dini

  1. Mindi

    Kuwakemea Viongozi wa Dini, Magufuli Ameweka Rekodi Mpya

    Nimemsikiliza Rais Magufuli, akihutubia taifa baada ya kumwapisha Waziri mpya wa Katiba na Sheria, Mwigulu Nchemba. Kuna mengi aliyoongea JPM ambayo yanavutia mjadala. Mimi nijikite kujadili kwa kifupi alichosema Rais kuhusu Imani, Biblia na Viongozi wa Dini. Nianze kwa kumtahadharisha Rais...
  2. Lakunle

    USHAURI TAFADHALI:mke kagoma kubadili dini yake

    Wasalaam wandugu... Kabla sijamwoa alinijua kuwa Mimi ni muislam,aliniahidi kubadili dini ila nimpe mda.maisha yamesonga miaka imepita tumejaaliwa kuwa na familia Siku za hivi karibun mwenzangu nikaona amenunua kitabu Cha tenzi za rohoni ...baada ya chakula cha jioni anaanza mapambio...
  3. B

    Kila mtu kwa nafasi yake tutendeane haki kuhusiana na janga hili la COVID-19

    Haieleweki hawa watu ambao wamependa kusema serikali iko makini au wapo makini kuudhibiti ugonjwa huu wana maana au nia gani na taifa hili. Watu hawa, hawakuweza kuuzuia ugonjwa kuingia nchini wala hawana mpango wowote thabiti uliowazi wa kuudhibiti ugonjwa huu usisambae. Matokeo yake ugonjwa...
  4. J

    Chadema wataka Television ya taifa (TBC) iwe inarusha ibada mubashara siku za Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ili kuepusha misongamano Ibadani

    Chadema imesema ni wakati sasa wa Runinga ya taifa kuwatumikia Wananchi kwa kuwapa fursa ya kufuatilia Ibada mubashara wakiwa majumbani mwao. Hayo yamesemwa na mbunge wa Geita na Naibu waziri kivuli mh Upendo Peneza alipoongea na waandishi wa habari jijini Dodoma. Upendo amesema Waislamu...
  5. K

    Ukiumwa na kutengwa hakuna kiongozi wa dini atakuja kukuona

    Wale wabishi wajue tu kwamba ukipata Corona unawekwa sehemu ya kutengwa na kupewa chakula. Hapo ni wewe na Mungu wako wale viongozi wa dini ambao walikwambia usiache kwenda kule kusaliwa watakushauri ujiombee mwenyewe, wale manabii hawatakuja kukuona wale mashehe wa mskitini watakukimbia kama...
  6. Mystery

    Hivi Rais Magufuli ametambua uwepo wa viongozi wa dini wakati huu wa ugonjwa wa Corona pekee?

    Leo ndiyo siku ya kwanza ambayo Rais Magufuli amewaomba viongozi wa dini nchini kote pamoja na waumini wao, wamliiie Mungu wetu ili atuondolee na autokomeze kabisa ugonjwa huu hatari wa Corona unaosumbua duniani kote Wito huo sisi waumini wa dini mbalimbali tunaupokea kwa moyo mkunjufu na...
  7. J

    Kama Saudi Arabia na Vatican wameweza kufanya ibada majumbani sisi tuliopokea dini toka kwao tunashindwa nini?

    Jana nilimsikia Prof Lipumba akisema yeye ameanza kuswalia nyumbani ili kuepuka misongamano inayoweza kusababisha maambukizi ya Covid 19. Binafsi nikawa nimemwelewa vilivyo. Ndipo nikaanza kutafakari, kama Waislamu kule Saudia wanaswalia nyumbani Bakwata wanashindwa nini? Kama Wakristo kule...
  8. Scars

    Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

    Poleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika. Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundikano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa...
  9. S

    Wadanganyika dini yao ya pili ni "ubinafsi"!

    Hivi ndivyo ninavyoweza kusema kuhusu wadanganyika kwani ni watu ambao ubinafsi umewatawala kwa kiwango kikubwa ambapo karibu kila mtu anaangalia masilahi yake bila kujali ni watu wangapi waanathirika au kuumia na jambo fulani ambalo yeye analitetea au kuliunga mkono kisa tu yeye anafaidika hata...
  10. Mr Big

    Maombi: Dini mbalimbali, kabila tofauti ndani ya Tanzania, tuungane kwa umoja kuomba Mungu atuepushe na ugonjwa wa Corona

    Wakuu nawasalim, Ni dhahiri kwa sasa kila pande ya dunia ugonjwa wa corona madhara yake yamekuwa makubwa zaidi na kila nchi inajaribu kupambana kwa uwezo wake wote ilimradi tu kuuondoa au kupunguza madhara ya huu ugonjwa. Idadi ya vifo ni vingi zaidi, licha yakuwa taarifa zinazotolewa na...
  11. TODAYS

    HATARI: Dini inatumika na wanasiasa kama mwamvuli lakini tatizo liko hapa

    Sikia kwa makini Dini uliyonayo ni ujinga Usijivunie dini Dini ni udanganyifu Dini ni upotofu Dini ndio inakuzuia kufanikiwa Dini ndio imefunga Afrika kuendelea Dini inatumiwa na wanasiasa kama mwamvuli Dini ni takataka kama zingine Aliyoandika biblia ndiye aliyekuja kuipinga Aliyeandikwa...
  12. J

    Tukumbushane: Katika mfumo wa vyama vingi zamu za kugombea Urais kwa misingi ya dini na kanda hazina uhalali

    CCM imekuwa na utamaduni usio wa kikatiba wa kuwepo zamu za kugombea urais wa nchi kwa misingi ya dini na kanda. Wakati wa mfumo wa chama kimoja utaratibu huu ulikuwa muafaka lakini katika mfumo wa vyama vingi zamu za kidini na kikanda zimepitwa na wakati. Nitoe tu angalizo kwa Dr Kigwangalla...
  13. S

    Tukiwa jamii iliyostaarabika, lipi ni kosa kubwa na zito zaidi kwetu kati ya kuua mtu au kuchana kitabu cha dini kama Quran au Biblia?

    Ukituhumiwa kuua mtu, (au kumnyang'anya mtu haki yake ya kuishi) tunategemea utafikishwa mahakamani na kujibu mashataka ya kosa la kuua. Inawezekana kabisa, hukumu ya kesi yako ikawa ni kuachiwa huru kwa kuwa katika ushahidi uliotolewa ulionyesha labda ulisingiziwa, au uliua kwa kujitetea maisha...
  14. Nsumba ntale tz

    Moshi: Watu 20 wapoteza maisha kwa kukanyagana kwenye Ibada ya Mwamposa; Polisi wathibitisha kumshikilia

    Waumini 18 wa Dini ya Kikristo wamefariki dunia usiku huu mjini Moshi, wakati wakikanyagana kugombea kukanyaga mafuta ya upako katika kongamano la kidini la Mtume Boniface Mwamposa, DC wa Moshi Kippi Warioba amethibitisha Updates: 00:45 Idadi ya watu waliopoteza maisha kwa kukanyagana imefikia...
  15. BASIASI

    Mambo kadhaa ya kujiuliza katika kongamano la Moshi lililoua watu 20

    NAAMINI BADO WOTE TUNAAMINI MUNGU TUNAPOWEZA KUITA VIBANDA DINI NAWAZA YAFUATAYO 1))NANI ALIERUHUSU USAJILI WA HII VIBANDA DINI 2))KWENYE MKUTANO WA SIASA SIKUZOTE TUNAONA GARI ZA WAH NDUGU ZETU POLISI JE SHIDA IKO WAPI WASIONEAKNE KWENYE HIO MIKUTANO 3))NANI ALIETOA KIBALIA CHA KONGAMANO LA...
  16. Superbug

    Kabudi ungeisikiliza dhamira yako sasa viongozi wako wa dini wamekuingiza cha kike

    Siku zote dhamira ndio uhai na kioo cha nafsi ya mtu. Ndio maana dhamira ikifa mtu hugeuka kuwa kama mnyama. Dhamira ndio mizania aliyotuwekea Mungu kupima mema na mabaya. KABUDI wakati anaongea ikulu kwenye kutiliana saini na twiga company alisema dhamira yake ilimuambia ajiuzulu. Na alifikia...
  17. Roving Journalist

    Dini ya Kiislamu na usawa kwa Mwanaume na Mwanamke: Haki ya Mwanamke katika Elimu | Haki ya kutafuta Elimu

    Chama cha Wanasheria wa Kike Visiwani Zanzibar [Zanzibar Female Lawyers Association (ZAFELA)] kimeandaa chapisho linalozungumzia Haki za Mwanamke linaloitwa "Haki za Mwanamke kwa Mujibu wa Qur'an na Sunnah za Mtume (S.AW)" Katika chapisho hilo, inaelezwa kuwa Uislamu umetoa umuhimu kwa binadamu...
  18. malisoka

    Natamani sana Ndoa za dini ya Kiislamu " Its the best marriage Ever"

    Pamoja na changamoto mbali mbali za dini ya kiislamu. Baada ya kuchunguza sana nimegundua katika ndoa na mfumo wake ni Ndoa bora zaidi kuliko za Kikristo . Kama ningeweka katika % basi Ndoa za Kiislamu ni 90% ubora na za Kikristo ni kama 40% Kwa nini nasema hivi? Kwanza mimi ni mkristo na...
  19. Mstahiki Mea

    Hadithi: Bila Passport Mtoto Hataingia Nchini

    Alfajiri ya tarehe 1, tulikuwa tumepanga safari ya kwenda nje ya nchi mimi na mke wangu, maandalizi yote ya safari yalikamilika vizuri na tulitarajia kusafiri pamoja na mtoto wetu kipenzi. Tulikuwa tumepanga kwenda nchini Ugiriki katika mji wa Thessaloniki kwaajili ya mapumziko kupisha vuguvugu...
  20. Superbug

    GE2020 Viongozi wa dini na siasa za Tanzania

    Viongozi wa dini katika nchi yetu tunaelekea katika uchaguzi mkuu wa 2020. Wanasiasa wameshaanza kujipitisha pitisha kwenye nyumba za ibada na kujifanya ni watu wema Sana na kwamba huu ni wakati wa kuwa wamoja na kuongeza upendo. Inasikitisha kuona kwamba kwa kipindi Cha miaka minne taifa...
Back
Top Bottom