Aman iwe nanyi wakuu
Kwa kweli inchi yetu inaelekea shimoni aisee
Rais anapewa sifa za Kimungu na hakemei
Hakuna hata kiongozi mmoja wa dini ambaye kajitokeza na kukemea
Ni kweli Rais anachapa kazi lakini siyo kwa sifa hizi anazopewa
Nahofia siku moja mwenyezi atatupiga upupu kwa ushenzi wa...
Rais Magufuli amewataka watanzania wapendane na kuacha kubaguana kwa misingi ya ukabila, dini au itikadi za kisiasa.
Dr Magufuli ameyasema hayo wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa daraja la Kigongo - Busisi jimboni Misungwi mkoani Mwanza.
Kadhalika Rais Magufuli amewapongeza wanaccm wa...
Kitabu cha dini ya kikristo yaani Bible kinatumika Sana katika Siasa za kila MTU anaukuhimu na mawazo yako yatatawala MILELE.. kwakuwa Leo ni siku ya jumapili ni Bora tujibonyeze kwenye kitabu cha Hesabu tukamsome Simon na population yake ambapo aliamua kuwapeleka vijana wake vitani ili kuondoa...
Nijuavyo mimi, viongozi wa dini wan nafasi kubwa sana katika kusimamia viongozi wa nchi. Zamani wafalme walikuwa hawaendi vitani bila kuuliza ruhusa toka kwa makuani/manabii. Kiongozi wa dini walikuwa na mamlaka ya kukemea wafalme pale walipoenda/tenda kinyume na kusudio la Mungu.
Kwa kipindi...
Viongozi wa dini zote wanalojukumu kubwa la kujenga mioyo ya wanachi kwa kutekeleza yale Mungu anayoyataka na kuya acha yale Mungu anayokataza. Hili linathibitika katika dini ya Kiislamu tunapo ambiwa katika Quar-an takatifu kuwa litoke kundi miongoni mwenu litakalowaamrisha watu mema na...
Nimetoka kule tweeter,nilichokiona ni mashambulizi lukuki toka kwenye huu upande wa pili.
Wamejaa sumu kupita kiasi dhidi ya viongozi wetu wa dini hasa maaskofu wetu na ni dhahiri kwamba wapinzani wa kitanzania hawaheshimu uhuru wa mawazo tofauti na wanayotaka wao kuyasikia.
Ukiwasifia...
Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amewataka viongozi wa dini kutoa azimio la kuunga mkono jitihada zinazofanywa na Rais wa Tanzania, John Magufuli.
Amesema miaka minne tangu Magufuli alipoapishwa kuwa Rais amefanya mambo makubwa ambayo hawakuyategemea. Ametoa kauli hiyo leo...
Wasalaam, Leo viongozi wetu wa dini wametoa maono hatujui kama yametoka kwa mungu au kwa shetani kikubwa ni ushauri waliotupatia watanzania kwamba tuwapuuze vyama vya upinzani hasa vile 7 vilivyosusia uchaguzi wa Nov 24 na kwamba tukapige kura kwa wingi kuipigia CCM ili hali CCM wenyewe...
Imekuwa ni kawaida sana kwa viongozi wetu wa dini kutuhamasisha kutumia haki zetu kama raia wa Tanzania kushiriki katika chaguzi mbalimbali kuanzia kujiandikisha kupiga kura na hata kuchagua viongozi tunaowataka.
Wakati wa zoezi la kujiandikisha kupiga viongozi hawa wa dini walituhamasisha...
Ni katika ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere.
Karibu!
Kardinali Pengo na Sheikh wa mkoa kwa niaba ya Mufti wanauombea mkutano huo.
Sasa viongozi wa dini wanaangalia mkanda wa video unaomuonyesha RC Makonda akitolea ufafanuzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo.
======
Mkuu wa Mkoa wa Dar...
Kiongozi mkuu wa Taasisi ya kupambana na Rushwa Uganda Bi. Edith Nakalema amewaomba viongozi wa dini kusaidia katika harakati za kukemea rushwa nchini Uganda.
Kiongozi huyo akiwa amehudhuria ibada ya Jumapili katika kanisa la Mtakatifu Paulo lililopo Mulango Jijini Kampala, amesisitiza kuwa...
Kila kona unayotembelea ndani ya nchi hii, hakuna habari nyingine unayokutana nayo, bali ni malalamiko ya vyama vya upinzani, kufanyiwa hila katika zoezi la uchaguzi wa serikali za mitaa, kwa kuenguliwa wagombea wake kugombea katika uchaguzi ujao unaotarajiwa kufanyika hapa nchini, tarehe 24...
Kuelekea uchaguzi serikali za Mitaa mwaka na Uchaguzi mkuu mwakani, Wazee na Viongozi wa Dini watakiwa kutumia nafasi zao katika jamii ili wapatikane Viongozi bora kwa lengo la Maendeleo ya Taifa.
Hata hivyo wazee hao wamesema Wananchi wamekuwa wakikata tamaa kutokana michakato ambayo imekuwa...
Habari za kushinda.
Hapa majuzi nimesika Habari iliyonifanya kushtuka sana kimawazo juu ya huko tunakoelekea. Habari yenyewe ilikuwa ni juu ya papa wa roma kutoa kibali kwa mapadre wa jamii moja huko amerika kusini kuoa na kuzaa watoto. Ni habari inashtusha sana endapo itaendelea kutokea katika...
KAULI ZA KIPUUZI ZA VIONGOZI WA KISIASA DHIDI YA VYOMBO ZA DINI ZINAPASWA ZIPINGWE VIKALI
Na: Shujaa Charles Richard Mwaisemba (CRM)
Kwa muda mrefu sasa imeanza kuzoeleka na kuonekana ni desturi kwa viongozi wa kisiasa hasa hawa Ma-DC na RC(Wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa) kutoa...
Naomba kujua kutoka kwa waumini wa huyu mchungaji Mgogo, je ni mchungaji wa dini au ni mtia hamasa(motivational speaker) wa dini?
Hua naona watu wengi wanapenda kuweka video clips za mahubiri yake kwenye social media statuses ila hakuna mahala au sijawahi kusikia akinukuu vifungu vya dini yake...
Akili ya mwanadamu inamuwezesha kungamua uwepo wa muumba wa viumbe vyote hapa duniani, uelewa juu ya muumba unaletwa na dini mbalimbali hapa duniani. Lengo la kuandika waraka huu ni kutaka kuonyesha kwamba hakuna haja ya kubishana dini ipi ni bora kwa sababu zote zinabeba ujumbe mmoja...
Historia kuu inayozingatiwa kuhusu hesabu za miaka ni ile yenye mlengwa wa kidini. ambapo historia hiyo inasema miaka 2019 ilianzia mwaka 1 ambapo Yesu kristo alipozaliwa kwa mujibu wa Dionysius Exiguu.
Hesabu hii haikuwa na uhakika na ilikuwa kimakadirio tu ya bwana Dionyius. Sababu kuu ya...
Habari Wana JF
Nilipenda sana huu uzi ukae jukwaa la Jamii Intelligence
Lakini nimeshindwa kutokana na matatizo tunayofanyiwa kule kila uzi ukiuweka unakuwa sio approved na ukizingatia uzi unakuwa hauna shida yoyote, basi wacha tukutane hapa hapa tu.
Sasa naendelea na hoja
kama kichwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.