Uchaguzi 2020 Viongozi wa Dini Mungu anawaona! Yanayoendelea hamyaoni?

Administer

JF-Expert Member
Feb 9, 2020
930
1,408
Siku chache zilizopita mlifanya kongamano la kuliombea taifa kuingia katika uchaguzi mkuu. Mlisisitiza amani, amani, amani. Haya yanayoendelea hamyaoni?

Wagombea ubunge na udiwani kupitia upinzani hasa CHADEMA wameenguliwa katika majimbo zaidi ya 20 kwa uonevu huku tume ya uchaguzi ikikaa kimya.

Baadhi ya polisi nao wanasaidia kufanikisha mpango huu mchafu ni amani gani inayoweza kupatikana bila haki? Mungu uliyehai, Mungu wa kweli nakuomba watu wa namna hiyo uwachukue waje Mbinguni wakae upande wa kuume kwako?

Kinachoendelea sasa Tanzania ni uchafuzi wa uchaguzi.
 
Amani bila haki haiwezekani!Hivi vitu vinaenda sambamba kama utatu mtakatifu.Baba,Mwana na Roho mtakatifu.!"Haki,Amani na Furaha!Huwezi kuomba amani kama haki hakuna,na huwezi kupata furaha kama huna amani!Walipaswa kuhubiri haki kwanza na hayo mengine yangefuata tuu.
Siku chache zilizopita mlifanya kongamano la kuliombea taifa kuingia katika uchaguzi mkuu.Mlisisitiza amani,amani ,amani...
 
Yaani siku hizi nikisia neno padri nafunga masikio:-
(1) zamani ilikuwa ukiona Padri anaangalia juu angani unapata hisia huyu Padri atakuwa anaongea na mungu lakini vipadre vya siku hizi ukiona kinaangalia juu ukikisikiliza story zake utasikia kinasema nchi hii huko juu ni mindege na miflyover m yamejaa kibao ! Hii ni Tanzania mpya na CCM mpya imezaa Chato mpya.

(2) Mapadre wa zamani ukimwona ameinama chini ujue hapo jirani Pana Kaburi anamwombea marehemu au Pana mgonjwa anampa mpako wa mwisho lakini vipadre vya siku hizi ukiona kimeinama ukikisikiliza stori zake kitakuambia dunia nzima hakuna bwawa lenye kina kirefu Kama stiggler's gorge la rufiji na umeoa Ile reli ya SGR inaweza pita hats hapo chini ya mlima! Hawa kina Pombe magufuli,Bashiru Ally na Hamufelii Polepole mungu awape miaka ya kuishi hapa Tanzania Bila kufa.

(3) Mapadre wa zamani walikuwa wanatuambia kuwa ukifiwa iwe hospitali mtu wa Kwanza jumps taarifa awe ni Padre ili afanye Sala ya kufanya Rohit ya marehemu ifike Kwanza reception ya mbinguni lakini vipadre vya siku hizi ukifiwa ukikifata pale parokiani kitakuambia hiyo marehemu wako alikuwa Sio mwanajumuia hatakiwi hapa hats nukta unavyotoka mochwari umeweka mwili wa marehemu nyumbani unawaza kwa mafundisho Yale ya kale inamaana roho ya marehemu haitaenda reception ya mbinguni ghafla unasikia kengele ya tamtam ya kanisani ikiwaita waumini kuwa Kuna misa saa hizi unaamu kwenda pale parokiani unaingia kanisani ghafla baada ya misa mnaambiwa parokia hii leo sadaka ya pili itakuwa kucha ujenzi wa msikiti Sasa nachanganyikiwa huu msikiti upon jumuia gani?

Nataka kuuliza nikakumbuka Sasa hivi tunajumuia za kina Bakita,Mashahidi wa Uganda walimfia Yesu nikajua inawezekana Sasa hivi tuna jumuia mpya ya Mashahidi wa chamwino watamfia fisiemu!

Nikarudi msibani nikakutana mzee mmoja akanifariji nilipomwambia kilichinikuta kwa kiparoko akasema achana nao hao siku hizi mungu ili akupokee direct mbinguni hakikisha msiba wako unapata waombolezaji wa kujaa kwenye fuso hapo mungu anajua marehemu aliishi vyema duniani hautapata pingamizi la kuingia mbinguni lakini ukipita kwa paroko noma mbinguni hata ukisema nilikuwa jumuia gani sijui mungu atakwambia mbona hujaja na sick sheet au pf3 kurudi kuchukua duniani ni kimbembembe ukimwambia mungu akutafutie mtu akuletee hizi sick sheet au pf3 utasikia na wife nae amendei mungu so anakuchagulia mwenye dhamana ya kushika hizi document!

(4) Hapo nikakumbuka mwanachadema mmoja mwaka2005 alivyoniambia hii kura ya uraisi kwa Dr slaa ni kulinda chama chetu tu hii mijitu iliyosomea upadri wa Karne hii kwa kuwa yaishi kwa kulishwa sadaka angalia sana Haina dhamana unamkumbuka li mkapa ( rip) lilisomea upadri likasepa kuvaa kanzu cheki livyokuwa na roho stock Kama nini!
 
Siku chache zilizopita mlifanya kongamano la kuliombea taifa kuingia katika uchaguzi mkuu. Mlisisitiza amani, amani, amani. Haya yanayoendelea hamyaoni? Wagombea ubunge na udiwani kupitia upinzani hasa CHADEMA wameenguliwa katika majimbo zaidi ya 20 kwa uonevu huku tume ya uchaguzi ikikaa kimya...
Chadema mtahangaika na kila taasisi na kila mtu mwaka huu mnalialia tu wakati wanakuja kwenye majukwaa yenu 2015 ulisema unaanza na Mungu sasa mnaanza na shetani tena wa kishoga mtalia sana
 
Siku chache zilizopita mlifanya kongamano la kuliombea taifa kuingia katika uchaguzi mkuu. Mlisisitiza amani, amani, amani. Haya yanayoendelea hamyaoni? Wagombea ubunge na udiwani kupitia upinzani hasa CHADEMA wameenguliwa katika majimbo zaidi ya 20 kwa uonevu huku tume ya uchaguzi ikikaa kimya...
Kuna viongozi wa dini au kuna waiba sadaka tu?

Yaani ujio wa dikiteta umetusaidia kujua kuwa hapa nchini hakuna viongozi wa dini. Wale wachache wamtumikiao Mungu tumewaona. Wengine wote ni majambawazi tu.
 
Yaani siku hizi nikisia neno padri nafunga masikio:-
(1) zamani ilikuwa ukiona Padri anaangalia juu angani unapata hisia huyu Padri atakuwa anaongea na mungu lakini vipadre vya siku hizi ukiona kinaangalia juu ukikisikiliza story zake utasikia kinasema nchi hii huko juu ni mindege na miflyover m yamejaa kibao ! Hii ni Tanzania mpya na CCM mpya imezaa Chato mpya...
Mimi ni mkatoliii nimebatizw ana kupokea kipaimara tangu niwajue hawa wanaojiita mapadre nina miaka 7 siendi kanisani na wala sitoi sadaka. Ni wachumia tumbo tu.
 
Viongozi wa dini kwa nchi hii ni she he ponda na viongozi wa uasho tu waliwekwa NDA mwaka wa 8 huu waliobakia wote niwasakatonge wakwenda kusifia mapambio na kupokea pesa zilizochangishwa kanisani wakapokea eti kujenga msikiti
 
Mimi ni mkatoliii nimebatizw ana kupokea kipaimara tangu niwajue hawa wanaojiita mapadre nina miaka 7 siendi kanisani na wala sitoi sadaka. Ni wachumia tumbo tu.

Hata mie mkatoloki mzuri kabla sijapata kipaimara Kuna kasista Fulani kwenye mafundisho ya kipaimara kaligundua mie Kama mbishi Fulani kwenye mafundisho nikakauliza hivi hizi sanamu mlizotundika mule kanisani mtengenezea udongo gani mbona Sio nzito tukibeba kwenye sikukuu za mtakatifu muhusika?
Jibu kalilo Nipa kale kasista kalisema:-

Hizi sanamu huwa tunatengeneza kutumia ngano na tuna weka hamira kidogo halafu tuna kausha ili mwisho wa dunia ukifika wale watakaofika mbinguni ili mungu asipate tabu kutupikia mikate Zita chukuliwa hizi sanamu na kuchomwa na itakuwa mikate

Wakati kanasema hivi huku mtaani ilikuwa Kila kitu ni foleni mkate,sukari,mie mpaka napata kipaimara sijawahi kuona nyumbani wamenunua unga wa ngano yaani duka la ushirika wanasema unga wa ngano Sio kipaumbele hapa mtaani yaani tulivyokuwa tunapata vitu muhimu kwa foleni tuliamini mwisho wa dunia upo jirani.

Nikaamua kumuuliza baba yangu kuhusu zile sanamu Kama ni za ngano na zinangoja mwisho wa dunia akanijibu wewe ukipata hicho kipaimara achana nao hao Kwanza hujiulizi mbona Hawa mapadri kwenye foleni ya sukari unga hawapo wanapata wapi mahitaji akamalizia kuwa hao mapadri na CCM Lao Moja ikitokea sukari unga wanagawana wao Kwanza ndio tunaletewa iliyobaki tukae foleni
Nilvyopata kipaimara nilishukuru mungu
 
Siku chache zilizopita mlifanya kongamano la kuliombea taifa kuingia katika uchaguzi mkuu. Mlisisitiza amani, amani, amani. Haya yanayoendelea hamyaoni?

Wagombea ubunge na udiwani kupitia upinzani hasa CHADEMA wameenguliwa katika majimbo zaidi ya 20 kwa uonevu huku tume ya uchaguzi ikikaa kimya.

Baadhi ya polisi nao wanasaidia kufanikisha mpango huu mchafu ni amani gani inayoweza kupatikana bila haki? Mungu uliyehai, Mungu wa kweli nakuomba watu wa namna hiyo uwachukue waje Mbinguni wakae upande wa kuume kwako?

Kinachoendelea sasa Tanzania ni uchafuzi wa uchaguzi.
The so called viongozi wa dini ni washenzi wakubwa! Wajasilia dini , wahuni takataka tupu!
 
Hebu tusubiri tume itabgaze majina rasmi ya wagombea na walioenguliwa halaf tujue hatua za kuchukua!
 
Wengine ni waoga tuu. Wakisema kweli wanatishwa, wanawekwa lupango, wanaambiwa siyo raia
 
Siku chache zilizopita mlifanya kongamano la kuliombea taifa kuingia katika uchaguzi mkuu. Mlisisitiza amani, amani, amani. Haya yanayoendelea hamyaoni?

Wagombea ubunge na udiwani kupitia upinzani hasa CHADEMA wameenguliwa katika majimbo zaidi ya 20 kwa uonevu huku tume ya uchaguzi ikikaa kimya.

Baadhi ya polisi nao wanasaidia kufanikisha mpango huu mchafu ni amani gani inayoweza kupatikana bila haki? Mungu uliyehai, Mungu wa kweli nakuomba watu wa namna hiyo uwachukue waje Mbinguni wakae upande wa kuume kwako?

Kinachoendelea sasa Tanzania ni uchafuzi wa uchaguzi.


VIONGOZI WA DINI WAKO JELA KWA KUBAMBIKIZWA KESI ZA KIGAIDI

HAWA TULIONAO WENGI NI NJAA INAWANGAISHA NA MATAMANIO YA NAFSI ZAO
 
Brother

Sio kweli Kwamba hicho chama Cha wachaga wamekatwa majimbo 20.
Ila ni kweli kuwa chama cha wasukuma kinatumia mabavu ya dola kuendelea kutawala
 

Attachments

  • JamiiForums1791349533.jpeg
    JamiiForums1791349533.jpeg
    70.6 KB · Views: 1
Viongozi wote wa dini walioshiriki kwenye kongamano la kuipigia kampeni CCM na mgombea wake wa Urais ni wanafiki tu wapuuzwe
 
Back
Top Bottom