habari

  1. GENTAMYCINE

    Utashangaa bado kuna Watanzania 'watabisha' kuwa Tanzania hakuna kabisa uhuru wa vyombo vya habari

    “ Katika siku za karibuni kumeibuka tena tabia ya baadhi ya vyombo vya habari hapa nchini kushabikia, kutumika na kuwa mawakala wa kusambaza habari za uongo, uzushi na propaganda dhidi ya nchi yetu kutoka mashirika ya kimataifa au wawakilishi wa mataifa ya nje “. @TZMsemajiMkuu Ndugu zangu wa...
  2. Influenza

    Msemaji wa Serikali: Serikali imeelekeza, imeonya na kusamehe vya kutosha. Sasa kuvichukulia hatua vyombo vya habari vinavyosambaza taarifa za uongo

    Msemaji wa Serikali ya Tanzania, Dkt. Hassan Abbas kupitia ukurasa wake wa Twitter ndio ametoa onyo hilo kwa kusema; "Katika siku za karibuni kumeibuka tena tabia ya baadhi ya vyombo vya habari hapa nchini kushabikia, kutumika na kuwa mawakala wa kusambaza habari za uongo, uzushi na propaganda...
  3. J

    Ni nani huyu anayevujisha habari za Serikali yetu kule Canada?!

    Waziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa, kulikoni Canada? Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako". Prof Kabudi aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa...
  4. J

    BBC waipongeza JamiiForums, wadai ndio tegemeo pekee la habari za uhakika nchini Tanzania, wampongeza Melo na watendaji wake

    BBC wameipongeza JamiiForums kwa kuwa kimbilio la wananchi kupata habari za ukweli na uhakika Sasa Maxence Melo anahojiwa mubashara kuhusu tuzo anayoipokea nchini Marekani. Chanzo: BBC Dira ya Dunia
  5. kabila01

    Wizara ya Habari na Michezo hamtutendei haki watu wa mikoani Mechi za Kitaifa

    Mara nyingi mechi kubwa kama hizi utakuta ni channel moja tu inayorusha live zingine uki-tune unakutana na story zingine na kama huna king'amuz chao mpaka uende bat au vibanda umiza. Wito wangu: Ili kukuza uzalendo kwa timu yetu ya taifa hasa kwa sisi wananchi wa mikoani ingependeza kama Chanel...
  6. Kasimba G

    Waandishi wa habari wa Tanzania, Hoja kuu ya Mkapa ilikuwa nini?

    Wasalaam, Kuna tatizo la kimsingi la waandishi wetu wa habari, huenda ni kwa utashi, au uoga au muono pofu. Hoja ya Bwana Mkapa Jana imesulubishwa na kijihoja Cha kutakiwa kuuwawa kwa bwana mmoja! Nadhani waandishi walitakiwa ku -capitalize kwenye hoja za mleta hoja lakini wengi wao wameacha...
  7. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi TCRA, Afisa teknolojia habari na mawasiliano(TEHAMA)

    Overview The Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) is a quasi-independent Government body responsible for regulating the Communications in Tanzania. It was established under the Tanzania Communications Regulatory Act No.12 of 2003 to regulate the electronic communications, Postal...
  8. Erythrocyte

    Dhuluma ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa yatinga kwenye vyombo vya habari vya Kimataifa

    Tayari Aljazeera , BBC , CNN na AFP wameanza kulifuatilia kwa karibu
  9. Erythrocyte

    Chama cha ACT - Wazalendo chajiondoa kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    Hayo yametangazwa na kiongozi wa chama hicho Mh Zitto Kabwe. ACT WAZALENDO CHAIFUATA CHADEMA, CHAJITOA KUSHIRIKI UCHAGUZI. Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ametangaza kuwa chama hicho kimejitoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 24, 2019 kwa sababu...
  10. FRANCIS DA DON

    Kwanini sigara zinaruhusiwa kutangazwa kwenye vyombo vya habari?

    Nilikuwa nadhani ni vyema matangazo yote ya bidhaa za tumbaku yapigwe marufuku, hata zile promotion za sigara kwenye mabaa zipigwe marufuku kabisa. Hii inatokana na ukweli kwamba wavuta sigara hawahitaji kutangaziwa kwani wakipatwa na kiu ya sigara wataifuta popote ilipo. Hivyo basi matangazo...
  11. beth

    Uganda: Waandishi wa Habari walioandamana kupinga ukatili dhidi yao watawanywa kwa mabomu ya machozi, wengine wakamatwa

    Polisi imetumia mabomu ya machozi kuwatawanya Waandishi wa Habari wapatao 50 waliokuwa wanaandamana kuelekea Makao Mkuu ya Polisi Jijini Kampala kuwasilisha kero zao juu ya ukatili wa Polisi dhidi yao Waandishi hao kutoka Chama cha Waandishi wa Habari wa Uganda (UJA) walikuwa wakienda kukutana...
  12. Planett

    Taarifa kwa wateja kuhusu system ya malipo kati ya vodacom na iPay Africa

    Hatimae serikali ya wanyonge imetia PINI kwenye system ya malipo kati ya vodacom na iPay Africa. Wale tuliokua tuna trade forex na kutumia M-pesa kama njia ya kuweka na kutoa pesa Toeni pesa zenu haraka sana. Hivi kwanini serikali hii hua inasubiri kwanza ione watu wanajipatia chochote ndio...
  13. Analogia Malenga

    CHADEMA: Taarifa kwa vyombo vya habari juu ya mambo yanayoendelea katika uchaguzi wa serikali za mitaa

    CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA Wakati tukielekea mwisho wa ratiba ya kuchukua, kujaza na kurejesha fomu za uteuzi wa kugombea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji wa Mwaka 2019, ambao unatarajiwa kuwa leo jioni saa 10.00, Chama...
  14. Mystery

    Mo Dewji azidisha utata wa kutekwa kwake baada ya mahojiano BBC

    Siku chache zillizopita, mfanyibiashara maarufu nchini Mo, alihojiwa kwa mara ya kwanza tokea kuachiliwa huru mwaka jana na chombo cha habari cha nje, shirika la utangazaji la BBC Nilisikiliza kwa makini sana clip hiyo na ningependa maswali yafuatayo yajibiwe na viongozi wetu wa serikali 1...
  15. Pascal Mayalla

    Tanzania tuna uhuru wa habari, ila media oga! Tungekuwa mbali sana kimaendeleo, rushwa, uhujumu, ufisadi, ubadhirifu vingeibuliwa kabla

    Wanabodi, wale wenye access angalieni Star TV, kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinachorushwa live na Star TV, kila siku za Jumamosi asubuhi, leo Mtangazaji Mahiri, Leonard Mapuli yuko na Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Press Clubs, UTPC, Aboubakar Karsan, anamwaga nondo za kufa mtu...
  16. Pascal Mayalla

    Habari ya Dr. Shika Daily News: Dear Daily News, you are a broadsheet and not a tabloid!, habari za udaku, umbeya na udhalilishaji waachieni Tabloids!

    Wanabodi, Kupitia bandiko hili, imeripotiwa kuwa gazeti serious la serikali, The Daily News, ameripoti habari hii ya Dr. Shika https://www.jamiiforums.com/threads/bilionea-dr-shika-hana-sehemu-ya-kulala-analala-kituo-cha-magari-mnazi-mmoja-dar.1645086/#post-33317174 Imeripotiwa in a form of...
  17. W

    Al-Kasusi au Al-Kasusu ni kinywaji gani? Kinasaidia nini mwilini?

    Wana JF habari zenu. Nafikiri kuna watu mbalimbali wameshakutana na vijana mtaani wakiwa wamevaa kanzu na kofia wamebeba chupa za chai na vi-glass vya plastic wanauza sijui huwa ni vitu gani, sijui ndiyo hiyo Al Kasusu? Naomba anayejua anifafanulie na ina kazi gani hiyo kitu. Nawasilisha.
  18. Mpinzire

    Diamond Platnumz kuzungumza na vyombo vya habari kesho saa 5 asubuhi

    Jioni hii Diamond (Chibu) ameripoti kuwa kesho atazungumza na vyombo vya habari nchini. Je, Chibu anaenda kujibu mawe anayorushiwa juu Million 500 ya Konde boy? Usikose kesho saa 5 asubuhi kupitia Wasafi TV na Wasafi FM (88.9).
  19. Mystery

    Ni kwanini habari kubwa ya Amnesty International na Human Rights Watch haikutangazwa na vituo vyote vikubwa vya runinga nchini?

    Habari kubwa nchini hivi sasa ni hizi ripoti za Amnesty International na Human Rights Watch kuionya Tanzania kuhusu mwenendo wake wa kila kukicha, tokea Rais Magufuli aingie madarakani mwaka 2015, kupeleka sheria Bungeni za kukandamiza vyombo vya habari, kuziminya kampuni zisizo kuwa za...
  20. C

    Jamani mpenzi wangu hajapata siku zake mwezi saa, inawezekana ana mimba au?

    jamani habari za saa hizi mpenzi wangu hajapata siku zake mwezi sasa hivi ina wezekana ana mimba au?
Back
Top Bottom