Nimekusoma mdau lakini tatizo baadhi ya vyombo au mamlaka zinajitoaga akili, wao neno HAKI lina maaana kwamba ukioonewa wewe nenda kashitaki subiri mahakama. Kwahiyo bila kuwakumbusha na kuwaambia waache kutumika hawawezi kuelewa.#1 pale kwa maana ya "haki" ndiyo msingi na inameza zote #2, 3, na 4.
Bila #1 sahau yote 2, 3 na 4.
Nimekusoma mdau lakini tatizo baadhi ya vyombo au mamlaka zinajitoaga akili, wao neno HAKI lina maaana kwamba ukioonewa wewe nenda kashitaki subiri mahakama. Kwahiyo bila kuwakumbusha na kuwaambia waache kutumika hawawezi kuelewa.