Nimekaa nikawaza kwanini serikali ya awamu ya tano inakosa kabisa washauri wa Uchumi wa fursa za kimataifa ukiiangalia TZ katika kilomita zake za Mraba ni zaidi ya 900,000, hapo kilomita za Zenji bado hazijaingia , ukiwa unafanya safari unakutana na mapori mengi sana , mikoa mingine unakuta nusu ya eneo la mkoa lipo wazi huku miundombinu ikiwa mibovu hasa sekta ya maji na Barabara, nikawa najiuliza kwanini serikali hii haitumii Diplomasia ya Uchumi na Siasa katika kugrab Dollari kutoka mashirika ya UN, nchi nyingine, Rwanda, Kenya , wanatumia sana mfano kuchukua wakimbizi.
Mfano kwa mkoa wa Dodoma upo very Dormant na population ya inakuwa taratibu sana , nitoe ushauri tu kwa vile Tanzania tumeisha mpiga mdudu CORONA na malimao yapo ya kutosha , serikali ichangamkie fursa ya kuchukua wakimbizi na kuwafutia maeneo ambayo yapo wazi wakakaa huko , then ikawa inachukua dolari za UN , itasaidia kukuza uchumi pamoja na Diplomasia ya Uchumi na Siasa.....
The UN Refugee Agency (UNHCR) urgently requires 343 million US dollars in order to meet additional needs of millions of refugees and other vulnerable people in the Middle East and North Africa related to the COVID19 pandemic.
The funds are needed to save lives and protect against COVID-19 from spreading, but also to address the dramatic socio-economic consequences of the pandemic on some of the most vulnerable people in the region.
The Refugee Agency plans to further scale up support for those most in need among 16 million refugees, internally displaced persons, returnees, stateless people and members of host communities in the region. In addition, the funds will contribute to improve the situation of Syrian refugees in Turkey.
Mfano kwa mkoa wa Dodoma upo very Dormant na population ya inakuwa taratibu sana , nitoe ushauri tu kwa vile Tanzania tumeisha mpiga mdudu CORONA na malimao yapo ya kutosha , serikali ichangamkie fursa ya kuchukua wakimbizi na kuwafutia maeneo ambayo yapo wazi wakakaa huko , then ikawa inachukua dolari za UN , itasaidia kukuza uchumi pamoja na Diplomasia ya Uchumi na Siasa.....
The UN Refugee Agency (UNHCR) urgently requires 343 million US dollars in order to meet additional needs of millions of refugees and other vulnerable people in the Middle East and North Africa related to the COVID19 pandemic.
The funds are needed to save lives and protect against COVID-19 from spreading, but also to address the dramatic socio-economic consequences of the pandemic on some of the most vulnerable people in the region.
The Refugee Agency plans to further scale up support for those most in need among 16 million refugees, internally displaced persons, returnees, stateless people and members of host communities in the region. In addition, the funds will contribute to improve the situation of Syrian refugees in Turkey.