Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,868
- 19,258
Report mpya ya world bank inasema Kenya yaongoza katika nchi zenye ufukara wa kutisha, huku ikibainisha kwamba zaidi ya 50% ya wakenya wote wanaishi kwenye umaskini wa kutosha.
Report inaenda mbele zaidi na kudai hata Zimbabwe ina hafueni ukilinganisha na aina ya ufukara unaopatikana Kenya, wakati huo huo Newport kutoka WB hiyo hiyo inadadavua katika kipindi cha corona zaidi ya wakenya million 4 wametupwa kwenye ufukara ambao awali hawakuwepo.
Report inaenda mbele zaidi na kudai hata Zimbabwe ina hafueni ukilinganisha na aina ya ufukara unaopatikana Kenya, wakati huo huo Newport kutoka WB hiyo hiyo inadadavua katika kipindi cha corona zaidi ya wakenya million 4 wametupwa kwenye ufukara ambao awali hawakuwepo.