Mada inahusika.
Fanyeni survey kote nchini uone namna ya baadhi ya wana CCM walivyojengeka kiburi linapokuja suala la haki na chaguzi huru. Ndivyo walivyo mara zote na kote si Bara wala Zanzibar.
Kupitia kunufaika na Dola kwa njia mbali mbnali wanajiona wana haki zaidi ya watanzania wengine...
Mtunzi wa wimbo uliovuma zaidi miaka ya nyuma wa ‘Tanzania yetu ndio nchi ya furaha’, Mzee Stephen Hizza amwemwambia mtangazaji wa kipindi cha zilipendwa wiki iliyopita TBC Chacha Maginga anasikitika licha huo wimbo kuwa maarufu radio Tanzania lakini Serikali ya Awamu ya Nne pekee ilimpa ahadi...
Kuna watu wajinga sana kwenye suala liitwalo mapenzi.
Anamwita demu mpenzi huku K anaipata kwa kutoa fedha. Unaweza kutoa fedha lakini isiwe ndio mchezo kwamba usipotoa pesa demu hakuelewi.
Mwanamke ambaye mnaweza kukutana kimapenzi kisha mkatawanyika bila mmoja kupewa pesa then akatoka...
Hili ni jambo linalonishangaza sana ! na kwa kweli naomba mwenye kujua siri ya hili anifahamishe.
Wanachama na viongozi wa upinzani kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita wamenyanyaswa kuliko miaka yote ya ukoloni nchini Tanganyika enzi zile, wameteswa , wamepotezwa, wamepigwa risasi...
Kibinadamu, kumuona Lissu akiwa hai lakini anachechemea, kutosababisha mixed reaction kubwa sana kwa wataofika kumpokea na popote atapokwenda kwa kipindi cha muda fulani mpaka watu wazoee kumuona katika hali mpya aliyonayo.
Lissu mwenyewe, kama anavyoonekana katika clips zilizoko mitandaoni...
Tunakumbushana tu kwa sababu siasa ni sayansi.
Kwa sasa Job Ndugai bado anataka kuendelea kuwa Spika na Dkt. Tulia Ackson anautamani uspika. Ili kuepusha shari CCM ina utamaduni wake kama huujui angalia Dkt. Kigwangalla aliingiaje bungeni kwa mara ya kwanza.
So wale watani zangu wa Ufipa...
Habari,
Naomba kupata Taarifa ya mshindi wa kura za Maoni Jimbo la Kawe ndugu Furaha Dominic ni nani haswa?
Imekuwaje akawashinda vigogo wengine kwenye kura za maoni ndani ya CCM katika Jimbo la Kawe?
Je, ni mpinzani sahihi kwa Halima Mdee kwenye uchaguzi wa Oktoba?
Amesema chama chao katika uchaguzi wa 2020 kinakuja na agenda ya “Furaha kwa Watanzania inawezekana”
Pia Professa Lipumba amewaomba CCM kuwa na siasa za ustaarabu kitapoanza kipindi cha kampeni akisisitiza kupambana kwa hoja
Ameyasema hayo Leo Mwenyekiti wa CUF Prof. Lipumba.
#2020CUFMwakaWetu.
Habari ndio hiyo, yaani hata huku jukwaani nyuzi za vijana wa BAVICHA ni zakinyonge mno, mara hawaiamini tume hii iliyowatangaza Sugu, Mbowe, Lema, Msigwa na wengine kuwa wabunge.
Mara hawawaamini polisi wanaolinda raia na mali zao mara wanadai katiba😂😂😂😂
Kwakifupi hawa machalii wa BAVICHA...
Kwa upande wa wanawake furaha yao ni kuolewa na kuzaa basi. Na endapo mwanamke atakosa hivi wanawake hupata maumivu makali na hujisikia kasoro kwenye jamii.
Ni maumivu gani aliyonayo Wema Sepetu au Lady Jay Dee kwa umri huo kukosa mtoto au watoto?
Kutokana na maumivu haya hupelekea wanawake...
Kila siku ww kulaumu una negative mindset hauoni madaraja yanayojengwa baki huko huko tu usije kutuharibia nchi yetu
Hauoni mabarabara yanayojengwa unalaumu tu kila kitu baki hukohuko
.
Hauoni ufufuaji wa shirika LA ndege baki huko huko
Hauoni faida ya Reli inayojengwa tunakuomba ubaki huko...
Kwanza niwapongeze EWURA kwa ‘at least’ kuonesha kwamba wanamjali mwananchi wa chini. Bei ya mafuta (petrol) imeshuka karibu kwa asilimia 28% kutoka wastani wa Tzs 2,100 iliyokuwepo kuanzia mwanzo wa mwaka huu (Pre-Corona Crisis) mpaka bei ya sasa ya Tzs 1,500 kwa lita.
Katika kipindi hicho...
Mwanadamu yeyote kitu anachotarajia kabisa maishani ni furaha na amani. Utataka upate mpenzi mzuri, mrembo kuliko wote ili akupe furaha.
Mwanamke atataka mpenzi mwenye hela, mcha Mungu, mpole, etc akitarajia furaha. Utataka gari Kali sio kwamba likusafirishe tu, Bali pia likubebee jina lako...
FURAHA NA HAKI SAWA KWA WOTE
Waasisi wa The Civic United Front(CUF-Chama Cha Wananchi) walikutana katika Ukumbi wa Starlight Hotel, Mjini Dar es Salaam tarehe 20-21 Novemba 1992 walitoa Tamko ambalo ni Utangulizi wa Katiba ya Chama Chetu. Katika Tamko hilo walieleza kuwa:-
"Sisi Watanzania...
Siku za hivi karibuni baada ya ujio wa mitandao ya kijamii; nchini Tanzania kila kitu kimekuwa utani na hivyo kufanya mambo kuwa mepesi na msongo wa mawazo kupungua.
Kwa ufupi tunapeana burudani ya kutosha humu online. Nadhani zile takwimu za kuwa hatuna furaha sasa ziwe reviewed tuwemo...
Mfano hai kabisa ambao nimeshuhudia kwa macho yangu mitaani na pia katika mitandao, ni ile hamu na shauku waliyokuwa nayo baadhi ya waTz kuona ugonjwa wa Corona ukiingia Tz, na unamuona kabisa mtu huyo anaumia kila walipoambiwa kuwa ugonjwa bado haujafika.
Ile siku yule dada wa huko Kaskazini...
1. si mpenda pesa
2. si mwenye dharau
3. si mwana wa shetani
4. si muongo na mbabaishaji
5. si malaya / muhuni
6. si mwizi na mchawi
7. si mpumbavu na mnafiki
wasifu wangu kiufupi
majina: cellulaire mjukuu chirama
dini: mkristo wa dhehebu la katoliki
kabila: myao kutoka mkoani lindi
umri...
TUELEWANE MAPEMA, MAMBO MUHIMU.
1.Mtoto wangu hachezi na watoto wa kihuni mitaan na akienda kijijini ni nje kidogo ya mji na ndiko nlipokulia, watoto anaocheza nao wengi walezi wao nawajua tunafahamiana, pia hakuna watoto wa mitaani huko kama mjini.
2. sifurahi kwamba mwanangu ni mjanja au...
Jiji la Dar es salaam limeshika nafasi ya 181 katika majiji 186 duniani kwenye rank za majiji yenye watu wenye furaha.
Dar es Salaam imepita majiji ya Juba (Sudan Kusini), Port -au Prince (Haiti),Gaza (Palestine) Sanaa (Yemen) na Kabul (Afghanistan).
Furaha ni kitu kikubwa sana kwenye maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.