fursa

  1. Naantombe Mushi

    Kwanini barabara za mwendokasi zisitumike pia kama barabara za kulipia? UDART hamuoni hii fursa??

    Majira ya asubuhi na jioni ukiwa sana sana hii barabara ya Morogoro road, unaona kabisa kuna watu wanakereka na hili lifoleni huku barabara ya mwendokasi ikiwa tupu kabisa. Wengi wamekuwa wakiibia ibia kupita kwenye mwendokasi, lakini ni wale wenye guts zao. Nikakaa nikafikiria, ni kwanini...
  2. Pascal Mayalla

    The SGR War: Wakati Kenya wakisuasua, Uganda wameamua kujenga SGR. Hii ni fursa kwa SGR ya Tanzania. Is it viable? Tuichangamkie?

    Wanadodi, Leo nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa, leo nikianzia kuibuka kwa fursa mpya kwenye reli ya SGR ya Tanzania, karibu. Wakati Tanzania tukiendelea na ujenzi wa reli yetu ya SGR, shughuli nzito kwenye SGR sio ujenzi, bali ni kuiendesha kwa faida...
  3. FAJES

    Watoa huduma shughuli za Usafi na Urembo wanahitajika Dar es Salaam, changamkia fursa sasa

    TANGAZO LA KAZI TAREHE 17, DISEMBA 2020. BEITO IINTERNATIONAL COMPANY LTD, tunajihusisha na shughuli za usafi na urembo. Ofisi zetu zipo Dar es Salaam, Wilaya ya Kinondoni, Mwenge, ITV. Huduma tunazozitoa ni hizi zifuatazo; USAFI Usafi wa nyumbani wa kila namna kama vile kusafisha ndani na...
  4. Red Giant

    Naiona hii fursa kutoka kwenye mianzi

    Gongo ni kiswahili cha spirit. Duniani kuna aina nyingi sana za mianzi. Mianzi inayopatikana Africa kwa wingi inaitwa Oxytenanthera abyssinica. Hii ni mianzi ya kipekee sana kwa sababu mbili. Kwanza ni mianzi inayovumilia sana ukame na mbili ni kwasababu ni mianzi pekee inayotoa pombe ya...
  5. blessideal

    Fursa kwa Developers

    Sio mwandishi mzuri lakini nataka kushare hii na watanzania, Hii ni moja ya fursa kubwa zinazopatikana duniani kwa sasa,Kutokana na ukuaji wa masoko na mwendelezo wa ukuaji wa teknolojia. Leo hii nawaletea fursa kubwa ambayo inaweza kuwasaidia watu wenye ujuzi kuhusu masuala ya mitandao hasa...
  6. S

    GE2020 Catherine Ruge: Kwa mateso haya niliyoyapata, siwezi kusaliti chama changu na Wananchi wangu wa Serengeti walioniamini

    Ameandika hivi kupitia twitter: Kwa Mateso na Maumivu haya niliyopitia Siwezi kusaliti chama Changu na Wananchi wa Serengeti walioniamini na Kunipa Heshima Kubwa Kama Msubhati wao.
  7. safuher

    Ushauri kwa Serikali: Naomba isiwapangie bei ya kuuza cement,wachwe watumie fursa

    Naishauri Serikali yangu ambayo ina lengo kubwa la kuinua viwanda na biashara katika hasa suala hili la cement. Naomba Serikali isiingilie bei na kuwapangia wauzaji wauze kwa bei fulani na bei fulani, hii naona kama inarudisha nyuma kidogo. Acha watu wanunue kila mmoja auze kwa bei yake...
  8. T

    Mwaka 2020 unaisha, njooni tujadili fursa za kibiashara 2021

    Wakuu, kama kichwa cha habari kinavyo jieleza mwaka ndio huo umekatika njooni tupeane fursa za kibiashara kwa mwaka 2021. Ili tuweze kujipanga vyema. Kwa mwaka 2021 afe kipa, afe beki lazima nianzishe kabiashara japo kadogo, nafikiria kufanya biashara kwenye masoko, nalenga kuanzisha banda la...
  9. Miss Zomboko

    Rais Magufuli: Nataka nimwambie Mheshimiwa Kassim, kazi ya uwaziri mkuu haina 'guarantee'

    Baada ya kumteua kisha kuthibitishwa na Bunge mwishoni mwa wiki, leo asubuhi Rais John Magufuli atamwapisha Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa ataapishwa ili kuendelea kutekeleza majukumu yake kwa kipindi cha pili ikiwa ni siku tatu baada ya Bunge kumthibitisha. Mkurugenzi Msaidizi wa Idara...
  10. H

    Hongera Vodacom M-Pesa kwa kuleta Open API - Fintech developers tutumie fursa

    Katika dunia ya sasa ambapo kwa sehemu kubwa tunahitaji simplicity nawapongeza Vodacom M-Pesa kwa kuachia API zao za M-Pesa ili developers mbalimbali kuweza kutengeneza products ambazo zitakuwa na uwezo wa kulink na huduma za M-Pesa bila longo longo au procedures nyingi. Sasa ni wakati wetu...
  11. S

    Katika awamu hii chini ya Rais mpya Malawi, Magufuli atumie fursa hii kutatua mgogoro wa mpaka kati ya Malawi na Tanzania

    Hili tatizo la mpaka kati ya Tanzania na Malawi hadi leo halijatatuliwa. Suala ni kwamba, kuna dalili za mafuta ndani ya Ziwa Nyasa, ambalo Malawi wanaliita Ziwa Malawi. Na suala la uwezekano wa mafuta lilizua upendezi mpya wa ziwa kwa Malawi wakasema kwamba mpaka kati ya Tanzania na Malawi siku...
  12. Masokotz

    Ukiitiwa fursa ujue wewe ni fursa

    Fursa ni nini? Katika kufanya kazi na wajasiriamali wengi nimegundua kwamba wengi huchanganya FURSA na kujikuta wanapoteza FURSA.Kama mjasiriamali na mtu mwenye kiu ya mafanikio lazima ujue kwamba KILI KITU na KILA MTU na FURSA kwa kutegemea jinsi unavyokitazama. Kwa mfano kama mtaa ni mchafu...
  13. B

    Uwekezaji Rwanda kwa sekta ya Kilimo inampa mtu matumaini sana kwa fursa hizi

    Fiscal incentives offered by Rwanda when you invest in Agriculture: Duty-free importation of all inputs Tax exemption for agriculture equipment 50% reduction in corporate income tax, if you are a registered investor exporting 50% of the turnover of products produced in Rwanda 7-year tax holiday...
  14. wanzagitalewa

    Sekta ya mawasiliano ya simu na kukua kwa teknolojia kunavyobeba fursa za uwekezaji nchini

    Hakuna shaka yoyote kwamba mapinduzi ya kiteknolojia yameleta mabadiliko makubwa katika maisha yetu ya kila siku. Ugunduzi wa kupata mtandao wa intaneti ni moja ya mabadiliko makubwa zaidi katika teknolojia, kwamba leo hii ukiwa na simu janja yako na bando basi unapata intaneti. Programu...
  15. Mung Chris

    GE2020 Kumsimamisha Lissu siku 7 ni fursa kwake au faida kwa Tume na CCM?

    KILA KITU ANACHOKIFANYA LISSU KIPO CALCULATED Na Thadei Ole Mushi Kumzuia was a technical mistake again, Hizi siku 7 atazurura hapa Dar ambapo kuna wapiga kura 3.5 Milioni mpaka Milioni 4 Kwa kuingia mtaani inaweza kuendelea kuzivuna kwa njia Moja au nyingine. Ratiba yake kwa hizo siku...
  16. Sky Eclat

    Fursa ya biashara kwa sisi wa Uswahilini

    Nilikwenda soko la Ferry kununua samaki. Niliona wavuvi wanauza dagaa kwa ndoo. Wazo nililolipata ni kwenda Ferry asubuhi na jiko la mkaa na kopo moja tu la mkaa ndani. Chupa ya mafuta na chumvi. Ukishanunua wale dagaa unawakaanga pale unawaweka kwenye ndoo na kupanda nao mwendo kasi...
  17. FrankLutazamba

    Serikali kwanini wahitimu wa bachelor of arts with education wasiwe mawakala wa ttcl na airtel nchi nzima wakati wakingoja fursa

    Najua vijijini na kwenye kata hakuna mawakala wa ttcl na airtel, kwanini msiwaajili walimu hawa wanaojua customer service vizuri wakawa mawakala kwa kuwapa mafunzo kidogo ya kutatua matatizo ya mtandao. Mh Dr. Jakaya Kikwete aliwahi sema 'degree yeyote mtu anaajiliwa kazi yeyote kutoa sheria na...
  18. Mrs Bishanga

    Re: Fursa: Open Call | Art Exhibition

    WASEMAJE? What Do You Say? OPEN CALL | ART EXHIBITION ABOUT THE EXHIBITION Wasemaje Art Exhibition seeks to provide a platform for artists to freely express what is currently on their mind through art, and for the public to engage with artistic interpretations of the experiences of...
  19. Sami Omary Khamis

    GE2020 Utekelezaji wa Ilani ya CCM 2015-20 kwenye kuongeza fursa za ajira

    Na Bwanku M Bwanku Fursa za ajira ni eneo muhimu sana katika kukuza maendeleo ya kiuchumi na kijamii ambapo jamii hususan vijana hupewa nafasi ya kuchangia utaalam wao katika kufanya kazi ili kuchangia kukuza maendeleo ya Taifa. Serikali iliyoundwa na CCM katika miaka mitano iliyopita iliweka...
  20. wanzagitalewa

    Teknolojia ya Kidijitali ilivyo fursa ya kukuza uchumi endelevu Tanzania

    Katika miaka ya hivi karibuni, teknolojia ya kidijitali nchini Tanzania imezidi kukua na kulisaidia taifa hili kuwa moja ya taifa linalokuwa kwa kasi kwenye eneo la teknolojia ya kidijitali Afrika Mashariki. Ni wazi kuwa ukuaji huu umechangia kwa kiasi kikubwa kufungua fursa mbalimbali za...
Back
Top Bottom