lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,147
- 33,302
Kuna tatizo lolote kati ya RT na DSTV?
Kama hakuna tatizo naomba mimi Kama mteja mtuwekee na vipindi kutoka Urusi, sisi wengine ni wapenzi wa habari za kimataifa, pia hupenda kufanya ulinganifu wa taarifa.
Kwa bahati nzuri DStv mnarusha habari za dunia kupitia CNN,BBC,DW,FRANCE, na TV nyingine za MATAIFA mengine na hata nyigi tu za China Kama CGTN,TV za India na nchi nyingine kubwa lakini RT ya URUSI hamrushi.
Kama hamna tatizo Mimi mteja wenu kwa niaba ya wengine naomba mtirushie na taarifa za dunia kupitia RT ya URUSI.
Natumai ombi langu litakubaliwa.
Kama hakuna tatizo naomba mimi Kama mteja mtuwekee na vipindi kutoka Urusi, sisi wengine ni wapenzi wa habari za kimataifa, pia hupenda kufanya ulinganifu wa taarifa.
Kwa bahati nzuri DStv mnarusha habari za dunia kupitia CNN,BBC,DW,FRANCE, na TV nyingine za MATAIFA mengine na hata nyigi tu za China Kama CGTN,TV za India na nchi nyingine kubwa lakini RT ya URUSI hamrushi.
Kama hamna tatizo Mimi mteja wenu kwa niaba ya wengine naomba mtirushie na taarifa za dunia kupitia RT ya URUSI.
Natumai ombi langu litakubaliwa.