Wengi huwa nawaambia ukiona mtu na demu wake au mke wanagombana usiingilie kwa kumchamba au kumsema vibaye mwingine au kumuelekeza chuki dhidi ya mmoja no uta ahibika, lazima tuishi kwa kuwaelewa na kuwaombea ipo siku watarudiana.
Niliwahi kwenda kuamua ugomvi wa binam na mumewe nikamlazimisha waachane na arudi nyumbani tukaondoka, badae asubuhi mdada aliamka na kwenda kwa mumewe wakaendelea na maisha ilikuwa ngumu sana kwangu, niseme kwamba Diamond na Tanasha watakuwa walitofautiana kwa kitu kidogo sana ni kitu cha kawaida wote bado wadogo hizi hasira huwa zipo tu.
Hawa wawili watarudiana hivi karibuni. swala la muda tu
Niliwahi kwenda kuamua ugomvi wa binam na mumewe nikamlazimisha waachane na arudi nyumbani tukaondoka, badae asubuhi mdada aliamka na kwenda kwa mumewe wakaendelea na maisha ilikuwa ngumu sana kwangu, niseme kwamba Diamond na Tanasha watakuwa walitofautiana kwa kitu kidogo sana ni kitu cha kawaida wote bado wadogo hizi hasira huwa zipo tu.
Hawa wawili watarudiana hivi karibuni. swala la muda tu