Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!
Wimbo huimbwao na Wabunge
UBETI 🎼
🎶Mama hatukudai
Mama huna deni
Mama Mitano tena
Shule ya Mama
Vyoo vya Mama
Maji ya mama
Bodaboda wa Mama
Ndizi za mama
Matunda ya Mama
Papuchi za Mama
Mijurubenge ya mama
Barabara za Mama
Mimba za mama
Mbususu za...
Mi nadhani Askofu Gwajima atakubali anavyoambiwa. Atafunga Kanisa lake halafu atasubiri kukata rufaa.
Au atakamatwa na Polisi na wafuasi wake watapiga kelele,"Mnamuonea. Mnamuonea Askofu"
Au wengine labda wana mawazo tofauti. Watu wakizidi pale unadhani itabidi Chalamila aende kuongea na Askofu?
Mtaalamu wa Uchumi na fedha, Ally Mkimo amefafanua dhana ya Uchumi wa Taifa, Vigezo vinavotumika kutambua iwapo Uchumi wa nchi Umepanda ama Umeshuka, Upimaji wa Uchumi Kimataifa lakini pia nini kifanyike ili dhana ya ukuaji wa uchumi na taifa uendane na ukuaji wa uchumi wa mtu mmoja mmoja...
Tatizo Halisi la Afrika: Si Ukosefu wa Rasilimali, Bali Ni Ukosefu wa Maadili Miongoni mwa Viongozi
Je, tatizo la Afrika ni la kiuchumi, kiutamaduni au kisiasa? Je, ni ukosefu wa vipaji au rasilimali? Au ni bahati mbaya ya kihistoria? Maswali haya yanaulizwa kila mara, lakini jibu halisi...
Habari za week end wapendwa.
Katika ulimwengu wa mapenzi na mahusiano kuna visa kadhaa tumevifanya ambavyo huwa baadae tunajiona kuwa tulifanya ujinga.
Kuna mkoa mmoja nilihamia na nikabahatika kukutana na watoto warembo sana ambao ni mtu na mdogo wake.
Nikatokea kuvutiea sana na mdogo mtu...
Hii ni nchi ambayo inakatiba ya kidemokrasia Rais wa nchi ya Tanzania kujihusisha na dikteta kama huyu sio kutendea haki nchi yetu
Hivi Tanzania tunamwelekeo gani kumwalika mwakilishi wa Kimjong Un (Korea Kaskazini)??
Kila nikisoma maandiko humu naona neno "MBUSUSU" halikosekani🙄
Mfano: kuchakata mbususu, kula mbususu nk..
Ni kinini hicho, maana Tanzania kwa Rejesta/ maneno yasiyo rasmi mnajiweza...
Naomba nijue isije siku nikalitumia sehemu isiyofaa..
NB: kuna mtu inbox aliniambia sijui kuchakata mbususu...
Kuna rafiki yangu alinihadithiaga kuna alikuwa na appointment na shemeji sasa akarequest bolt ya bodaboda hadi hapo kwenye hiyo Lodge. Akaja boda akapanda hadi sehemu husika, akaachwa getini kabisa.
Sasa amekaa siku siyo nyingi anaona namba ngeni imempigia, akapokea akajitambulisha yeye ni...
Sometimes to understand others peoples point of view, you have to internalize theirs and then judging them accordingly.
kwa mfao we mwanaume ungekua mwanamke, je?
usingeomba hela?
ungetulia na mwanaume mmoja?
ungemvumilia mwanaume asiye na pesa kisha ana gubu?
ungemsubiri mtu ambae amefungwa...
Mambo vipi Wakuu, Hivi karibuni nilianza kulipia kidogo kidogo kwaajili ya Kununua Pikipiki, kwa hawa watu hapa wapo Mbagala Zakiemu, Mimi nipo mkoa x Nimefanikiwa kulipia kidogo kidogo mpaka kumaliza, ila baada ya kumaliza wanasema kuna process mbili, Moja ni Kuhakiki Miamala (Yaani kuomba bank...
Heshima yenu wakuu, niende direct kwenye mada.
Alizongwa na zimwi aliskika jirani akitoa hoja kwa kijiji, sababu ya kukosa elimu ya maambukizi walihisi kulogwa ndio tafsiri ya gonjwa la ukimwi.
Huo ni ugonjwa jamani kama magonjwa mengine alisema mwalimu,
Mwenyekiti alifoka na kumwambia kaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.