Nimefurahishwa na wazo la Profesa Ted Malyamkono na mwenzake kwa kuandika kitabu kinachoelezea mchango wa Rais JP Magufuli na mabadiliko aliyoyaleta ya kijamii,kisiasa na kiuchumi nchini. Mwelekeo Mpya
Kitabu hiki angalau kimejaribu kuonyesha sera na maono ya Rais Magufuli kimaandishi na kitaaluma katika kuiongoza nchi. Uongozi ni kipaji lakini pia ni taaluma.
Kila awamu tumeona mabadiliko, lakini kasi ya mabadiliko ya sasa ni kubwa mno na yanaonekana wazi. Falsafa ya Awamu hii ya hapa kazi tu inalenga kwenye matokeo yanayopimika( result oriented philosophy)pamoja na maadili nidhamu na uwajbikaji ambavyo ndiyo msingi na nguzo ya mafanikio.
Hapo awali awamu zilizopita Hapakuwa na misistizo kisiasa wa falsafa bayana yenye kuzingatia matokeo ingawa ilizungumzwa kwenye sheria kadhaa.
Aidha, uwepo wa mifumo yenye msisitizo wa ukusanyaji Kodi,Ulinzi wa raslimali, Udhibiti wa ufisadi nchini, uwajibikaji na mahusiano/mashirikiano ya kimataifa,miundombinu mipya ya kiuchumi na kijamii, mifumo mipya kwenye madini nk.
Haya ni mabadiliko makubwa ambayo kwa kweli ni "change maker" kwa kipindi hiki cha socio economic transition.Hogera prof Mlyamkono kwa kitabu hiki kizuri. Ninakubaliana na Waziri Mkuu kuhusu kuchapisha kitabu hiki kwa kiswahili kwa vile ni Urithi wa Vizazi Vijavyo.Mungu Ibariki Tanzania.
Kitabu hiki angalau kimejaribu kuonyesha sera na maono ya Rais Magufuli kimaandishi na kitaaluma katika kuiongoza nchi. Uongozi ni kipaji lakini pia ni taaluma.
Kila awamu tumeona mabadiliko, lakini kasi ya mabadiliko ya sasa ni kubwa mno na yanaonekana wazi. Falsafa ya Awamu hii ya hapa kazi tu inalenga kwenye matokeo yanayopimika( result oriented philosophy)pamoja na maadili nidhamu na uwajbikaji ambavyo ndiyo msingi na nguzo ya mafanikio.
Hapo awali awamu zilizopita Hapakuwa na misistizo kisiasa wa falsafa bayana yenye kuzingatia matokeo ingawa ilizungumzwa kwenye sheria kadhaa.
Aidha, uwepo wa mifumo yenye msisitizo wa ukusanyaji Kodi,Ulinzi wa raslimali, Udhibiti wa ufisadi nchini, uwajibikaji na mahusiano/mashirikiano ya kimataifa,miundombinu mipya ya kiuchumi na kijamii, mifumo mipya kwenye madini nk.
Haya ni mabadiliko makubwa ambayo kwa kweli ni "change maker" kwa kipindi hiki cha socio economic transition.Hogera prof Mlyamkono kwa kitabu hiki kizuri. Ninakubaliana na Waziri Mkuu kuhusu kuchapisha kitabu hiki kwa kiswahili kwa vile ni Urithi wa Vizazi Vijavyo.Mungu Ibariki Tanzania.