diamond

  1. Dr am 4 real PhD

    Diamond Platinumz FC

    Niwasalimu wote. Amani ya bwana iwe nanyi. Najua duniani na kwingineko kwingi ligi mbalimbali zimesimama kutokana na jinamizi la Covid 19. Huwa natamani kuona timu yetu ya Taifa na klabu zetu za soka Tanzania zikifanya makubwa Africa. Na ndio maana nikaja na huu uzi "Diamond Platinum FC"...
  2. Waziri wa Kaskazini

    Hii ndiyo gari la mtoto mdogo Diamond Platnumz.. Rolly Royce

    Hii ndiyo gari la mnyama Platnumz, yaani gari itatua Uwanja wa ndege wa Mwl J.Nyerere terminal lll, likiwa ndani ya ndege ya kukodi ya mzingo.. So far, bei ya gari ni sawa budget nzima ya wizara ya Mwakyembe,
  3. Deejay nasmile

    Diamond hajakosea ila kumbuka ulipotoka

    Umetoa kod kwa wasiojiweza, saafi Umejenga msikiti, saafi Umeleta radio, studio, tv, saafi Umefanya matamasha ndani na nje ya nchi, safi Umetuletea maneno mapya kwenye lugha yetu pendwa mfano kitorondo, safi Hujatuletea bob junior kwenye label yako, sio safi Unawaacha akina DJ Mafuvu (nakumbuka...
  4. Miss Zomboko

    Diamond Platnumz aanza kutoa msaada wa kodi ya miezi 3 kwa kaya 500

    Mkurugenzi wa kampuni ya Wasafi, msanii Diamond Platnumz ametoa msaada wa kodi ya pango kwa watu 57 ambao ni wajane, walemavu pamoja na wasiojiweza. Msaada huo ni awamu ya kwanza katika ile dhamira yake ya kusaidia kodi ya pango kwa kaya 500 nchini zilizoathirika kiuchumi na janga la mlipuko wa...
  5. Riz king

    Diamond unapondwa lakini naona Wasafi Media zimewakaba koo watesi wako. Rekebisha mapungufu machache tuizike Clouds

    Mtoto wa Tandale kwa namna mambo yalivo pale Wasafi Media naona kama wiki mbili zilizopita mpaka Clouds Media wakapata mtikisiko na wakaja na visegment vya hovyo sijui eti wanavunja sheria mjengoni, yote hiyo walikuogopa kwa ujio wako kwenye media ila fanya haya kama utaona yana tija ili tuzidi...
  6. H

    Diamond: Tayari tumepata leseni ya kurusha Wasafi FM nchi nzima

    Mkurugenzi Mkuu na CEO wa Wasafi Media Diamond Platnumz kupitia interview aliyoifanya kwenye Sports Arena amefunguka baada ya kuulizwa na Maulidi Kitenge kuhusu Wasafi Media kwenda mikoani. Amefunguka "Mwanzo tulikuwa hatujapa leseni ya Serikali kurushwa redio nchi nzima ila kwa mwaka huu...
  7. Y

    Ushauri kwako Diamond

    Wengi tunakusaport bt hatupendezwi na ulivyomtenga mzee abdul ambae mbegu yake ndo sabab ya wewe kua. Mama mlea mbegu anaishi kifahari bt baba mpanda mbegu anaishi kwa dhiki ajil ya makosa yakibinadam. Tunajua mama anamchango mkubwa kufika ulipo bt tambua mbegu ya mzee abdul ndo chanzo cha...
  8. Babu Kijiwe

    Hivi ni kidude gani alichokiimba Diamond Platnumz hapa?

    Katika kibao chake kiitwacho Baba Lao, nyota wa muziki anayepeperusha vyema bendera ya Tanzania Diamond Platnumz ameimba maneno haya katika moja ya verses kwenye wimbo huo "Eeeh! Tumewachapa (Kidude) Hakichomoki (Kidude) Kimewanasa (Kidude) Wanatapatapa (Kidude)" Hicho kidude anacho kiimba...
  9. H

    Exclusive interview na diamond kwenye kipindi Cha good morning kesho wasafi FM

    Diamond atakuwa kesho kwenye kipindi Cha good morning Cha Wasafi FM kinachorushwa kuanzia saa 11 mpaka saa 2 na nusu Asubuhi kutoa muongozo katika namna ya kupata msaada wake wakulipia Kodi ya miezi 3 kwa familia 500 so stay turned.
  10. sky soldier

    Msanii Diamond Platnumz kulipa kodi ya nyumba ya miezi 3 kwa familia 500 za hali ya chini

    Kuna rundo la watu wenye wasiopenda wema wa kijana wameegamia kwenye fikra potofu kwamba ilibidi huu msaada utoke kimya kimya, Jibu ni "NO" "HAPANA!!!" Kuna misaada inabidi itoke kimya kimya mfano kumsaidia omba omba wa barabarani au kumsaidia ndugu yako kodi, Ila kwa hali ya huu msaada wa...
  11. Dong Jin

    Diamond Platnumz ulichomfanyia Stonebwoy kwenye Black Madonna ni unyama. Sio kwa kumfunika huku

    Kama wewe ni msanii na una mpango wa kutoa wimbo ukamshirikisha huyu kijana wa Tandale inabidi ujiandae vya kutosha. Zaidi ya hapo mwachie tu wimbo uwe wake tu kama alivofanya Innos' B na Yope Remix Hii Black Madonna Stonebwoy ndo anaonekama kama kashirikishwa wakati ni wimbo wake Nimeshindwa...
  12. N

    Kuna siku karma itaongea kwa chuki na fitina anazofanyiwa kijana huyu!

    Habarini! Poleni kwa mtikisiko huu wa korona na Mwenyezi Mungu atuepushe, amina! tuendelee kuchukua hatua stahiki tafadhali! leo ni siku ya 3 kama sikosei nyimbo ya alikiba inatrend namba 01 views ni kama 1.4M. kuna mambo kidogo yananishangaza: 1. Kwanini views za huyu lazima mara zigande au...
  13. Y

    Huyu ndie Diamond Platnumz

    Jina halisi: Nasibu Abdul. Umri: 30 years. Mtanzania maarufu zaidi huko duniani. Kijana mpambanaji zaidi katika historia ya tanzania. Mtanzania anaefuatiliwa zaid dunian kupitia platform na social network. Anamiliki label kubwa zaid afrika. Anamiliki label maarufu zaid afrika. Youtube king...
  14. mbutamaseko

    Toka Harmonize aondoke Wasafi nyimbo za Diamond zimekuwa na tungo za kawaida sana kama sio mbaya. Ni kweli Harmonize alikuwa mwandishi tegemeo?

    Ukifuatilia kwa makini utagundua tu hili. Tazama mashairi ya wimbo kama I miss u wa Diamond unauona kabisa uandishi wa Harmo. Cheki na nyimbo zingine kabla ya harmo kuondoka! Leo unakuja kuimbiwa wimbo kama gere melody mbaya, mashairi ya kawaida sana na ndio maana ulidumu kwa Sikh tatu tu...
  15. F

    Inadaiwa Diamond alitaka kumuoa Hawa wa Nitarejea lakini demu alichomoa

    Halo wadau wa celebrities forum. Nimepata habari sehemu kuwa kijana wa Madale aka Simba, Dangote, sukari ya warembo au Diamond Platinum, alitaka kumuoa Hawa wa Nitarejea enzi hizo, lakini binti alimkataa. Wimbo wa Nitarejea ni moja ya nyimbo ya kwanza za Diamond akimshirikisha binti Hawa...
  16. H

    Diamond aachia kionjo Cha wimbo wake

    Msanii wa Kimataifa kutoka Tanzania Diamond Platnumz a.k.a baba lao wakati akiwa insta live akiwasiliana na mashabiki wake wa nchi tofauti tofauti ikiwemo kujibu maswali ya mashabiki wake akaamua kutoa kionjo Cha Baadhi ya mashairi ya moja ya wimbo wake ambao upo kwenye stoo ya nyimbo zake...
  17. H

    Sabby Angel: Nitamtuliza Diamond

    Msanii wa bongo movie na mwanadada mrembo amefunguka wakati akifanyiwa interview na gazeti la Mwananchi yeye ndio mtu atakayemtuliza Diamond cos asimilia kubwa ya wanawake hasa Hawa maarufu wanampenda Diamond kwasababu ya umaarufu na pesa hawana mapenzi ya kweli lakini pia wauzungu mwingi ni...
  18. mayowela

    Harmonize bado yuko chini ya Diamond, ni Mbinu za Kibiashara tu

    Hisia zangu zinaniambia Harmonize bado yuko mikononi mwa Diamond ila Umma tunaaminishwa katoka ni game well played ila kuwin kibiashara. Hebu tuone hili, hapo awali Harmonize alipokuwa anatoka Wasafi maneno mengi yalizungumzwa na mameneja wa Diamond, Babu Tale na Sallam SK, Ila Diamond hakuwa...
  19. U

    Kilichovunja ndoa ya Diamond na Tanasha ni hiki

    Ni malaika slt, binti kutoka Australia, Mond alipagawa akafa video vixen wa jeje
  20. Influenza

    Diamond Platnumz afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kuharibu nyumba aliyokuwa amepanga

    Mwanamuziki Nassibu Abdul 'Diamond Plutnumz' amepelekwa mahakamani kwa tuhuma za uharibifu wa mali ndani ya nyumba aliyokuwa amepanga kwa ajili ya studio maeneo ya Sinza Kijitonyama kabla ya kuhamia Mbezi, jijini Dar es Salaam huku akidaiwa kodi ya mwezi mmoja. Mali hiyo yenye thamani ya zaidi...
Back
Top Bottom