Waziri wa mambo ya nje Prof. Kabudi amehudhuria hafla ya uzinduzi wa ripoti ya Building Bridge Initiatives (BBI) nchini Kenya ambayo imehudhuriwa na viongozi wote wakuu wa Jamhuri ya Kenya.
Miongoni mwa mapendekezo ya BBI ni haya:
1. Uwepo wa cheo cha Waziri mkuu ambaye ni lazima awe Mbunge wa...
Serikali ya Tanzania inatekeleza Mradi unaolenga kuleta mapinduzi katika Elimu ya Ufundi Afrika Mashariki (EASTRIP) unaofadhiliwa na Benki ya Dunia.
Akizungumzia mradi huo wakati wa akifungua mkutano wa pili wa Mwaka wa wadau wa Mradi huo kwa niaba ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia...
Kamati Kuu ya CHADEMA imetoa rasmi orodha ya wagombea wa nafasi mbalimbali katika kanda zake zote 10 baada ya mchujo mkali.
Kati ya Orodha hiyo mvuto mkubwa ni nafasi ya Uenyekiti kanda ya Kaskazini ambako kuna mtifuano mkubwa kati ya wabunge wake wawili machachari Godbless Lema na Joseph...
Uzi huu nimeuleta maalum ili iwe fundisho kwa wale wanaosema hakuna wasomi ambao ni matajiri au kusoma hakuna maana, ni kupoteza muda nk.
Listi ya matajiri 10 duniani, kiasi cha utajiri, vyuo walivyosoma
1. Jeff Bezos - (USD 110 billion) - Princeton University - Bachelors
2. Bill Gates - (USD...
Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, William Ole Nasha
Serikali imesema kuwa wanafunzi waliopunjwa na wale waliokosa mikopo inayotolewa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB), wataipata kwa sababu kilichokwamisha ni mfumo.
Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, William Ole...
Wadau wa elimu naomba msaada.
Ni sahihi Mkuu wa shule kumtoa mwanafunzi nje ya chumba cha mtihani na kumcharaza viboko kisa kusinzia?
Mwanangu kaja na kunisimulia.
Elimu ni nini?
''Elimu ni Kile Kinachobaki baada ya kuwa umesahau vyote ulivyojifunza darasani''. Albert Einstein
Kama una degree na unalima matikiti mwaka wa saba sasa, unapaswa kunyang'anywa cheti upewe cheti cha matikiti angalau.
Sasa jifikirie, anza kufikiri unakumbuka nini katika yale...
Sio tu kwamba wana madaraka makubwa ya kisiasa nchini mwao, bali wana elimu kubwa kwenye fani mbalimbali jambo linalothibithisha usemi wa Kiingereza wa “readers are leaders,” yaani viongozi ni watu wenye hulka ya kusoma sana.
Hii ni orodha ya wakuu wa nchi za Afrika wenye elimu kubwa zaidi...
Hello JF,
Muundo wa A-level nilikuwa naona uweze kufanya link from lower secondary to university. Namaanisha masomo ya A-level yawe kama msingi wa masomo ya university.
I understand kuna masomo kama udaktari ni impossible kuyasomea A-Level. Ila masomo mengine mengi tu ya chuo kikuu yanaweza...
Good Morning people,
Kwanza kabla sijafika mbali napenda niweke bayana mambo yafuatayo.
Mosi: binadamu tumetofautiana talanta kutokana na katiba ya miili yetu ilivyoumbwa. Hivyo sio jambo jema kukashifu mwingine kutokana na mapungufu ambayo yapo nje ya uwezo wa asili wa miili yao. Waraka huu...
Amani iwe kwenu wana jukwaa.
Katika mwendelezo wa kuelimishana masuala mbali mbali ambayo kwa njia moja au nyingine yatachangia kuboresha zaidi maisha na maendeleo yetu, leo tumeona tuzungumzie kidogo kuhusu ni mambo gani ya msingi ambayo sisi kama wanadamu tunatakiwa kuyaishi ili mafanikio...
Mheshimiwa DED MAGU salaam,
Napenda kukueleza machache kuhusu Idara yetu ya Elimu msingi kwenye Halmashauri yetu ya Wilaya ya Magu kama ifuatavyo:
Idara ya Elimu wilayani Magu imeyumba tangu alipohama Yesse Kanyuma, aliyekuwa Afisa Elimu Msingi (W) Magu.
Baada ya Kanyuma kuhamishwa aliletwa...
Wakati serikali hii ya Rais Magufuli inajisifia kununua ndege na white elephant projects nyingine, World Bank wametoa ushauri kuwa mkazo uwe kwenye elimu na afya ili kuboresha human resources.
Jisomee hapa:
====
Tanzania Needs to Urgently Invest in the Health and Education of its Youth – New...
Asalam wakuu
Kwa wale waliobahatika kusoma elimu ya sekondari nchini mwetu kuna somo moja la historia, ndani yake kuna sura moja maarufu ya harakati za kudai uhuru barani Afrika ikiwemo Tanzania/Tanganyika.
Harakati hizi zilichochewa na sababu kadhaa za ndani ya nchi na nje ya nchi, mojawapo...
Mimi ni mwalimu wa Biology na Chemistry ngazi ya Diploma ya elimu ya sekondari kutoka Chuo cha Ualimu Klerruu-Iringa.
Pia nina ujuzi wa ICT in education. Ni mwalimu ujuzi na uzoefu wa kutosha.
Natafuta kazi ya kufundisha masomo tajwa hapo juu na ICT. Kwa anayetamani nifanye nae kazi ili...
Jamani pamoja na kuwa maendeleo sasa watu wameadvance lakini hii habari ya kwenda kwa mganga Kariakoo, kwanza unajua kodi ya Kariakoo ilivyo ghali, mganga anaendesha Vitz lazima safari yako ilipie mafuta.
Mganga anakutuma ulete kilo mbili za mchele, nazi mbili na jogoo mweupe usafishwe nyota...
Ndugu mwalimu na mwanafunzi , sasa unaweza kupima uelewa wako au uelewa wa wanafunzi wako kwa topic uliojifunza au uliyofundisha kwa urahisi zaidi kupitia maswali mbalimbali yaliyokusanywa kwa mpangilio wa topic kwa masomo yote ya secondari , yaani ordinary level na Advanced level . Tembelea...
1. Mwambie anaenda kusomea taaluma sio kazi. Anaweza kusoma uhasibu akawa dobi.
2. Mwambie Kufaulu Taaluma sio Kufaulu maisha.
3. Mwambie Kupata alama nyingi sio kujua mambo mengi.
4. Mwambie akifika chuo atakutana na watu wa mikoa tofauti na hata majiji. Ila akumbuke anatokea Mtwara, tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.