Ntanatz
Member
- Aug 5, 2019
- 69
- 77
Asaalam alaykum eko tu kama mumeshinda biyee,
Mie kwangu ni afuheni bwana yesu na asifiwe..
Nikaona nipitie kwa babu
Nikapate kikombe,
Mana ligi bado kubwa mpinzani anahitaji kombe..
Kinachofata dua niombe,
Huko ushindi ligi ya mbuzi mganga kaagiza ng'ombe
Achana na hayoo comrade!!
MIMI: Ehe umesikia nini mwenzangu namimi
Naona mambo nayo mengi
Ila yanaenda chini chini??
BABU: Nipo kusini mwa kisiwa cha utukufu
wambie ule ugonjwa upo Na
Unazidi kuua kuku..
Mdudu manyoya kalewa kaingia huku,
Japo bado hatuna hakika
Acha tuendelee kushuku..
Mimi: ila ng'ombe mbona wanaenda sana babu?
Au kisa umaarufu wao kwetu ndo unatupa tabu??
Kwani
R.I.P ni nini naisikia sana mjini hivi ina maanisha nini??
Babu: waulize wanaogoma wanagoma nini?
sura zao zimefura kwani kuna shida gani??
MIMI: DAAAH nieleweshe basi mtani au unataka na me niseme R.I.P fulani????
Babu: Koma tena kaaa kimya
Wameshajikabidhi kila kitu chao..
Usije baki jina nkapata shida
Ya kulea wanao, kuna kiza
Mimi: mbalamwezi ipo nayo inafaa
BABU: Kuna kiza
Mimi: simu ipo nitawasha taa
Babu:hicho ni kiza chenye mwiba na karaha, me nakukataa kaa ukijua kuna balaa
Mimi:babuu
(Kimyaa)
Mimi: babuu
(Kimyaaaa)
Mzee kanikatia na simu
Akipokea nitarudi tena
Nakupenda tanzania🔊
Mie kwangu ni afuheni bwana yesu na asifiwe..
Nikaona nipitie kwa babu
Nikapate kikombe,
Mana ligi bado kubwa mpinzani anahitaji kombe..
Kinachofata dua niombe,
Huko ushindi ligi ya mbuzi mganga kaagiza ng'ombe
Achana na hayoo comrade!!
MIMI: Ehe umesikia nini mwenzangu namimi
Naona mambo nayo mengi
Ila yanaenda chini chini??
BABU: Nipo kusini mwa kisiwa cha utukufu
wambie ule ugonjwa upo Na
Unazidi kuua kuku..
Mdudu manyoya kalewa kaingia huku,
Japo bado hatuna hakika
Acha tuendelee kushuku..
Mimi: ila ng'ombe mbona wanaenda sana babu?
Au kisa umaarufu wao kwetu ndo unatupa tabu??
Kwani
R.I.P ni nini naisikia sana mjini hivi ina maanisha nini??
Babu: waulize wanaogoma wanagoma nini?
sura zao zimefura kwani kuna shida gani??
MIMI: DAAAH nieleweshe basi mtani au unataka na me niseme R.I.P fulani????
Babu: Koma tena kaaa kimya
Wameshajikabidhi kila kitu chao..
Usije baki jina nkapata shida
Ya kulea wanao, kuna kiza
Mimi: mbalamwezi ipo nayo inafaa
BABU: Kuna kiza
Mimi: simu ipo nitawasha taa
Babu:hicho ni kiza chenye mwiba na karaha, me nakukataa kaa ukijua kuna balaa
Mimi:babuu
(Kimyaa)
Mimi: babuu
(Kimyaaaa)
Mzee kanikatia na simu
Akipokea nitarudi tena
Nakupenda tanzania🔊