Azam anashinda game mapema tu, kila la kheri

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
Yah poleni mlioumia jana ndio hivyo maisha yanaendelea

Nawatakia heri Azam FC kwenye ushindi wao wa leo

Simba wataingiza baadhi ya wachezaji wa benchi na wale wasiocheza

Wale ndugu zangu mnaobet muwe makini msijekosa mboga za wenenu
 
Kwa post hii sisi simba Leo tujiandae psychological maana Boss kashavuta mpunga kutoka kwa Boss wa Azam
Screenshot_20200701-091637.png
 
Back
Top Bottom