game

  1. M

    Jicho langu la Kiufundi na Tahadhari kwa Simba SC kuelekea katika ' Desicive Game ' yake na AS Vita Club tarehe 2 April, 2021

    ANGALIZO Nitakayoyaandika (Kuyaeleza) hapa ni Maoni na Mtizamo wangu Mimi All - Rounder na sikulazimishi uukubali bali uheshimu tu tafadhali. PONGEZI Nisiwe mchoyo wa Pongezi kwa Mafanikio haya makubwa ambayo kwa sasa Klabu ya Simba imeyafikia ikiwemo Ushindi wake wa jana wa Magoli 3 kwa 0 na...
  2. T

    Biashara ya Michezo ya Video (Video Games): Jifunze Uendeshaji, Changamoto na Faida Zake

    Nataka nianzishe biashara ya kuchezeshaa game aina ya playstastion ila kabla sijaanza inanibd nifanye utafiti kuhusu biashara. naomba kwaa aliye na uzoefu na hilo aniambie faida na hasara zake. WADAU WANAOHITAJI MUONGOZO KUHUSU BIASHARA HII MAJIBU NA MICHANGO YA WADAU
  3. Gajungi

    Tunawezaje kuangalia mechi ya Simba kwa sisi tulio nje ya nchi?

    Heshima zenu bandugu, Sisi tuliopo nje ya Tanzania tunawezaje kuangalia match ya simba ya leo? Asanteni
  4. Mtyela Kasanda

    Game tano kali kama computer ina uwezo mdogo sanaaaaaaaaaaa

    Hizi game zinakubali hata kama computer yako ina RAM chini ya mb 200 1. Half life 2 2. NFS Underground 2 3. Far Cry 4. Doom 3 5. Zuma's Revenge
  5. D

    Hongera Profesa Ted Mlyamkono na Profesa Hugh Mason kwa kitabu cha Game Changer -" Magufulis first term in office"

    Nimefurahishwa na wazo la Profesa Ted Malyamkono na mwenzake kwa kuandika kitabu kinachoelezea mchango wa Rais JP Magufuli na mabadiliko aliyoyaleta ya kijamii,kisiasa na kiuchumi nchini. Mwelekeo Mpya Kitabu hiki angalau kimejaribu kuonyesha sera na maono ya Rais Magufuli kimaandishi na...
  6. Chizi Maarifa

    Kwa hii Simba ya hawa wachezaji, Yanga tusiposhinda Natembea Bila Nguo Kabisa. Babu amehakikisha

    Yanga tuna bao 2 Simba 0. Ushihidi ni huu uzi. Yanga tumeadhamilia kushinda hii match. Wakati Simba tayari wanaonekana kushindwa hii match mapema sana. Hivyo nawashauri wana Yanga tuanze sherehekea Mapinduzi Cup. Na hili kombe kwa kweli halina sababu ya kutotua Jangwani. Iwe mvua iwe jua...
  7. kcamp

    Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

    Kama Title ya thread inavyosema. Hii ni simple tutorial ya kuonesha jinsi gani utaweza kutumia modes mbali mbali katika game yako ya ETS 2. Sometimes inafika stage kwenye hili game unakua kama umechoka zile barabara zake, magari yake, limitations pia katika kununua trucks hadi kufikia level...
  8. F

    Kweli " sometimes politics is unpredictable game " , January, Nape, Ridhiwani na Kigwangala hawako kwenye Baraza la Mawaziri towards 2025!!?

    January Makamba, Mwigulu Nchemba,Nape Nnauye, Ridhiwani Kikwete na Hamis Kigwangala ukitazama vizuri ni baadhi ya vijana wa CCM ambao ama walikuwa "wanaandaliwa" au "kujiandaa" kutoa uongozi mkubwa kwa Taifa letu katika siku zijazo . Nasema hivi nikizingatia " generational succession plan" ya...
  9. J_Okay

    Taifa Stars vs Tunisia: Haikuwa game ya Boko wala Farid

    Makocha wanajua zaidi lakini sikuona kabisa mantiki ya kumchezesha Boko wala Farid mechi ya ugenini ya Taifa Stars dhidi ya Tunisia. Boko alikuwa cut-off kutoka kwa wenzake, akipewa mipira ananyang'anywa kirahisi na mabeki wa Tunisia waliomzunguka. Katika mechi hii Samatta angeweza kuonesha...
  10. H

    Game ya Tunisia vs Stars inaoneshwa wapi?

    Kwa sisi tunaotumia simu kuwatch mpira hii game tunaipataje?
  11. Trubarg

    Drones ni game changer kwenye vita

    Vita vya kisasa vinahusisha zaidi ya technologia ya Hali ya juu, yenye lengo la kupunguza gharama na kuongeza ufanisi. Kwenye uwanja wa Vita drones zimekua zikifanya Mambo ambayo pengine kwa Vita ya zamani kwa Sasa kutokuwa nafasi. Vita ya zamani watu walikua wanajificha kwenye mifereji na...
  12. GENTAMYCINE

    Kama alichosema leo Kocha wa Simba SC ni 'Mind Game' tu namuunga mkono, ila kama ni kweli 'lawama' zangu ziende kwa Uongozi

    Nimemsikia Kocha Mkuu Sven kuwa Wachezaji wetu muhimu, mahiri na tegemezi kabisa katika Kuamua 'Ushindi' Kiungo Clatous Chama na Washambuliaji Meddie Kagere na Chris Mugalu Kesho 'watakosekana' katika Mtanange wetu muhimu na Wapinzani wetu Yanga SC. GENTAMYCINE nasema kama Kocha amesema haya...
  13. P

    Alhaji Sheikh Ponda: Game Changer kwa kura za Waislamu

    Nidiriki kusema mchezo umeisha na CCM tumeliwa hadaharani.... Ingizo la Sheh Ponda katika kampeni za Lisu ni total disaster kwetu CCM.... Kwa ratiba ya Lisu niliona jana ataenda huu ukanda wa Kibiti, Rufiji, Lindi, Mtwara na Ruvuma pia.... Huko kwa Waislamu Sheh Ponda ananguvu kama ya Tsunami...
  14. The Humble Dreamer

    Unalikumbuka hili Game?

    Wakuu Salaam: Unakumbuka hili Game? Uliwahi licheza? Tupe mbili tatu.
  15. T

    In order to avoid chaos piracy, free and fair elections is inevitable

    Eye-gase , gunpowder, Bullets , Military, Police , cannot deal with peoples who were subjected in long periods of time. It better the government to enlightening how the multitudes decisions can be respected at the great extents. Without left any anxious . Peoples they will not agrees with any...
  16. T

    Tundu Lissu the game changer, you deserve the medal

    In five years a go, The current regime, banned all Rallies, till 2020, this situations aroused the questions about, ending of the democracy. Also the Ward councilors and Member of the Parliament from various ares who resigned from oppositions were given power of returning to their former...
  17. BAK

    Milwaukee Bucks watelekeza mchezo wa 5 NBA playoffs dhidi ya Magic kutokana na Jacob Blake kupigwa risasi na polisi

    The NBA and its players and coaches have taken myriad measures to make clear their support for the Black Lives Matter movement while standing against all racial injustice and police brutality, but in the wake of an unarmed Black man named Jacob Blake being shot seven times in the back in...
  18. Msukuma wa dar

    Utambulisho wa game ya Twaha Kiduku Vs Dulla Mbabe umekaa kibongo movie sana, Shafii Dauda umebugi

    Nimeona tangazo kupitia Azam TV. Nikabaki nacheka tu. Nakumbuka siku wanasign pambano, Dullah alikuwa sereouz. Jamaa alishauri promoter atoe laki2 kwenye pesa yake ili ikitokea Kiduku amemaliza Round basi apewe. Baada ya hapo ni maigizo tu. Yani Shafii anawafundisha jins ya Ku-Act mpaka radha...
  19. Kevin85ify

    Northlands City: Nairobi Gate promises to change the game in Kenya’s warehousing and logistics industry

    Nairobi Gate promises to change the game in Kenya’s warehousing and logistics industry WEDNESDAY, JULY 29, 2020 16:31The first phase of the landmark Nairobi Gate Industrial Park development located off the Eastern Bypass in Nairobi is almost complete. The first two warehouses of 5,000 square...
  20. Mkogoti

    Game of Death ya kwake Bluce Lee

    Wakuu habari zenu! Nimeona kuleta hili kwenu kwa maana nipo nacheck movie ya marehemu bluce lee inaitwa game of death Sasa katika hii movie bluce kuna sehemu alikuwa location anafanya scene ya movie harafu kuna jamaa kama wana bunduki flani ila wakawapa risasi za bandia ila kuna mmoja huyo...
Back
Top Bottom