Yanga lazma apigwe ujiti na simba.Mim ni Yanga lakini naomba Azam akubali kufungwa ili Simba apate nafasi ya kukutana na Yanga tukate mzizi wa fitna.
Tena ujiti mkavuYanga lazma apigwe ujiti na simba.
We tako moko fc tulikufanyaje 8 march?Yanga lazma apigwe ujiti na simba.
Hio 8 March si ilikuwa nguvu ya vibuyu! Awamu hii lazma tuwatie mdudu wana utopolo fc!We tako moko fc tulikufanyaje 8 march?
Imani haba wewe tako moja fc.Hio 8 March si ilikuwa nguvu ya vibuyu! Awamu hii lazma tuwatie mdudu wana utopolo fc!
Majina yao tu yanaendana na uchawiMazee mengine sijui yakoje
Lugha za matusi sio nzuri, iko wapi fair play ya kimichezoIli waje wakusugue kimoja?
Ntakupa Mama mkwe wangu umuoe bureeeMazee mengine sijui yakoje
Nitaku Bujibuji ugeuke jinsia nyeti zako zihamie usoniMajina yao tu yanaendana na uchawi
Naona unajipendekezaNaomba unionyeshe tusi tafadhali Mr utopolo
A.k.a wazee wa kupigwa bombaImani haba wewe tako moja fc.
Sio utaahira kwani si kweli mnakalia tako moja baada ya kupigwa bomba hindumandal? Tunawastiri tu ila hii kashfa ingekuwa kwetu huku ndio ingekuwa wimbo wa taifa!Acha utahira
Tulia utaelewaKwa nani wewe?
Unakataje mzizi wa fitna na bingwa?Mim ni Yanga lakini naomba Azam akubali kufungwa ili Simba apate nafasi ya kukutana na Yanga tukate mzizi wa fitna.