa mahakamani.

SOMA: Tundu Lissu: Narudi kama Mwananchi huru tarehe 27 Julai 2020, Serikali inipe Ulinzi. Kesi zangu 6 zina dhamana, sitakamatwa

Zaidi soma

Mr. Tundu Lissu, a former member of the Tanzanian Parliament and a vocal opposition leader, is due to return home on 27 July. Mr. Lissu survived an assassination attempt in 2017 and has since been abroad for medical treatment after being shot 16 times.

Mr. Lissu was stripped of his parliamentary mandate in June 2019. Previously, he had been arrested and charged multiple times for sedition and related offences in connection with public statements he made that were critical of the Government.

After declaring his intention to return to Tanzania earlier this year, death threats have started to appear on social media and in the press. The IPU Committee on the Human Rights of Parliamentarians has been monitoring closely Mr. Lissu’s situation. The IPU Committee recently expressed its deep concern about the attempt on his life, the allegation that the assassination attempt was carried out with the support of the authorities, the revocation of his parliamentary mandate and legal charges brought against him. (Read the decision of the Committee.)

The IPU Committee urges the authorities to ensure that Mr. Lissu receives the necessary protection and that he is allowed to exercise his rights of freedom of expression and freedom of assembly. The IPU Committee also calls on the authorities to investigate the 2017 assassination attempt to identify and hold to account those responsible.

Chanzo: International Parliament Union

Wajibu no. 1 wa Jeshi letu la Polisi ni kulinda uhai na usalama wa mali za raia wake............

Kwa hiyo kwa kuwa Tundu Lissu alishambuliwa kwa risasi zaidi ya miaka 2 iliyopita na "watu wasiojulikana" kwa hiyo ni WAJIBU wa Jeshi hilo kuhakikisha usalama wake Tundu Lissu
 



Kamati ya haki za binadamu (IPU) imezitaka mamlaka husika nchini Tanzania kuhakikisha usalama wa kiongozi huyo pindi atakaporejea nchini. Aidha, kamati hiyo inadai kuwa tangu Tundu Lissu atangaze nia ya kurejea nchini hivi karibuni imekuwa ikilifuatilia suala hilo kwa ukaribu.

Mh. Tundu Lissu anatarajia kurejea Nchini Tanzania siku ya tarehe 27 Julai mwaka huu baada ya kukaa muda mrefu nje ya nchi akifanyia matibabu kufuatia tukio la kuvamiwa na kupigwa risasi mnamo mwaka 2017.

Aidha, Tundu Lissu alitolewa katika kiti cha Ubunge mwaka 2019 na pia anakabiliwa na mashtaka kadhaa mahakamani.

SOMA: Tundu Lissu: Narudi kama Mwananchi huru tarehe 27 Julai 2020, Serikali inipe Ulinzi. Kesi zangu 6 zina dhamana, sitakamatwa

Zaidi soma

Mr. Tundu Lissu, a former member of the Tanzanian Parliament and a vocal opposition leader, is due to return home on 27 July. Mr. Lissu survived an assassination attempt in 2017 and has since been abroad for medical treatment after being shot 16 times.

Mr. Lissu was stripped of his parliamentary mandate in June 2019. Previously, he had been arrested and charged multiple times for sedition and related offences in connection with public statements he made that were critical of the Government.

After declaring his intention to return to Tanzania earlier this year, death threats have started to appear on social media and in the press. The IPU Committee on the Human Rights of Parliamentarians has been monitoring closely Mr. Lissu’s situation. The IPU Committee recently expressed its deep concern about the attempt on his life, the allegation that the assassination attempt was carried out with the support of the authorities, the revocation of his parliamentary mandate and legal charges brought against him. (Read the decision of the Committee.)

The IPU Committee urges the authorities to ensure that Mr. Lissu receives the necessary protection and that he is allowed to exercise his rights of freedom of expression and freedom of assembly. The IPU Committee also calls on the authorities to investigate the 2017 assassination attempt to identify and hold to account those responsible.

Chanzo: International Parliament Union
IMG_20200531_072737_186.jpg


Jr
 
Mwala, asante kuni tag,
Hawa Wazungu buana... Tanzania tuna freedom of expression na freedom of assembly hatuna haja ya kufunzwa na Wazungu hawa!.

Uchunguzi ulishindikana kufuatia tukio hilo kushuhudiwa na mashuhuda wawili tuu, Lissu na dereva wake, hivyo anasubiriwa ndipo uchunguzi uanze.

Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

P

TL alishasema kuwa atarudi Tanzania/nyumbani pale serikali itakapomhakikishia usalama wake, je serikali imeshafanyia kazi hitaji hilo?
 
Back
Top Bottom