Jumamosi iliyopita watu 20 walikufa wakigombea upako huko Moshi.Mara nikasikia vijana 10 wa JKT wamekufa wakiwa kwenye mafunzo.!
Upande wangu wiki hii ilikuwa na pilika nyingi +masuala ya binafsi na uchumi ,nikajikuta sio mfuatoliaji Sana wa habari.Leo nimejiuliza ,mbona haya matukio yamepewa...