mbona umeandika kinyonge tena nimependa hili neno GHAFLA UNASHANGAA...Ghafla unashangaa mnyama kaduwazwa ugenini!! Dah! Hakika Mji utakuwa mtulivu sana kesho yake.
Nenda Facebook search simba vs ..... live.Heshima zenu bandugu,
Sisi tuliopo nje ya Tanzania tunawezaje kuangalia match ya simba ya leo?
Asanteni
Dua la nyani halimpati Simba,ila kesho kule Arusha mnapulizwa kinyama.Ghafla unashangaa mnyama kaduwazwa ugenini!! Dah! Hakika Mji utakuwa mtulivu sana kesho yake.
Kweli nimeamini mwaka huu nusu fainali tunafika, yaani hadi Utopolo mmekubali mziki wa Mnyama.Ghafla unashangaa mnyama kaduwazwa ugenini!! Dah! Hakika Mji utakuwa mtulivu sana kesho yake.
kweli nyakati zinabadilika, week kadhaa zilizopita mlikuwa mnasema "Simba anaenda kulitia taifa aibu ugenini au mnaenda kupigwa zile hamsa hamsa"Ghafla unashangaa mnyama kaduwazwa ugenini!! Dah! Hakika Mji utakuwa mtulivu sana kesho yake.
nimeishai-bookmark tayari..1-2ScoreBat: Football Livescore & Live Video
www.scorebat.com
ScoreBat: Football Livescore & Live Video
www.scorebat.com
Itategemea na matokeo ya Polisi Tanzania vs Yanga pia. Unaweza ukashangaa Simba anafungwa Sudan lakini kocha anayefukutwa kazi ni wa Yanga! 😂😂😂Ghafla unashangaa mnyama kaduwazwa ugenini!! Dah! Hakika Mji utakuwa mtulivu sana kesho yake.
Unaombea iwe hivyo halafu gafla haitokeiGhafla unashangaa mnyama kaduwazwa ugenini!! Dah! Hakika Mji utakuwa mtulivu sana kesho yake.