dunia

  1. MakinikiA

    Trump anachotamani yeye ni kumiliki mali za dunia hii sasa atagombana na ndugu zake Wadenmark

    Greenland, kisiwa kikubwa cha Aktiki kilicho sehemu ya Ufalme wa Denmark ambacho pia Trump anakimezea mate , kiko takribani kilomita 3,200 kaskazini-mashariki mwa Marekani. Kina utajiri mkubwa wa madini adimu yanayotumika katika teknolojia za kisasa, zikiwemo simu janja, magari ya umeme na vifaa...
  2. R

    China yakosoa Marekani kwa kujifanya HAKIMU WA DUNIA baada ya kumkamata Maduro

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi, amesema Beijing haiwezi kukubali nchi yoyote kujitwalia nafasi ya kuwa “hakimu wa dunia” au “polisi wa dunia,” akitoa kauli hiyo kufuatia kukamatwa kwa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, na Marekani. Akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan...
  3. Mhaya

    Hakuna Taifa lenye Uhuru Kamili wa Kiserikali katika Nchi za Dunia ya Tatu

    Uhuru mliopewa na Uhuru wa makaratasi tu, mkubwa akitaka jambo lake analifanya tu. Sheria za umoja wa mataifa ni kama zipo tu kuzidhibiti Nchi za hali ya chini. Nchi kama Marekani ina Sera zake kuwa Nchi nyingine kubwa hazitakiwi kutengeza urafiki wa karibu na nchi zilizoko katika ukanda...
  4. R

    My reasoning is simple and clear: Kama hueshimu "sovereignty " ya watu wako, then dunia yenye akili inabidi isiheshimu sovereignty yako

    Wanalalamika kuwa oh sovereignty ya Venezuela imekiukwa. Madulo alikuwa haheshimu sovereignty ya watu wake, why dunia yenye akili iheshimu sovereignty yake? Unaua watu uili ubaki madarakani, WHATEVER COMES TO THEIR RESCUE IUNGWE MKONO. Kisingizio cha sovereignty of Venezuela collapses...
  5. X

    Tanzania, Marekani na China zinatengeneza 44% ya uchumi wa dunia

  6. M

    Kuna mpango wa kuyagawa maeneo kadhaa ya Dunia, CCM isipodhibitiwa Tanzania ijiandae

    https://x.com/clashreport/status/2007126491885355164 Baada ya Somalia, kituo kinachofuata ni Yemen, Sudan, Libya, Syria, Kama Iran haitaweza kuzuia kinachoendelea ijiandae kuwa na vinchi ndani ya nchi. Siuoni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kama Samia na viongozi wa aina yake wataendelea...
  7. Yoyo Zhou

    Kauli ya Japan kuwa na silaha za nyuklia yatishia usalama wa dunia

    Afisa mwandamizi wa Ofisi ya Waziri Mkuu ya Japan hivi karibuni alisema hadharani kwamba, kutokana na mazingira magumu ya usalama yanayoizunguka Japani, nchi hiyo inapaswa kumiliki silaha za nyuklia. Baada ya hapo, Waziri wa Ulinzi wa Japan Shinjiro Koizumi alisema hakuna chaguo linaloweza...
  8. Fatherland

    Umaarufu wa watu hawa haukuwa na viewers

    Nawasalimu, Salamu za heshima, Karibu msomaji mpendwa. Makala hii imeandaliwa kwa lengo la kukupeleka katika safari ya mawazo na historia, kukutafakari nafasi ya binadamu katika jamii na namna alivyoweza kuacha alama kubwa hata kabla ya enzi ya teknolojia ya kisasa. Karibu usome kwa utulivu na...
  9. Just Pray

    Askofu Mpembwa: Vijana wa sasa sio wale wa 1961, hawa wanaitambua dunia

    Askofu Bethania Mpembwa wa Kanisa la Neema ya Kitume Tanzania, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya Amani Mkoa wa Dar es Salaam, amesema kuwa Vijana wa kizazi cha kuanzia mwaka 2000 (Gen Z) ni tofauti na vijana wa mwaka 1961 wakati nchi ilipopata Uhuru. Akizungumza katika mahojiano maalum na Jambo...
  10. JOHNGERVAS

    Hii dunia watu makatili sana. Sikiliza hii stori ya John Kaaya akieleza jinsi polisi walivyomtesa

    Kama ni kweli kuna watu waliuawa bila hata hatia, tena kwa makusudi https://youtu.be/kW4x1NROh0k
  11. jamaikatz

    Dunia ya leo ni mwendo wa haki sawa na kukomoana

    Kwa dunia ya leo ya miaka ya hivi karibuni, wanawake vitu vingi wanafanya kama wanavyofanya fanya wanaume. Wanawake wengi siku hizi wanafanya vitu vingi kwa ajili ya kuwakomoa wanaume Unakuta mwanaume kachepuka na mwanamke naye anataka kuchepuka Hata kazi pia kuna kazi zingine ni za kiume...
  12. mcTobby

    Tanzania kama nchi imeipa Nini Dunia?

    Hili swali nimeuliza mahsusi kwa sababu. Atleast nchi kama Japan wameipa dunia gari aina ya TOYOTA. KOREA wameipa dunia products za Samsung Na hata Russia wameipa dunia AK 47 N K Sasa sisi kama Tanzania tumeipa nini Dunia kama Product unique ambayo inaitambulisha Tanzania? Naomba kufahamu
  13. M

    Kwa jina la Yesu: Huku ndiko ukristo unakoipeleka dunia

    Kwa sasa huku ndiko dunia inakopelekwa Na wanataka tuone ni kawaida, ukihoji unaambiwa wewe ni siasa kali Huu ushenzi unaingia Afrika na Tanzania kwa kasi sana https://www.bbc.com/swahili/articles/c20qg1qevp6o
  14. Solo Traveller

    Ishowspeed ana miaka 20 anazunguka dunia nzima wewe una 35 hata nauli ya chalinze huna

    Hii ni aibu dogo ana 20 anazunguka duniani na Africa wewe una 36 hata nauli ya morogoro huna
  15. Tanganian

    Dunia ya sasa hauwezi kutafuta haki, hakuna haki bali ni janja janja za kisiasa

    Niwasalimu watu wa ukumbi huu, Kwanza niende moja kwa moja kwenye lengo la uzi huu ,hapa nataka kuongelea kuhusu kitu kinaitwa ''haki''. Je ,dunia ya leo kuna haki na watu wanaweza kudai haki. Kabla ya yote tutambua neno haki lina maana pana sana ,unaweza kusema ''ni kitu chochote / jambo...
  16. R

    Ona unyama uliopitiliza wa rekodi ya dunia. Unatokwa na machozi

    Unyama , ukatili wa serikali, polisi na jeshi kwa wananchi wao. Soma, unatokwa na machozi.
  17. Desierto

    Wewe so chochote kwenye hii dunia

    Kuna watu wanajiona wana umhimu sana hapa duniani lakini kumbe wao si lolote wala chochote. Afadhali kidogo miaka ya kina nyerere historia inawakumbuka Lakini ukweli ni kwamba wewe si kitu hapa duniani acha kujipa umuhimu huo huna umuhimu wowote hapa duniani Ukifa leo ni Mambo yako tu ndo...
  18. OLS

    Ukiagiza gari unatozwa tozo ya UKIMWI

    kwa mujibu wa sheria ya fedha 2025, serikali imeweka tozo ya UKIMWI ambayo nadhani ni matokeo ya USAID kuondoka na UKIMWI kuwa hauna fedha. Hii tozo ni kwa wanaoagiza magari na madini. Viwango ni kama kwenye jedwali lifuatalo.
  19. Pakome

    Sikuwahi kufikiri kama Wanachuo wa UDSM wangefanya mzaha mkubwa kiasi, hii inaonesha dunia kuwa masihara ni sehemu ya maisha yao

    Sikuwahi kamwe kudhani kuwa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam kingekubali Wanachuo wake waoneshe uma masihara makubwa ya kiasi hiki Masihara haya yataeleza dunia kuwa ni kiasi gani Chuo hiki hakina hadhi Wamejitokeza Wanachuo wa UDSM wakaunda toy nakuita Robot Kujaribu sio kosa bali ni mwanzo wa...
  20. Yoda

    Ni jambo jema uislamu wa Tanzania kuweka uzito zaidi katika amani tofauti na uislamu wa sehemu nyingine za dunia.

    Ukiangalia sehemu nyingi za dunia ambapo Waislamu hasa wa msimamo mkali wamewahi kujikita kudai haki katika nchi zao wakisukumwa au wakiunganishwa na dini ya Uislamu hakika kumekuwa na maafa makubwa sana yaliyosababisha kila aina ya mateso kwa raia hata kwa wasio husika kabisa kupitia vita...
Back
Top Bottom