“Natumai watoto wa sehemu maskini pia wawe na fursa ya kujiunga na vyuo vikuu bora”
Alichosema hayo ni Zhang Guimei mwenye umri wa miaka 63. Yeye ni mwalimu mkuu wa shule ya sekondari ya juu ya wilaya ya Huaping, mjini Lijiang. Hii ni shule maalum, ambayo wanafunzi wake wote ni wasichana kutoka...
Na Malisa GJ
Saniniu Laizer mchimbaji mdogo wa madini huko Mererani ameamka Bilionea baada ya kupata mawe mawili ya Tanzanite moja lenye uzito wa 9.2KGs na jingine 5.8KGs yenye thamani ya TZS 7.8 Bilioni.
Watu wengi wanajadili kuhusu Tanzania kumpata Bilionea mpya. Ni jambo zuri lakini kuna...
Kidumu Chama cha Mapinduzi
Napenda kutumia fursa hii kuwasihi na kuwahimiza vijana wa Chama Cha Mapinduzi tujitokeze kwa wingi katika kuchukua fomu za kuwania nafasi za kuteuliwa na chama chetu ili kugombea nafasi za kuwakilisha wananchi katika ngazi ya ubunge na uduwani, nawahimiza vijana...
TOR - Providing Support in Proofreading, Editing and Prepress VETA Labour Market Survey Reports
Job Summary
The programme is implemented and managed by Swisscontact INGO and works with public and private institutions including Vocational Education Training Authority (VETA). SET programme under...
Habari za wakati huu,
Kwanza nianze kwa kuwapa pole wale ambao katika kipindi hiki cha COVID wamejikuta katika wakati mgumu kwa sababu moja ama nyingine katika biashara zao na maisha kwa ujumla na kwa wale ambao wameifariki dunia katika kipindi hiki wapumzike kwa amani.
Nirudi kwenye mada kwa...
Vyama vya upinzani hasa Chadema kwa miaka karibia mitano kimekuwa kikipitia jahanamu ya dunia. Misukosuko mingi ya ndani na ya nje, mabadiliko ya uongozi n.k.
Kosa kubwa linalofanyika kwa Chadema ni kushindwa kutumia fursa vizuri. Hakuna habari njema ya Chadema ambayo itatolewa na chombo...
Ikiwa dunia inapitia kwenye mtikisiko mkubwa wa kiafya na kiuchumi baada ya kukumbwa na janga la corona.
Tumeshuudia biashara, ajira, uwekezaji nk vikiporomoka.
Lakini wanasema penye kila changamoto kuna fursa, tumeona baadhi ya fursa zilizojitokeza kwenye kipindi hiki kama ushonaji wa...
Berry farm vacancies 2020
Thank you for showing an interest in working on one of our fruit farms this summer.
As a result of the business impact of COVID-19, we know many people are looking for work and we have numerous seasonal vacancies available on our farms up and down the country. From...
Niseme tu ukweli, upepo wa Forex ulivoingia Tanzania na mimi sikuwa nyuma. Nilijitoa na mimi kimasomaso kuisaka fursa.
Kwa takribani miaka 3 kwenye game la Forex, imekuwa ni miaka ya kujifunza zaidi. Sikuweka nia ya kupata chochote kwa mda wa short term. Niliamua kupeleleza sana hii biashara...
Nimekaa nikawaza kwanini serikali ya awamu ya tano inakosa kabisa washauri wa Uchumi wa fursa za kimataifa ukiiangalia TZ katika kilomita zake za Mraba ni zaidi ya 900,000, hapo kilomita za Zenji bado hazijaingia , ukiwa unafanya safari unakutana na mapori mengi sana , mikoa mingine unakuta...
Kiwanda cha sukari Mtibwa Turiani kinatangaza fursa za ajira ya ukataji miwa kwa watanzania wenye umri kuanzia miaka 20-35, sifa za mwombaji awe ni mtanzania, aweze kufika kiwandani kusajiriwa akiwa na vitu vifuatavyo paspot size nne, kitambulisho cha mpiga kura au cha taifa, aje na kadi ya ATM...
Tunawapongeza NIMR kwa hatua mliyofikia.
Isipokuwa nina ushauri kwenu, tibalishe/dawa za wenzenu mzifanyie utafiti au majaribio mapema. Sio vizuri kuziacha muda mrefu hadi pale mtakapoifikisha ya kwenu katika hatua nzuri. Kama mlivyosema ya kwenu ni rahisi kuharibika (angalia video chini) na...
wakuu bado lock-down inaendelea japo kuna mwanga unaanza kuonekana baada ya hotuba ya leo ya waziri wa uchumi wa hapa switzerland bwana Guy Parmelin kuonesha matumaini ya kulegezwa kwa masharti katika phase ijayo ya kupambana na huu ugonjwa.
Turudi kwenye tafakuri ya leo kama heading...
Wanajamvi najua corona inatuumiza kwa namna moja au nyingine. Sio lazima uwe mgonjwa ili kuathirika na corona. Kuna watu kupitia corona wamefunga biashara nk
Lakini niwaambie wale wote wenye hela ambao wanaogopa kuwekeza kwa kipindi hiki cha corona, japo mnaogopa kuwekezalakini angalieni fursa...
Gonjwa la COVID 19 limewatia hofu watu wengi duniani kote, na wenye uwezo watalichukua kama changamoto na kulifanyia kazi.
Ninay hakika Coronavirus atapata m-arobaini wake mda si mwingi. Atakuwa gonjwa la kawaida tu kama magonjwa mengine, kama ataamua kubaki katika jamii. Bado kuna uwezekano...
Je, katika wakati huu wa hili gonjwa umeona fursa gani? Zingatia yafuatayao:
Endapo serikali ikiamuru kila raia avae barakoa, hii inamaanisha kwamba wafanyabiashara waanze kujiimbikizia makontena ya barakoa kwa matumaini kua watakuja kuuza hapo baadae kidogo?
Endapo serikali ikafunga mipaka...
Kila janga huja na Neema zake, poleni wote mnaouguliwa na kuuguza! Kwa sasa uhitaji wa Fumigation hauepukiki!
Maofisi yanatakiwa kuwa fumigated, mabasi, nyumba za Wageni, mahotel na kwingine.
Si kila dawa inafaa kutumika kwa fumigation, tupia uzoefu wako. Kizuri kula na nduguyo! Karibuni
Wengi tunatambua kuwa kwa sasa Dunia inapitia kipindi kigumu sana kutokana na hili janga la Corona virus. Hii kitu imegusa sehemu nyingi sana.
Naomba niweke wazo langu huenda likasaidia wachache nataka niguse sekta ya elimu kuanzia shule za awali mpaka sekondari.
Nimetafakari kwa kipindi hiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.