Kwakweli katika mambo ambayo naona ni doa kubwa katika Nchi yetu kwa mwaka huu wa 2020 na pengine miaka hii mitano yote ya utawala wa Rais Magufuli ni namna viongozi wa dini walivyoufyata mkia mbele ya dola kandamizi. Ukiwatoa viongozi wachache Kama MWAMAKULA na BAGONZA pengine na wachache...
Katika kampeni zinazoendelea, tumeona sasa hata nyinbo za kisukuma zinatumika kueneza sera za chama. Kwa nini wa-TZ wanaanza kuona lugha za kienyeji ni muhimu kuliko ujumbe wa kitaifa? Je ni kufurahisha nafsi ya mkuu wa nchi bila kujali umma unaotawaliwa? Si mara ya kwanza. Kuna wakati...
Inakuwaje wanaJF!
Ni rahis sana kwa mkristo kuwa Muislam kuliko Muislam kuwa Mkristo kwasababu kwa wakristo wengi kuna uhuru na siyo kulazimishwa na hakuna kutishiwa kuuwawa kama kwa Waislam ulibadilisha dini.
Ndio maana kuna msemo wa wale waliobadilisha dini kutoka uislamu hadi Ukristo...
Ninaomba ufafanuzi kidogo kuhusu hawa Viongozi wa Dini ambao huongoza dua na maombi kwenye mikutano ya kisiasa.
Ninachojua mimi ni kwamba, hawa ni viongozi wanaoongoza waumini wenye itikadi tofauti ndani ya madhehebu yao, chaajabu ni kwamba ukisikiliza Sala na maombi yao unakuta badala ya kua...
Sina shida na Wewe katika 'Utendaji' wako na unajitahidi japo 'Kibinadamu' bado kuna maeneo mengine hujaweza 'Kukamilisha' na pengine Watanzania tunaokuamini na hata wale waliokuwa hawakuamini nao kwa pamoja katika Uchaguzi huu Mkuu ujao wa tarehe 28 Mwezi Oktoba tukikupa tena 'ridhaa' zetu na...
Na ASHA BANI -DAR ES SALAAM
WAKALA wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) umezitaka bodi za wadhamini wa taasisi zaidi ya 100 ambazo hazijafanya marejesho ya wadhamini hadi kufikia Juni, mwaka huu kufanya hivyo mara moja kabla ya hatua kuchukuliwa kwa mujibu wa sheria ikiwa ni pamoja na kuzifuta...
Kwa unyenyekevu mkubwa na hofu ya Mungu naomba niwaulize viongozi wa Dini zote Tanzania je? Wanalionaje Shirika la Utangazaji la Taifa TBC katika utendaji wake?
Mamlaka za uchaguzi ziweke mazingira sawa kwa wagombea woote bila kuegemee upande wowote.
Vyombo vya dola visikubali kutumika kisiasa.
Wagombea mtoe hoja na siyo lugha za matusi
Tukumbuke amani ya Taifa letu ni muhimu sana" .
Siku chache zilizopita mlifanya kongamano la kuliombea taifa kuingia katika uchaguzi mkuu. Mlisisitiza amani, amani, amani. Haya yanayoendelea hamyaoni?
Wagombea ubunge na udiwani kupitia upinzani hasa CHADEMA wameenguliwa katika majimbo zaidi ya 20 kwa uonevu huku tume ya uchaguzi ikikaa...
RAIS ASIZUNGUKWE NA WATU WENYE UKABILA NA UDINI.
Na, Robert Heriel
Tupo katika kipindi cha Kampeni, leo ndio ufunguzi wa Kampeni za Uchaguzi. Huu ni wakati muhimu kwa taifa letu.
Tunachagua viongozi watakaotuongoza kwa miaka mitano.
Tunapaswa tuchague viongozi wasio na dalili za ubaguzi wa...
John Shibuda amezungumza kwenye Kongamano la maombi na maridhiano ya amani lililofanyika Mjini Dodoma. Shibuda amenukuu maneno ya baba wa taifa iliyosema 'watanzania hatuwezi kutatua matatizo yetu kwa kujidanganya hayapo' au kutumia mbinu za kifalsafa za kuyafubaza lakini yapo. Anasema Rais...
WAFUASI WA VIONGOZI WA DINI WANISHUKIA KAMA MWEWE
Na, Robert Heriel
Juzi niliandika makala inayomzungimzia kiongozi wa kidini aitwaye Gwajima. Nikizungumzia baadhi ya kauli zake mbaya ambazo kimsingi ndizo zinanifanya nimuandame, yeye na watu wenye tabia kama zake.
Sikuandika kwa sababu...
Najaribu kuwapima viongozi wetu wa dini kwangu hapa namaanisha wachungaji wa kikristo naona kama wamepotoka na hawalisaidii taifa.
Kwanini?
1. Angalia idara pendwa wakati ipo chini ya RO .
2. Angalia idara pendwa wakati ipo chini ya mchungaji MK.
3. Angalia idara pendwa wakati huu ipo chini...
Ametoa ombi hilo leo Agosti 22, 2020 akiwa anaongea na viongozi wa dini visiwani Zanzibar, kuhusuiana na suala la amani, katika kipindi chote cha uchaguzi ambapo amesema viongozi wa dini ni moja ya wadau wa amani nchini.
"Niwaombe sana kwasababu mnasikia baadhi ya maneno yanayotamkwa na baadhi...
Waheshimiwa Viongozi wetu wa vyama na Wagombea,
Waheshimiwa viongozi wetu wa Dini zote,
Wadau wa uchaguzi.
Amani iwe kwenu.
Wapendwa viongozi wa dini na viongozi wa vyama vya siasa vinavyogombea urais mwaka huu, kwa unyenyekevu mkubwa ninaomba kutoa pendekezo kwenu, ikiwapendeza mkaufanyia...
Wasalaam,
Tarehe 24 viongozi wa dini wanategemea kufanya kongamano kuombea uchaguzi mkuu na taifa hii ni sawa kabisa.
Inasikitisha kuona viongozi wetu hawa wakichanganya dini na Siasa, mnafanya maombi huku mkipigia kampeni CCM haya ni machukizo mbele za Mungu. Mnamwalika mwenyekiti wa CCM...
Shehe wa mkoa wa DSM Alhad Mussa Salum ametangaza kuwepo kwa kongamano kubwa la viongozi wa dini jijini Dodoma kwa ajili ya kuombea uchaguzi na kutoa mwelekeo kwa waumini kuhusu mazingatio wakati wa uchaguzi.
Kongamano hilo litafanyika katika uwanja wa Jamhuri na mgeni rasmi atakuwa Rais...
Mwalimu Nyerere alionya sana tabia za kutumia dini na kabila kwenye kutafuta uongozi wa kisiasa.
Mwalimu alisema, kwenye kipindi kama hiki cha uchaguzi kuna watu hukimbilia kwenye dini na makabila badala ya sera kwenye kusaka uongozi.
Katika miaka mitano iliyopita kumekuwepo na ndoa haramu...
Naomba wahusika waniwie radhi kama nitawakwaza. Nimelazimika kuyasema haya . Siku za hivi karibuni umeibuka utaratibu wa viongozi wa dini kuita vikao wao au kushirikishwa katika vikao na kutoa maneno yanayoashiria kuwa wamepewa kitu kidogo na wenye nacho na hivyo kutoa matamshi yanayotia mashaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.