dini

  1. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa: Biblia na viongozi wa dini wasitumike kupumbaza watu

    Hakika nimemuelewa sana Peter Msigwa. Kuna viongozi wa dini muda wote ni kusifu tu, hata pale yanapotolea mambo ya hovyo hutawasikia wakikemea. Wale wachache wanapokemea wanaitwa wachochezi na wanaingilia siasa. Waacha unafiki. Wanapopata fursa ya kukutana na viongozi wasifie na kuonya,huo ndio...
  2. J

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tume imekataza Viongozi wa Dini kuwa waangalizi wa Uchaguzi Mkuu 2020. Chaguzi zote tangu 1995 viongozi wa Dini walishirikishwa

    Jamani habari ya mjini ndiyo hiyo. Tangu uchaguzi wa 1995 viongozi wa Dini wamekuwa waangalizi wa uchaguzi mkuu. Lakini uchaguzi wa mwaka huu Tume imeamua viongozi wa Dini wasishirikishwe. Nilitegemea kwamba ili malalamiko yasiwepo basi waangalizi walipaswa kuwa wengi. Waswahili tena msemo...
  3. Dam55

    JamiiForums Tanzania Bernard Membe: Nikiapishwa kuwa Rais wa Tanzania viongozi wote wa dini (mashekhe) watarudishwa Zanzibar

    Kauli hii ina maana gani kwamba ni ahadi ya Mh Membe kuwa atakaposhinda kiti cha Urais na kuapishwa basi siku inayo fuata viongozi wa dini watarudishwa Zanzibar. Hapa anamaanisha mashekhe wa uamsho ama ni viongozi wepi hao? Na je kurudishwa Zanzibar tu ama kuachiwa huru kabisa mbona ameweka...
  4. n00b

    JamiiForums Tanzania Kanuni mpya za Maudhui ya Mtandaoni: Wenye 'channel' na tovuti za dini nao kusajiliwa

    Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta (EPOCA), Namba 3 ya mwaka 2010 inamruhusu Waziri kuleta Kanuni za kusimamia maudhui ya mtandaoni. Waziri mwenye dhamana ya Mawasiliano amesitisha matumizi ya Kanuni za Maudhui ya Mtandaoni Namba 133 ya mwaka 2018 zilizochapishwa mwaka mnamo Machi...
  5. P

    JamiiForums Tanzania Chonde chonde viongozi wa Dini zote

    Tarehe 28/10/2020 ni siku ya uchaguzi mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Hofu yangu ni mambo yanayoweza kujitokeza siku hiyo kuanzia saa1 jioni giza likiishaingia. Huenda kukawa na vurugu kubwa katika vituo vya kupigia kura maana kutakuwa na kunyang'anyana kura, kubadilisha matokeo...
  6. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Napinga viongozi wa dini kukutana kwa lengo la kuelezea kinachoitwa mafanikio ya Rais Magufuli, hii ni kampeni na haikubaliki

    Taarifa hii imetolewa na Alhaji Musa Salum ambaye ni Sheikh wa Bakwata wa Mkoa wa Dar es Salaam, kwamba eti viongozi wa dini wanatarajia kukutana tarehe 30 July jijini kwa lengo la kuelezea mafanikio ya serikali ya awamu ya 5! Taarifa inazidi kueleza kwamba Mgeni Rasmi atakuwa Waziri Mkuu...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini BAKWATA inashindwa kumpa miongozo sahihi kiongozi wa dini Sheikh Ponda?

    BAKWATA ndio chombo cha juu kabisa cha waislamu nchini Tanzania kikiongozwa na Mufti. Hizi taasisi nyingine ni jumuiya tu lakini chombo kikuu chenye utambulisho wa kuwawakilisha waislamu kitaifa ni Bakwata. Ndio maana hata kwenye Bunge la Katiba waislamu nchini Tanzania waliwakilishwa na...
  8. Superbug

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Dini ishurutisheni Serikali ijisafishe suala la Lissu kama inasingiziwa

    Viongozi wa dini mpaka sasa ishu ya Lissu vs Serikali mmeikalia kimya huku kila upande ukijihisi una haki. Mpaka Sasa Lissu ni mshindi kwasababu hana kosa lililompasa kuuwawa katika mazingira Yale. Na Wala hana kosa lolote lililomstahili kifo. Binafsi sijamsikia igp siro akisema lolote ila...
  9. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Siasa na Dini haviwezi tengamanishwa

    UHUSIANO KATI YA SIASA ZA TANZANIA NA DINI-PART1 Kwa Muda mrefu Kumekuwepo na Wanasiasa Uchwara wasiojua Maana ya Siasa na dini na kudanganya Umma Kwa Kuwaita Viongozi wa dini wanaoongelea mambo ya Siasa kuwa wanachanganya Dini na siasa.Upepo Huo umeshakaa Akili Mwa watu wengi wasielema maana...
  10. J

    JamiiForums Tanzania GE2020 RC Makonda: Viongozi wa dini ombeeni uchaguzi ili tupate viongozi Watakatifu wa kumsaidia Rais Magufuli na watoa kafara wasifurukute

    Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amefanya kikao na viongozi wa dini kupitia jukwaa lao la Kamati ya maridhiano. Makonda amewataka viongozi hao wa dini kuuombea uchaguzi mkuu ili wakapatikane viongozi watakatifu watakaomsaidia Rais Magufuli katika awamu yake ya pili ya uongozi. Makonda amesema...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Mbunge Sungura: Namtakia Mhe. Mbowe uponyaji wa haraka, nawaomba wabunge wenzangu tuwe watu wa dini tutakiane mema siyo mabaya

    Mbunge wa CHADEMA aliyehamia CUF Mhe. Sabrina Sungura amemtakia Mhe. Mbowe uponyaji wa haraka na kusema hiyo ni mitihani tu na Mungu atamjaalia kuishinda. Sungura amewataka wabunge wenzake wawe washika dini kwa kutakiana mambo ya heri badala ya kuombeana vifo. Amesisitiza kuwa Mungu hapendi...
  12. kavulata

    JamiiForums Tanzania Wakati wa kuhamishia Afrika iwe Makao Makuu ya dini zote duniani umefika

    Mungu kupitia COVID-19 ameonyesha kuwa makao makuu yake yako Africa. Inawezekana ameyahamishia Africa kutoka huko yalikokuwa awali au yalikokuwa yako Africa muda ila dunia ilipotoshwa na wajanja. Hata Mimi nilikuwa nikishangaa na kumshangaa Mungu muumba, kwanini makao makuu ya dini yawepo...
  13. chiembe

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya dola viwachukulie hatua wanaofanya uchochezi kwamba katika nchi isiyo na dini, mkuu hawezi kuhutubia taifa kanisani

    Kuna watu wana chokochoko, wakiona maji yametulia,wanayakoroga,almuradi tu hawapendi amani na upendo ndani ya taifa Kuna watu wa ule upande mwingine wanasema hawawezi kusikiliza au kupokea na kuangalia maagizo yanayotolewa kanisani kwa njia ya hotuba. Wanasingizia kwamba wao sio wa dini hiyo...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kutumia dini kama kichaka cha kukwepa wajibu hakutotusaidia

    Mwalimu Nyerere alisema kuwaasa viongozi kuwa kwa kiongozi kuwa aware na mambo ya dini nchini mwake ni jambo zuri lakini asijisahau na kuzama huko. Imezuka Tabia sasa nchini mwetu, viongozi wanakwepa wajibu wa kutoa uongozi sahihi katika masuala mbalimbali na kutokana na kutowajibika huko...
  15. The Boss

    JamiiForums Tanzania Askofu Josephat Mwingira awataka waumini kuvua barakoa

    Watu kama hawa kina Mwingira si wauaji wa halaiki? Why wanaachwa?
  16. M

    JamiiForums Tanzania Uteuzi wa Dkt. Mwigulu Nchemba: Siasa, Dini na Gonjwa la Corona

    Siku tu Dkt Mwigulu alipodai kesi mpya za wagonjwa wa corona zisitangazwe na akashambuliwa sana mitandaoni basi nikajua Dkt. Mwigulu anakijua atendacho. Nikakumbuka ndugu mmoja aliyenidokeza kuhusu Dkt. Mwigulu tangu akisoma Sekondari Mazengo alivyokuwa akitaka cheo ni lazima akipate, atatumia...
  17. Mindi

    JamiiForums Tanzania Kuwakemea Viongozi wa Dini, Magufuli Ameweka Rekodi Mpya

    Nimemsikiliza Rais Magufuli, akihutubia taifa baada ya kumwapisha Waziri mpya wa Katiba na Sheria, Mwigulu Nchemba. Kuna mengi aliyoongea JPM ambayo yanavutia mjadala. Mimi nijikite kujadili kwa kifupi alichosema Rais kuhusu Imani, Biblia na Viongozi wa Dini. Nianze kwa kumtahadharisha Rais...
  18. Lakunle

    JamiiForums Tanzania USHAURI TAFADHALI:mke kagoma kubadili dini yake

    Wasalaam wandugu... Kabla sijamwoa alinijua kuwa Mimi ni muislam,aliniahidi kubadili dini ila nimpe mda.maisha yamesonga miaka imepita tumejaaliwa kuwa na familia Siku za hivi karibun mwenzangu nikaona amenunua kitabu Cha tenzi za rohoni ...baada ya chakula cha jioni anaanza mapambio...
  19. B

    JamiiForums Tanzania Kila mtu kwa nafasi yake tutendeane haki kuhusiana na janga hili la COVID-19

    Haieleweki hawa watu ambao wamependa kusema serikali iko makini au wapo makini kuudhibiti ugonjwa huu wana maana au nia gani na taifa hili. Watu hawa, hawakuweza kuuzuia ugonjwa kuingia nchini wala hawana mpango wowote thabiti uliowazi wa kuudhibiti ugonjwa huu usisambae. Matokeo yake ugonjwa...
  20. J

    JamiiForums Tanzania Chadema wataka Television ya taifa (TBC) iwe inarusha ibada mubashara siku za Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ili kuepusha misongamano Ibadani

    Chadema imesema ni wakati sasa wa Runinga ya taifa kuwatumikia Wananchi kwa kuwapa fursa ya kufuatilia Ibada mubashara wakiwa majumbani mwao. Hayo yamesemwa na mbunge wa Geita na Naibu waziri kivuli mh Upendo Peneza alipoongea na waandishi wa habari jijini Dodoma. Upendo amesema Waislamu...
Back
Top Bottom