fursa

  1. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania JamiiForums linaweza kuwa darasa zuri sana la waandishi wa habari wanaoiona fursa hii

    JamiiForums ni darasa huru ambalo kama mtu anatamani kuwa mwandishi bora kabisa wa masuala mbalimbali anaweza kujiona na kufikia viwango vya juu sana. Nashauri waandishi wa habari najaribu kuitumia fursa hii ili kuepusha uandishi holela na kurupushi. Nakiri kujifunza mengi sana yanayohusiana...
  2. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Prof. Kabudi awataka Mabalozi kujipanga na kutafuta fursa za masoko ya bidhaa za Tanzania

    Mabalozi wanaoiwakilisha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nje ya Nchi wameelekezwa kujipanga, kushiriki na kutafuta fursa zitakazowezesha bidhaa mbalimbali za Tanzania kupata masoko ya uhakika katika nchi walizopo. Agizo hilo limetolewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...
  3. A

    JamiiForums Tanzania Ma-MC kuigiza Tamthilia, Njaa au Fursa?

    Njaa imezidi kubana kiasi kwamba watu wanachungulia fursa popote. Yaani hakuna kuacha hata kazi ya Buku. Sisi wasanii wadogo tunaponea wapi?
  4. tapemeasure

    JamiiForums Tanzania Fursa kwa wanachuo wote.

    Mashindano ya 8 ya uwandishi wa essay kwa wanafunzi waliopo vyuo mbali mbali Tanzania.
  5. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Sisi ni wanachama wa Jumuiya ya Madola lakini tunatengwa katika fursa

    Mwezi wa 12, MK254 aliweka uzi hapa unaohusu Uingereza kuchukua Wakenya kwaajili ya ajira. Rafiki yangu alibahatika kwenda kwenye kongamano hilo lililofanyika Nairobi. Kwakua rafiki yangu anaishi Dar na ufuatilikiaji ulimshinda kwa vigezo. Wanaajiri kada zote mradi tu ujue kuongea na...
  6. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mwalimu mzuri wa Udereve Theory mwenye notes-Kuna Fursa

    Habari, Kama mada inavojieleza niko Mbioni kufungua chuo cha Udereva kwa ajili ya Mteja wangu mmoja na ninahitaji Mwalimu Mzuri wa udereva ambaye anatakiwa akidhi vigezo vifuatavyo: Awe na notes za electroniki za full course Awe anajua kutumia PC na Projector Awe tayari kujifunza zaidi Awe...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Mbunge wangu wa Kibamba, changamkia fursa ya mheshimiwa Rais haraka iwezekanavyo kabla ya bajeti

    Leo Mh. Rais wakati akizindua stand ya mabasi ya mbezi luis amepokea maombi murua kutoka kwa mwakilishi wa wananchi ambaye ni mbunge, nitapenda kuongelea ombi moja kati ya mengi aliyoyaomba kwa maana yote yamepata majibu safi sana. Ombi lenyewe ni barabara za jimbo la Kibamba. Nakupongeza sana...
  8. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Kwenye nchi zinazotuzunguka kuna fursa gani za kiuchumi?

    Hapa nazungumzia Kenya, Rwanda, Burundi, DRC, Zambia, Malawi na Msumbiji. Mbongo unaweza fanya jambo gani huko la kukuingizia kipato? Kazi na bidhaa gani zinahitajika huko? Changamoto zake ni nini?
  9. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Vijana itumieni vizuri Linkedln kuna fursa nyingi

    Vijana wengi tumewekeza sana wenye social networks kama facebook, instagram, na kwningine. Ila kuna mtandao huu wa ma experts na connection za kazi ambao ni wachache wanaoutumia vizuir, Linkedln. Huu mtandao ukiiutumia vizuir unaweza kukusaidia sana. Nilikuwepo kuwepo tu huko kwa muda mrefu...
  10. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Ugunduzi wa vifungashio badala ya plastic ni fursa yenye pesa nyingi

    Umeshawaza maisha bila vifungashio vya plastic kwa 100%. Kuachana na plastic ni wazo zuri lakini tachukua muda mrefu kutekelezeka. Fikiria mfuko wa chips unaununua kutoka kwenye barafu, vifungashio visivyo vya plastic vinavyohimili barafu ni changamoto kwa watunza mazingira. Wachina wamebuni...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Watu dhaifu ni hatari sana, wanakuwa hatari zaidi wanapopata fursa za uongozi

    Naam, wana bodi ! Niende moja kwa moja kwenye mada. Nayo inahusu watu dhaifu. Watu dhaifu ni watu hatari sana. Wakiwa wanasiasa wanakuwa hatari zaidi. Ni waoga wa mabadiliko. Waangalie wale wote waliobeba agenda ya mitano tena. Karibu wote ni dhaifu kisiasa na kijamii. Wanaposema mitano tena...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Fursa ya kiwanja Chanika

    Kiwanja kipo Chanika mwisho njia ya Mvuti (Kwa Bwaje) Ukubwa wa kiwanja ni 20 * 40 (sqm 800) Umeme na maji vipo karibu. Bei ni Millioni 4 mazungumzo yapo. Kiwanja hakina dalali ni cha kwangu na document zote muhimu zipo. Mwenye kuhitaji tuwasiliane PM tuyajenge.
  13. The Sheriff

    JamiiForums Tanzania Waanzilishi wa jukwaa la GigSpace wawaasa vijana kutumia fursa za teknolojia ya mtandao

    Ofisa Mtendaji Mkuu na mbunifu wa jukwaa la Gigspace, Ashura Babi, akiwa na mwanzilishi mwenza, Steve Mawalla, wamesema waliamua kuanzisha jukwaa hilo kwa ajili ya kuwaongezea na kuwafungulia vijana pamoja na wafanyakazi fursa pia za ajira kupitia mtandaoni. Akizungumza katika mahojiano na...
  14. DSJ

    JamiiForums Tanzania Fursa kwa wenye Shahada ya Uandishi wa Habari na/au Mawasiliano kwa Umma

    Fursa ya Ajira kutoka DSJ Tuma CV yako kwenda: application@uti.ac.tz Sambaza upendo huu kwa uwapendao
  15. B

    JamiiForums Tanzania Corona: Ugonjwa unaoua, uliogeuzwa fursa ya kisiasa Tanzania

    Mabibi na mabwana tumwogope mola aliyetuumba sisi na wote wanaoitwa binadamu. Misahafu ya kikristo inatambua: "Kumpenda jirani yako kama nafsi yako." kuwa ndiyo amri iliyo kuu. Hivi tutajibu nini Akhera sisi kwa udhalimu tunaowatendea wengine? Leo tumefikia mahali pa kutumia nguvu...
  16. Tanzania Railways Corp

    JamiiForums Tanzania Tangazo: Kongamano la wadau kujadili fursa katika mradi wa SGR

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC) kwa Kushirikiana na Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF) inapenda kuwaalika wafanyabiashara, watoa huduma, wakandarasi, wasafirishaji wa mizigo na wadau wote katika Kongamano la wadau utakaofanyika jijini Mwanza katika...
  17. V

    JamiiForums Tanzania Wenye kuhitaji kazi za ndani fursa ndo hii

    Kampuni hii imejikita kuwatafutia mabinti wa kike kazi za ndani
  18. chongoe

    JamiiForums Tanzania Fursa ya kulekezana jinsi ya kupata pesa, njoo Mafia kama unaweza kuvua

    Mimi sina fursa ya pesa ila fursa ya kuelekezana jinsi ya kupata pesa kwa njia ya uvuvi ukiwa wewe kijana una nguvu njoo Mafia kama unaweza kuvua huku utavua au utavusha maisha yataenda. Ukiwa mgeni utapokewa tu hata na mimi ila uwe mtu wa amani na kitambulisho kitachokuonyesha wewe ni nani...
  19. Naantombe Mushi

    JamiiForums Tanzania Kwanini barabara za mwendokasi zisitumike pia kama barabara za kulipia? UDART hamuoni hii fursa??

    Majira ya asubuhi na jioni ukiwa sana sana hii barabara ya Morogoro road, unaona kabisa kuna watu wanakereka na hili lifoleni huku barabara ya mwendokasi ikiwa tupu kabisa. Wengi wamekuwa wakiibia ibia kupita kwenye mwendokasi, lakini ni wale wenye guts zao. Nikakaa nikafikiria, ni kwanini...
  20. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania The SGR War: Wakati Kenya wakisuasua, Uganda wameamua kujenga SGR. Hii ni fursa kwa SGR ya Tanzania. Is it viable? Tuichangamkie?

    Wanadodi, Leo nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa, leo nikianzia kuibuka kwa fursa mpya kwenye reli ya SGR ya Tanzania, karibu. Wakati Tanzania tukiendelea na ujenzi wa reli yetu ya SGR, shughuli nzito kwenye SGR sio ujenzi, bali ni kuiendesha kwa faida...
Back
Top Bottom