Je kwa mawazo yako hizi sheria za habari ambazo zimekuwa zikilalamikiwa na kusababisha waandishi wa habari na wanasiasa wengi kufunguliwa kesi zimesaidia nchi yetu kwa miaka minne sasa?. Vilevile uzuiaji wa mikutano kwa wapinzani Je imeleta amani yeyote na imesaidia chochote?. Tuliambiwa kufanya hivi itasaidia maendeleo na hatutakuwa na siasa kwa miaka mitano!!
Kwa mawazo yangu binafsi yote hapo juu hayajasaidia badala yake yamegawanya nchi zaidi. Wapinzania wamepata njia za kuongea tena hizi za mitandao kwa miaka ijayo inawezekana zikazidi nguvu ya mikutano ya nje. Lakini vilevile tumeona hizi sheria zimeanza kuharibu uhusiano wetu na nchi nyingine. Hivyo sijaona faida ya hizi sheria zaidi ya majanga. Sheria nyingi za hivi hazitugwi kwa masilahi ya nchi bali ya watu wachache na chama zaidi.
Lawama hapa sio serikali pekee bali bunge letu
Kwa mawazo yangu binafsi yote hapo juu hayajasaidia badala yake yamegawanya nchi zaidi. Wapinzania wamepata njia za kuongea tena hizi za mitandao kwa miaka ijayo inawezekana zikazidi nguvu ya mikutano ya nje. Lakini vilevile tumeona hizi sheria zimeanza kuharibu uhusiano wetu na nchi nyingine. Hivyo sijaona faida ya hizi sheria zaidi ya majanga. Sheria nyingi za hivi hazitugwi kwa masilahi ya nchi bali ya watu wachache na chama zaidi.
Lawama hapa sio serikali pekee bali bunge letu