game

  1. P

    JamiiForums Tanzania Alhaji Sheikh Ponda: Game Changer kwa kura za Waislamu

    Nidiriki kusema mchezo umeisha na CCM tumeliwa hadaharani.... Ingizo la Sheh Ponda katika kampeni za Lisu ni total disaster kwetu CCM.... Kwa ratiba ya Lisu niliona jana ataenda huu ukanda wa Kibiti, Rufiji, Lindi, Mtwara na Ruvuma pia.... Huko kwa Waislamu Sheh Ponda ananguvu kama ya Tsunami...
  2. The Humble Dreamer

    JamiiForums Tanzania Unalikumbuka hili Game?

    Wakuu Salaam: Unakumbuka hili Game? Uliwahi licheza? Tupe mbili tatu.
  3. T

    JamiiForums Tanzania In order to avoid chaos piracy, free and fair elections is inevitable

    Eye-gase , gunpowder, Bullets , Military, Police , cannot deal with peoples who were subjected in long periods of time. It better the government to enlightening how the multitudes decisions can be respected at the great extents. Without left any anxious . Peoples they will not agrees with any...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu the game changer, you deserve the medal

    In five years a go, The current regime, banned all Rallies, till 2020, this situations aroused the questions about, ending of the democracy. Also the Ward councilors and Member of the Parliament from various ares who resigned from oppositions were given power of returning to their former...
  5. BAK

    JamiiForums Tanzania Milwaukee Bucks watelekeza mchezo wa 5 NBA playoffs dhidi ya Magic kutokana na Jacob Blake kupigwa risasi na polisi

    The NBA and its players and coaches have taken myriad measures to make clear their support for the Black Lives Matter movement while standing against all racial injustice and police brutality, but in the wake of an unarmed Black man named Jacob Blake being shot seven times in the back in...
  6. Msukuma wa dar

    JamiiForums Tanzania Utambulisho wa game ya Twaha Kiduku Vs Dulla Mbabe umekaa kibongo movie sana, Shafii Dauda umebugi

    Nimeona tangazo kupitia Azam TV. Nikabaki nacheka tu. Nakumbuka siku wanasign pambano, Dullah alikuwa sereouz. Jamaa alishauri promoter atoe laki2 kwenye pesa yake ili ikitokea Kiduku amemaliza Round basi apewe. Baada ya hapo ni maigizo tu. Yani Shafii anawafundisha jins ya Ku-Act mpaka radha...
  7. Kevin85ify

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Northlands City: Nairobi Gate promises to change the game in Kenya’s warehousing and logistics industry

    Nairobi Gate promises to change the game in Kenya’s warehousing and logistics industry WEDNESDAY, JULY 29, 2020 16:31The first phase of the landmark Nairobi Gate Industrial Park development located off the Eastern Bypass in Nairobi is almost complete. The first two warehouses of 5,000 square...
  8. Mkogoti

    JamiiForums Tanzania Game of Death ya kwake Bluce Lee

    Wakuu habari zenu! Nimeona kuleta hili kwenu kwa maana nipo nacheck movie ya marehemu bluce lee inaitwa game of death Sasa katika hii movie bluce kuna sehemu alikuwa location anafanya scene ya movie harafu kuna jamaa kama wana bunduki flani ila wakawapa risasi za bandia ila kuna mmoja huyo...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Nahitaji partner ili tushirikiane kwenye Game Development

    Habari zenu wadau, Natafuta patners wenye interest ya game development kwa kutumia unreal engine au unity tushirikiane katika mambo mbali mbali. Pia, kama unajifunza game dev kwa kutumia libraries kama Libgdx, jmonkey, SDL, SFML Naomba tufahamiane nna mengi ya kuongea na wewe mdau wa Game...
  10. F

    JamiiForums Tanzania Nimependa spirit ya Molinga game na simba, nashangaa kwanini uongozi wa yanga haumpendi

    Habari wadau Nina majonzi ya kufungwa na watani japo nilijua kwamba watani wana timu nzuri kuliko yetu. Wachezaji wa yanga wamezingua sana leo hasa safu ya ulinzi.. Tukiacha yote nimependa amsha amsha za papaa Molinga.. nashangaa why wanayanga hatumpendi Spirit yake kali sana na leo ni...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Politics is a game of dynamics, Urais, Ubunge, Udiwani turufu ni CCM na TLP Tu, Siasa za Itikadi Tanzania hazipo tena! kikubwa mkono uende kinywani tu

    Wanasiasa hasa Wa Upinzani naomba mpitie huu Uzi kwa makini sana, MADA :"Politics is a game of dynamics,Urais,Ubunge,Udiwani turufu ni CCM na TLP Tu,Siasa za Itikadi Tanzania hazipo tena! kikubwa mkono uende kinywani tu" Jana nimefuatalia kwa kina Mkutano Mkuu Maalum Wa CCM uliofabyika Jijini...
  12. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Azam anashinda game mapema tu, kila la kheri

    Yah poleni mlioumia jana ndio hivyo maisha yanaendelea Nawatakia heri Azam FC kwenye ushindi wao wa leo Simba wataingiza baadhi ya wachezaji wa benchi na wale wasiocheza Wale ndugu zangu mnaobet muwe makini msijekosa mboga za wenenu
  13. Course Coordinator

    JamiiForums Tanzania Paul Pogba: Game changer

    Bila shaka wale wapenzi wa michezo wa mguu tuliobahatika kuangalia soka la jana ..mtakubaliana nami kuwa mchezo wa jana ulikuwa 50/50 Kwa maana ya point ila kutokana na viungo wabunifu wa Manchester United kupiga pasi na kumiliki mpira possession kubwa Man United walimiliki mpira shida ilikuwa...
  14. kali linux

    JamiiForums Tanzania Nimewatengenezea hili game (Android game) wapenzi wa Karata(Arubastini)

    Hello bosses. Wale wapenzi wa mchezo wa karata aina ya Arubastini nmewatengenezea hili game. Kwa upande wa LASTCARD nalo nitaliweka playstore hivi karibuni. Download kutoka playstore (search Karata - Arubastini). Au tumia hii link KARATA - ARUBASTINI - Apps on Google Play Itakupeleka...
  15. ronnycharlz

    JamiiForums Tanzania PC Game Trading?

    Kuna Gamer yoyote ambae ana collection ya PC games (2019 - 2020)? ninazo games kadhaa. kama tungeweza kubadilishana itakua poa. Don't tell me FIFA, GTA 5 and Call of Duty. XD
  16. Gentleman96

    JamiiForums Tanzania Simba SC na Yanga SC kwenye game PES2020

    Itakua jambo la furaha kuona club zetu pendwa za mpira wa miguu zikipatikana kwenye games kama fifa, Pes na magame mengine! Hizo picha nimezitoa kwenye ukurasa wa habari tu za kimichezo africa zone !
  17. blogger

    JamiiForums Tanzania Wale mliowahi chomoa "ndom" katikati ya game

    Mliambiwa nini na na hao wapenzi wenu hadi mkakubali na kwenda nyama kwa nyama.. Ulishawishi vipi hadi akakubali? Na wewe uliyekubali hadi ukaamua ku take risk..ulipigwa sound gani!?. Hii ni kwa wote Men and Women. Tupeane mauzoefu.
  18. Rockcity native

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo game pekee ya Taifa Stars iliyokula kiingilio changu kihalali

    Ilikua mwaka 2001 katika uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Ililikua Fainali ya Kombe la Castle. Stars ilishinda 3-1 dhidi ya majirani zetu Harambee Stars. Siku hiyo Stars waliupiga mwingi sana, support ilikuwa kubwa sana kutoka kwa mashabiki walioujaza Uwanja wa Kirumba. Magoli ya Stars yalifungwa...
  19. Stephen Ngalya Chelu

    JamiiForums Tanzania Kumbe hili ni game? Sikuwahi kujua kabla

    Kwa kwatumiaji wa Google Chrome nadhani mtakuwa mnakafahamu vizuri haka kajamaa kanakotokea wakati kukiwa na shida ya mtandao wa Internet. Sasa leo bwana nikasema ngoja nikaguse haka kajamaa, weee si kakaruka na kuanza kukimbia. Nikajiuliza ni nini hiki mara naona vitu kama miti ya jangwani...
  20. Da'Vinci

    JamiiForums Tanzania My review of a song of Ice and Fire: Game of Thrones series

    Kuna wakati unaweza kusoma kitu ukabaki unajiuliza mambo mengi sana juu ya mwandishi wa kitu hicho. Aliwaza nini,alipata wapi hii stori,ana akili yenye uwezo gani hadi kuandika kitu hiki. Basi ndio maswali mengi ambayo hua najiuliza juu ya huyu George Raymond Martin kutokana na uandishi wake wa...
Back
Top Bottom