duniani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Tukutate hapa wale wenye shauku kubwa ya kutambua kusudi la uwepo wao Duniani na wanaotamani kwa dhati kufanya jambo kwa pamoja

    Habarini wadau, ndugu, jamaa na marafiki!.. Nimeona itakuwa vizuri kupitia uzi huu tukijadiliana kwa dhati kabisa juu ya hatma ya uwepo wetu Duniani. Maisha siyo zaidi ya muda na nguvu " life is not more than a matter of time and energy"..tatizo ni namna tunavyoutumia muda na nguvu tulizojaliwa...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Upuuzi huu usiovumilika na uliovuka Kiwango unapatikana katika Soka la Tanzania tu duniani kote

    Kaimu Kocha wa Simba SC Selemani Matola mara baada ya Michuano ya Mapinduzi Cup alipohojiwa na Press alisema kuwa amewapa Wachezaji likizo mpaka Ijumaa ya Wiki hii (22 January 2021) kisha watarejea Mazoezini upesi sana ili kujiandaa kikamilifu kabisa na Michezo Klabu Bingwa ambayo inaanza mapema...
  3. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Rais na Bunge ruhusuni uraia wa nchi mbili haraka kwa wageni kabla Corona haijaisha duniani

    Kupata permanent residence Marekani unatikwa kununua municipal bonds za dola kadhaa. Serikali itoe uraia wa nchi mbili kwa yeyote atakayenunua long-term bond za serikali za dola milioni moja wapewe uraia haraka akishalipa tu tuchangamkie fursa. Tanzania wazungu mamilionea wanakimbia corona...
  4. Pain killer

    JamiiForums Tanzania Unakaaje hapa duniani zaidi ya miaka 80 huna hata nyumba ya kwaachai watoto,serikali iingilie kati

    Habari wakuu Mimi binafsi linanikela sana hili swala ,mwanaume unazaa watoto zaidi ya watano ,nyumba huna,biashara huna,kazi huna ,kilimo cha mkono huku ukijipa moyo huenda mtoto atakuwa jakaya,au Mandela ,au Obama,ujinga mtupu Kuwalisha tuu ni shida achana na mavazi ,huduma za mhimu tu ni...
  5. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Miji mikubwa duniani kote ndiyo huwa kitovu cha elimu lakini kwa Dar mbona tofauti sana?

    Nilikuws nasoma stori moja kuhusu Shanghai, Shanghai ni moja ya miji yenye watu wenye elimu ya kieango cha juu sana. Watoto wa shule za msingi walivyopimwa uwezo wa hesabu na sayansi walikuww ni moja ya wanafunzi bora duniani. Watu kotoka miji ya ndani ya China walikuwa wwnatamani watoto wao...
  6. N

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Hackers hatari duniani waidukua serikali ya Uganda

    ukitaka kujipakulia ujionee mambo ingia. hapa ni hatari sana. info.csv - AnonFiles
  7. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Akili kubwa: Mkenya ateuliwa kusimamia taasisi ya kimataifa ya GESCI (Global e-Schools and Communities Initiatives)

    Ndio kama hivyo, mpo? Kila tukigeuza anateuliwa Mkenya. ======== Prof Emmanuel Mutisya has been appointed as the Board Chairperson of Global e-Schools and Communities Initiatives (GESCI). Prof Emmanuel Mutisya has been appointed the Board Chairperson of Global e-Schools and Communities...
  8. DIDAS TUMAINI

    JamiiForums Tanzania Elon Musk: Tajiri mpya namba moja duniani

    Mwanzilishi, Mkurugenzi Mkuu, Fundi Mkuu na Mbunifu Mkuu wa kampuni ya SpaceX inayojihusisha na utengenezaji wa vyombo vya kusafiri na kufanya uchunguzi katika anga za mbali; pia mwekezaji na Mkurugenzi Mkuu na Fundi Mkuu katika kampuni ya kutengeneza magari ya umeme -Tesla; pia mwanzilishi wa...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Uhakika Tanzania tunaingia katika kumi bora za Nchi zenye wananchi wenye furaha duniani

    Kabisa kabisa hatupo mbali, kwa muelekeo na Gia tuliyoondoka nayo baada ya Uchaguzi uliolalamikiwa na Vyama vya Upinzani. Yaani kama mheshimiwa baba wa Taifa JPM utamfananisha na gari sijui awe gari gani kama ni ndege labda za kivita kama ni treni ni haipa lupu. Ila huyu ni binadamu mwenye...
  10. E

    JamiiForums Tanzania Ni kitabu gani kinachosomwa zaidi kuliko vyote duniani na thamani ya ujumbe wake haijawahi kushuka?

    Habari za leo marafiki. Nimekutana na hili swali mahali; kwamba ni kitabu gani kinachosomwa zaidi kuliko vyote duniani na thamani ya ujumbe wake haijawai kushuka?
  11. K

    JamiiForums Tanzania Bilionea wa China, Jack Ma adaiwa kutojulikani alipo kwa zaidi ya miezi miwili tangu alipoikosoa Serikali na Chama Tawala

    Uvumi umezagaa kuhusu wapi alipo bilionea wa China, Jack Ma kutokana na kutojitokeza kwake hadharani kwa muda wa miezi miwili. Jack Ma ambaye ni mwanzilishi wa kampuni ya Alibaba hajaonekana katika sehemu ya mwisho ya kipindi chake alichokianzisha cha ‘Africa’s Business Heroes,’ kinachowapa...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Huko duniani Treni ikipinduka kwa uzembe ni sawa na uhujumu uchumi Waziri na CEO wa shirika wanajiuzulu!

    Huko duniani ni kawaida kabisa Mtendaji Mkuu wa Shirika kama TRC kujiuzulu mara moja pale Treni inapopinduka kwa sababu ya uzembe unaoonekana kwa macho. Nakumbuka Tanzania kuna waziri alijiuzulu enzi ya Mkapa kwa sakata ama la treni au MV Victoria nimesahau kidogo. Usafiri wa treni siyo sawa...
  13. USSR

    JamiiForums Tanzania Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

    Watanzania tunafaa kuonesha uzalendo kwa kumpigia kura Rais wetu ashinde kwa kishindo katika kinyanyanyiro hiki cha kiongozi wa kisiasa wa Afrika wa mwaka. Rais Magufuli anashindanishwa na Marais wa Djibouti, Afrika Kusini, Senegal na Ghana wakiwa kwenye tano bora Japo Magufuli anaongoza...
  14. Q

    JamiiForums Tanzania Serikali kutoa tamko kuhusu chanjo ya Coronavirus

    Dar es Salaam, The minister for Health, Community Development, Gender, Elderly and Children, Dr Dorothy Gwajima, yesterday said the government will issue an official statement on its stand regarding Covid-19 vaccines soon. Many countries around the world are rolling out the vaccine following...
  15. Q

    JamiiForums Tanzania Serikali kutoa tamko kuhusu chanjo ya Korona inayotolewa na WHO kwa nchi mbalimbali duniani

    Dar es Salaam The minister for Health, Community Development, Gender, Elderly and Children, Dr Dorothy Gwajima, yesterday said the government will issue an official statement on its stand regarding Covid-19 vaccines soon. Many countries around the world are rolling out the vaccine following...
  16. F

    JamiiForums Tanzania Je Kuna Siri kubwa ktk majina? Matajiri 10 bora duniani, namba 5 na Saba majina yao yanafanana.

    Habari wadau wa JF habari na hoja mchanganyiko. Nimeangalia orodha ya matajiri 10 bora duniani( Top ten richest people in the world). Tajiri namba 5 na 7 majina ya mwanzo hufanana. Namba 5 Larry Ellison na namba 7 ni Larry Page. Je kuna Siri kubwa ktk baadhi ya mjina kimafanikio na hata...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Madaktari duniani waonya dhidi ugonjwa wa "Super Gonorrhea"

    Doctors from different parts of the world are warning of a new infection called ‘Super Gonorrhea’ claiming that it may be a result of Coronavirus pandemic. This disease is not healthily new, as it is a strain of Sexually Transmitted Infection (STI), but according to Doctors, this infection is...
  18. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda: Mlinzi wa mgombea wa Urais Bobi Wine, amefariki dunia ikidaiwa ni kwa kugongwa na gari la Jeshi

    Ripoti za vyombo vya habari Uganda vinakariri mashahidi wakisema kwamba Francis Kalibala, aligongwa na gari la jeshi la Uganda UPDF wakati msafara wa Bobi Wine ulikuwa unarudi Kampala kutoka Masaka katika kampeni. Katika taarifa kupitia mitandao ya kijamii Bobi Wine amesema “nasikitika...
  19. Webabu

    JamiiForums Tanzania Wayahudi wanavyojipenyeza wizara za elimu duniani kufuta kutajwa vibaya

    Saudi Arabia imechapisha upya vitabu vyote vya shule za nchi hiyo na kuondoa vipengele vilivyokuwa vikiwataja kwa ubaya Wayahudi pamoja na Wakristo. Baadhi ya vipengele hivyo ni kama vile utabiri wa kuzuka vita hapo baadae ambapo waislamu watawapiga vibaya mayahudi na kuwashinda. Kipengele...
  20. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Waafrika weusi ni 15% tu ya idadi ya watu duniani, ni ushenzi kusema tuna overpopulation!

    Juhudu kubwa zimekuwa zikifanywa na mataifa ya magharibi kuhakikisha idadi ya waAfrika weusi inabaki kuwa minority na hivyo oppressed zaidi duniani. Hili limefanyika kwa kusambaza magonjwa ya kuua watu wengi kwa mpigo kama 'Ebola', 'ARV na Ukimwi', Tuskegee syphilis experiment - Wikipedia...
Back
Top Bottom