Nimshukuru kwa moyo wa dhati Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutambua mchango wa madaktari na uhitaji wa wananchi kupata huduma zenye weledi.
leo hii ameagiza madaktari 1000 kuajiriwa...hili sio jambo dogo kiuchumi kwani wage bill katika sekta hii moja tu ni kubwa.
Jukumu la...
Salam ziwafikie wana MMU wote,
Leo nimeona nije kuwacheki wadau wa MMU na kuwapa kisa cha dada mmoja maarufu sana Hollywood anaitwa Sharon Stone.
Upweke noma sana, hakuna shujaa mbele ya upweke au penzi,
Penzi ni pacha wa upweke, huzuni na furaha.
Mapenzi yanapo vamia roho ya mtu lazima atii...
Utalii ni mpana sana una vitu vingi sana ambavyo kuulewa inataka muda. Na si kila mtu anaweza fanya kazi katika taasisi za utalii ile ni professional kufikia hadi level ya PhD. Kwa mfahamu wa wengi wetu tunawafahamu tu waongoza watalii (tour guides), receptionists katika hotels ambao wamefanya...
DStv inaonyesha ligi ya England, EPL. Samatta kuchezea EPL kutaongeza watanzania ambao wataangalia EPL kwaajili ya kumuona kijana wao Samatat. Hii itaongeza wadau wa DStv, hivyo huu ni muda wa DStv kuangalia upya bei za vifurushi vyake ili watu wengi zaidi hata vijijini wamudu kulipia na...
Walio sajili line fikirieni kufungua mradi wa vibanda vya simu, mtapiga hela sana hasa mkifanya maombi ili NIDA wakwame kutoa namba za vitambulisho. Watu milioni 41 watazimiwa simu sasa ukipata wateja 100 watakaokupa 500 kila mmojanili watume sms au kuongea kwa dakika 1 basi utakuwa na 50,000/=...
Nawashauri TRC wakamate fursa ya kusafirisha abiria kati ya Dodoma na Dar es Salaam. Toka serikali imehamia Dodoma kumekuwa na upungufu mkubwa wa magari ya abiria hasa weekend. Nashauri waanzishe safari rasmi mfano kuwe na treni kila ijumaa jioni na isimame Morogoro pekee vilevile kila...
KUVUSHWA KWA KUBEBWA MGONGONI
Hapa Jana ilikuwa ndio option iliyopo maana kulikuwa hamna option ingine, unapanda mgongoni unavushwa mpaka ng'ambo jamaa anaenda kukuacha kwenye ktuo cha mwendokasi kisha anatafuta wakurudi nae kama yupo kama hamna anarudi peke yake kufuata mwingine.
Bei kwa...
Sijaandika huu uzi kwa lengo la kumkebehi mtu,
Dar kuna mifereji na mito mingi ambayo ikinyesha mvua kubwa kiasi tu inafunga mawasiliano kati ya watu wa huku na kule kwa dk kadhaa.
Unajitega unavusha masharobaro kwa jero, buku mpaka mia mbili. Usiache kichwa.
Jioni ukiingia mfukoni una 20...
Fani ya udereva wa magari imetoa ajira kwa wazee na vijana katika nchi yetu.
Katika kazi hii kuna changamoto mbalimbali wanazopitia ikiwemo kusafiri umbali mrefu.
Kuna mkasa mmoja jamaa alikuwa dereva wa bosi mmoja masharti ya yule bosi lazima dereva awe analala ndani ya gari na pia...
Kwanza nianze kwa kusema kwamba kuajiriwa sio vibaya,kufanya kazi kuajiriwa sio kosa,wala kuishi kwa mshahara sio dhambi.Watu wengi huwa wanakuwa na tafsiri mbaya sana wanpoona watu tunahamasisha watu kujiajiri bila kufahamu kwamba jamii yetu ina uhitaji mkubwa sana wa Job creators so...
Masharti ya kupata passport inatakiwa tu kitambulisho cha uraia zingine zote mbwembwe za kusumbuana tu sijui barua ya mwaliko sijui nini ujinga mtupu. Kwani mtu hawezi kwenda nchi nyingine kutafuta fursa hata kama hana mwenyeji?
Ona huyu kijana Mtanzania mwenye mgahawa China akipiga kazi baada...
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amemtaka Rais Magufuli kuleta maridhiano ya kitaifa na kwamba yeye na chama chake wamenyoosha mkono wa mapatano.
Ifuatayo ni Hotuba Fupi ya Kiongozi Mkuu wa Upinzani nchini Tanzania Freeman Aikael Mbowe mbele ya Watanzania katika kuadhimisha miaka 58 ya...
UELEWA zaidi juu ya mradi wa ujenzi wa Mto Msimbazi jijini Dar es Salaam unatakiwa kutolewa ili mradi huo ufanikiwe. Kauli hiyo ilitolewa jana jijini na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, George Simbachawene, wakati wa kikao cha kupokea wasilisho la mpango wa fursa za...
Salaam Wanajukwaa,
Nimekuwa nikiwasikia na wakati mwingine kuwaona baadhi ya watu wakiwa na mipango ya kuhamia maeneo fulani kiutafutaji na hivyo kuuliza wenyeji kuhusiana na fursa wanazoweza kuzipata huko!
Kwa upande wangu najaribu kujiuliza usahihi na msaada anaoweza kuupata mtu huyo kwa...
Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri
Inafahamika kuwa ukosefu wa ajira ni tatizo si kwa Tanzania tu bali hata kwa nchi zilizoendelea kama Marekani. Kwa hapa Tanzania limekuwa si tatizo bali ni janga kubwa ambalo hakuna anayelitafutia ufumbuzi wala kulitupia macho. Itakumbukwa kuwa siku za nyuma...
Wakati CHADEMA ikiwa inajiandaa kufanya uchaguzi wa viongozi ndani ya chama chao, wametoa orodha ya wagombea uenyekiti kanda mbalimbali za kichama. Orodha hiyo imenishangaza katika mambo mawili: la kwanza, orodha ya wagombea wote wa kanda zote 10 ni waheshimiwa kwa maana ya kwamba wana nafasi...
Wakati dunia nzima ikishuhudia uhuni wa hali ya juu, unaofanywa na serikali ya CCM katika kuekekea uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika tarehe 24 mwezi huu, vyama vya upinzani nchini, wananchi walio wengi pamoja na viongozi wa dini, wameendelea kutoa mwito kwa Serikali...
Nitumie nafasi hii kuwakaribisha wapambanaji wenzangu tusiokata tamaa katika kilimo. Bonde hili lipo KM 10 tu kutoka Iringa Mjini usafiri wa daladala na nauli ni sh 500 tu. Unaweza kukaa Iringa Mjini asubuhi unaenda shamba jioni unarudi.
Ukiamua kukaa kule poa mazingira mazuri umeme upo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.