Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,833
Mungu ni mkuu, hakika anastahili heshima, utukufu na adhama. Katikati ya miungu hakuna kama wewe BWANA nitakutukuza wewe, nitalifu jina lako siku zote, nitakuabudu wewe tu.
Kamwe sito abudu wala kuyasifu matendo ya mikono ya watu iliyojaa udhalimu na damu zisizo na hatia.
Pesa kwangu daima hazitanifanya niondoke nyuani mwako, wacha wenye kupenda fedha waendelee kuwa watumwa wa fedha. Fedha ni chanzo Cha UOVU WOTE.
Umewaangusha wapanda farasi na magari yao yote.
Dah.. hakika umenifurahisha
Kamwe sito abudu wala kuyasifu matendo ya mikono ya watu iliyojaa udhalimu na damu zisizo na hatia.
Pesa kwangu daima hazitanifanya niondoke nyuani mwako, wacha wenye kupenda fedha waendelee kuwa watumwa wa fedha. Fedha ni chanzo Cha UOVU WOTE.
Umewaangusha wapanda farasi na magari yao yote.
Dah.. hakika umenifurahisha