Habari wadau
Nina majonzi ya kufungwa na watani japo nilijua kwamba watani wana timu nzuri kuliko yetu.
Wachezaji wa yanga wamezingua sana leo hasa safu ya ulinzi..
Tukiacha yote nimependa amsha amsha za papaa Molinga.. nashangaa why wanayanga hatumpendi
Spirit yake kali sana na leo ni mmojawapo waliocheza vizuri kwa upande wa yanga
Natamani Molinga abakishwe msimu ujao atokee hata benchi
Nina majonzi ya kufungwa na watani japo nilijua kwamba watani wana timu nzuri kuliko yetu.
Wachezaji wa yanga wamezingua sana leo hasa safu ya ulinzi..
Tukiacha yote nimependa amsha amsha za papaa Molinga.. nashangaa why wanayanga hatumpendi
Spirit yake kali sana na leo ni mmojawapo waliocheza vizuri kwa upande wa yanga
Natamani Molinga abakishwe msimu ujao atokee hata benchi