elimu

  1. J

    JamiiForums Tanzania Prof. Kabudi ahudhuria hafla ya uzinduzi ripoti ya BBI nchini Kenya inayopendekeza uwepo wa cheo cha Waziri Mkuu na Kiongozi wa Upinzani Bungeni

    Waziri wa mambo ya nje Prof. Kabudi amehudhuria hafla ya uzinduzi wa ripoti ya Building Bridge Initiatives (BBI) nchini Kenya ambayo imehudhuriwa na viongozi wote wakuu wa Jamhuri ya Kenya. Miongoni mwa mapendekezo ya BBI ni haya: 1. Uwepo wa cheo cha Waziri mkuu ambaye ni lazima awe Mbunge wa...
  2. beth

    JamiiForums Tanzania Benki ya Dunia yatoa Dola Milioni 75 kutekeleza mradi utaoleta mapinduzi katika elimu ya ufundi

    Serikali ya Tanzania inatekeleza Mradi unaolenga kuleta mapinduzi katika Elimu ya Ufundi Afrika Mashariki (EASTRIP) unaofadhiliwa na Benki ya Dunia. Akizungumzia mradi huo wakati wa akifungua mkutano wa pili wa Mwaka wa wadau wa Mradi huo kwa niaba ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mchuano mkali wagombea Uenyekiti CHADEMA Kanda: Kamati Kuu yaweka uteuzi hadharani

    Kamati Kuu ya CHADEMA imetoa rasmi orodha ya wagombea wa nafasi mbalimbali katika kanda zake zote 10 baada ya mchujo mkali. Kati ya Orodha hiyo mvuto mkubwa ni nafasi ya Uenyekiti kanda ya Kaskazini ambako kuna mtifuano mkubwa kati ya wabunge wake wawili machachari Godbless Lema na Joseph...
  4. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Orodha ya Watu 10 matajiri zaidi Duniani /Africa na viwango vyao vya elimu kwa mwaka (2019)

    Uzi huu nimeuleta maalum ili iwe fundisho kwa wale wanaosema hakuna wasomi ambao ni matajiri au kusoma hakuna maana, ni kupoteza muda nk. Listi ya matajiri 10 duniani, kiasi cha utajiri, vyuo walivyosoma 1. Jeff Bezos - (USD 110 billion) - Princeton University - Bachelors 2. Bill Gates - (USD...
  5. beth

    JamiiForums Tanzania Waliokosa mikopo elimu juu wapewa matumaini

    Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, William Ole Nasha Serikali imesema kuwa wanafunzi waliopunjwa na wale waliokosa mikopo inayotolewa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB), wataipata kwa sababu kilichokwamisha ni mfumo. Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, William Ole...
  6. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Baada ya kutoa Anaitwa Roma, Roma na mkewe wanapata ujumbe wa vitisho mfululizo

    Inadaiwa Msanii Roma Mkatoliki na mke wake wanapokea meseji za vitisho baada ya Roma kuchia wimbo wake unaokwenda kwa jina la 'Anaitwa Roma'
  7. K

    JamiiForums Tanzania Je, ni halali kwa Mkuu wa shule kumtoa mwanafunzi nje ya chumba cha mtihani na kumcharaza viboko kisa kusinzia?

    Wadau wa elimu naomba msaada. Ni sahihi Mkuu wa shule kumtoa mwanafunzi nje ya chumba cha mtihani na kumcharaza viboko kisa kusinzia? Mwanangu kaja na kunisimulia.
  8. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Wengi wanaodhani wana elimu kisa walienda shule watakuja kuchelewa wakigundua hawajawahi kuwa na elimu kwa Mujibu wa mdau Einstain

    Elimu ni nini? ''Elimu ni Kile Kinachobaki baada ya kuwa umesahau vyote ulivyojifunza darasani''. Albert Einstein Kama una degree na unalima matikiti mwaka wa saba sasa, unapaswa kunyang'anywa cheti upewe cheti cha matikiti angalau. Sasa jifikirie, anza kufikiri unakumbuka nini katika yale...
  9. Rich Pol

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya marais wenye elimu kubwa Afrika, Rais Magufuli ashika namba tano

    Sio tu kwamba wana madaraka makubwa ya kisiasa nchini mwao, bali wana elimu kubwa kwenye fani mbalimbali jambo linalothibithisha usemi wa Kiingereza wa “readers are leaders,” yaani viongozi ni watu wenye hulka ya kusoma sana. Hii ni orodha ya wakuu wa nchi za Afrika wenye elimu kubwa zaidi...
  10. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Elimu ya A-level inahitaji marekebisho

    Hello JF, Muundo wa A-level nilikuwa naona uweze kufanya link from lower secondary to university. Namaanisha masomo ya A-level yawe kama msingi wa masomo ya university. I understand kuna masomo kama udaktari ni impossible kuyasomea A-Level. Ila masomo mengine mengi tu ya chuo kikuu yanaweza...
  11. bahati93

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya misimamo ya watu wenye akili zaidi ya wastani

    Good Morning people, Kwanza kabla sijafika mbali napenda niweke bayana mambo yafuatayo. Mosi: binadamu tumetofautiana talanta kutokana na katiba ya miili yetu ilivyoumbwa. Hivyo sio jambo jema kukashifu mwingine kutokana na mapungufu ambayo yapo nje ya uwezo wa asili wa miili yao. Waraka huu...
  12. KIMOMWEMOTORS

    JamiiForums Tanzania Elimu: Baadhi ya mambo yenye nafasi kubwa ya kukuletea mafanikio

    Amani iwe kwenu wana jukwaa. Katika mwendelezo wa kuelimishana masuala mbali mbali ambayo kwa njia moja au nyingine yatachangia kuboresha zaidi maisha na maendeleo yetu, leo tumeona tuzungumzie kidogo kuhusu ni mambo gani ya msingi ambayo sisi kama wanadamu tunatakiwa kuyaishi ili mafanikio...
  13. Hagwila

    JamiiForums Tanzania DED Magu angalia sana Idara ya Elimu Msingi

    Mheshimiwa DED MAGU salaam, Napenda kukueleza machache kuhusu Idara yetu ya Elimu msingi kwenye Halmashauri yetu ya Wilaya ya Magu kama ifuatavyo: Idara ya Elimu wilayani Magu imeyumba tangu alipohama Yesse Kanyuma, aliyekuwa Afisa Elimu Msingi (W) Magu. Baada ya Kanyuma kuhamishwa aliletwa...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Benki ya Dunia yaishauri Tanzania kuwekeza kwenye elimu na afya

    Wakati serikali hii ya Rais Magufuli inajisifia kununua ndege na white elephant projects nyingine, World Bank wametoa ushauri kuwa mkazo uwe kwenye elimu na afya ili kuboresha human resources. Jisomee hapa: ==== Tanzania Needs to Urgently Invest in the Health and Education of its Youth – New...
  15. GAS STATE

    JamiiForums Tanzania Ex-soldiers na elimu yetu ya Tanzania

    Asalam wakuu Kwa wale waliobahatika kusoma elimu ya sekondari nchini mwetu kuna somo moja la historia, ndani yake kuna sura moja maarufu ya harakati za kudai uhuru barani Afrika ikiwemo Tanzania/Tanganyika. Harakati hizi zilichochewa na sababu kadhaa za ndani ya nchi na nje ya nchi, mojawapo...
  16. J

    JamiiForums Tanzania Live TBC: Tamasha la utoaji Tuzo za Elimu

    Karibu Up dates;
  17. M

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwalimu wa Biology na Chemistry ngazi ya Diploma ya elimu ya sekondari. Natafuta kazi

    Mimi ni mwalimu wa Biology na Chemistry ngazi ya Diploma ya elimu ya sekondari kutoka Chuo cha Ualimu Klerruu-Iringa. Pia nina ujuzi wa ICT in education. Ni mwalimu ujuzi na uzoefu wa kutosha. Natafuta kazi ya kufundisha masomo tajwa hapo juu na ICT. Kwa anayetamani nifanye nae kazi ili...
  18. Daisy Llilies

    JamiiForums Tanzania Tuje kwenye elimu ya dunia, unapelekwa kwa mganga Kariakoo, mganga anaendesha Vitz amevaa raba mtoni

    Jamani pamoja na kuwa maendeleo sasa watu wameadvance lakini hii habari ya kwenda kwa mganga Kariakoo, kwanza unajua kodi ya Kariakoo ilivyo ghali, mganga anaendesha Vitz lazima safari yako ilipie mafuta. Mganga anakutuma ulete kilo mbili za mchele, nazi mbili na jogoo mweupe usafishwe nyota...
  19. S

    JamiiForums Tanzania Maswali ya NECTA zote na mithihani mbalimbali yalilopangwa kwa topics.

    Ndugu mwalimu na mwanafunzi , sasa unaweza kupima uelewa wako au uelewa wa wanafunzi wako kwa topic uliojifunza au uliyofundisha kwa urahisi zaidi kupitia maswali mbalimbali yaliyokusanywa kwa mpangilio wa topic kwa masomo yote ya secondari , yaani ordinary level na Advanced level . Tembelea...
  20. Kassimu Mchuchuri

    JamiiForums Tanzania Mwambie mdogo wako anaenda shule kusomea taaluma sio kazi, anaweza kusoma uhasibu akawa dobi

    1. Mwambie anaenda kusomea taaluma sio kazi. Anaweza kusoma uhasibu akawa dobi. 2. Mwambie Kufaulu Taaluma sio Kufaulu maisha. 3. Mwambie Kupata alama nyingi sio kujua mambo mengi. 4. Mwambie akifika chuo atakutana na watu wa mikoa tofauti na hata majiji. Ila akumbuke anatokea Mtwara, tena...
Back
Top Bottom