Darkənd (also, Dər, Dar, and Der) is a village and municipality in the Ordubad District of Nakhchivan, Azerbaijan. It is located in the south of the Ordubad-Nakhchivan highway, 15 km in the south-west from the district center, on the right bank of the Gilanchay River. Its population is busy with gardening, vegetable-growing, animal husbandry. There are secondary school and a medical center in the village. It has a population of 500. The ruins of the historical and architectural monuments is in the territory of the village. The tomb, the mosque's minaret, etc. is attracting attention.
Wakuu habariii,
Mwaka huu au mwaka unaofata moja ya malengo yangu ni kuoa, ila mpaka sasa sina binti nayeona kama anafaa kuwa mke wangu kulingana na mazingira labda au wanawake naokutana nao, sasa naomba msaada kwa wamliokuwa nje ya dar naombeni mnisaidie kuniunganisha na ma binti wale waliokuwa...
Yaani Zanzibar wanatunywesha maji ya Chumvi kama Wanyama(Ng'ombe)
Kutoka Dar (Tanzania bara) hadi Kisiwani si mbali.
Wanasiasa wa Zanzibar wanachoweza ni kuzalisha Janjaweed wa kuua watu wanaoandamana bara kupinga tume ya Uchaguzi. Shame on you!
Akili zao eti zinawatuma kujenga daraja la...
Kijana dereva wa bodaboda anayefahamika kwa jina la Brown Anthony ameibua gumzo kubwa miongoni mwa wananchi baada ya kufanikiwa kusafiri kutoka jijini Mbeya hadi Dar es Salaam kwa kutumia pikipiki aina ya Boxer 150 HD yenye namba ya usajili MC 473 FKT, ndani ya saa 10, safari iliyoanzia kwenye...
Moto mkubwa umezuka muda huu katika ghorofa la National Social Security House lililopo karibu na Mnara wa Askari, Posta jijini Dar es SalaamTayari Jeshi la Zimamoto na Uokoaji limewasili eneo la tukio na hatua za kuuzima moto zinaendelea.
Soma pia: Zimamoto wamefika eneo la tukio kufanya...
FLAMINGO SUPERMARKET LIMITED
JOB VACANCIES ANNOUNCEMENT
FLAMINGO SUPERMARKET LIMITED is a growing retail and distribution company committed to excellence in customer service, ethical business practices, and continuous operational improvement. As part of our strategy, we seek experienced and...
Unajua imekua kama kero hivi, yaani miaka inaendaga inarudi ila kila siku Dar es salaam wapo kwenye ujenzi wa barabara. Hivi ni ujenzi wa miundo mbinu gani hii isiyoisha?
Ujue kuna maeneo Dar ukipita unaweza dhani upo mkoani?
Nauliza tu, kwamba Serikali imeshindwa kutenga hata mwaka mmoja au...
FLAMINGO SUPERMARKET LIMITED
JOB VACANCIES ANNOUNCEMENT
FLAMINGO SUPERMARKET LIMITED is a growing retail and distribution company committed to excellence in customer service, ethical business practices, and continuous operational improvement. As part of our strategy, we seek experienced and...
Jioni ya leo baada ya mafuta kuisha kwenye jenereta ilibidi niende sheli cha ajabu nilichokutana nacho wamekataa kunipimia mafuta wanataka nibebe chombo yaani kama jenereta ningelibeba yaani tumefikia huku jamani vidumu hivi vya chuma vina tatizo Gani wakati mwanzoni mlikuwa mnatupimia vizuri...
Jamhuri imepanga leo Jumanne, Januari 13, 2026 kuwasomea maelezo ya mashahidi na vielelezo, wafanyabiashara sita wanaokabiliwa na kesi ya kuwasilisha nyaraka za uongo katika Bandari ya Dar es Salaam na kujipatia zaidi ya Tsh 10 bilioni zilizotokana na shehena ya mafuta.
Hatua hiyo inatokana na...
Anandika John Heche kuwa;
"Chuo kikuu cha Dar es Salaam kwasasa kimegeuka kuwa kama shule ya msingi.
Wakati UDASA wana kongamano lao leo, Dupsa walinialika pia kwa kongamano.
Ajabu ni kwamba sehemu ambayo Inatakiwa kuwa chimbuko la fikra na mawazo wamezuia kongamano hili dakika za mwisho kabisa".
Kwanza nawahurumia Sana.. Maana hata kama watatoa maelezo ya kueleweka na kupangua kesi. Kiasi watakachorudishiwa ni maumivu
Niwapongeze pia wote watakaoshiriki kwenye hiyo kesi.. Ni wakati wa mavuno mazuri
Wana sheria
Watakaopata tenda ya chakula
Watakaowasaidia huko mahabusu wapate huduma...
Duniani kosa vyote usikose akili
Bibi muuaji baada ya kuuwa Watanganyika alijisifia kwa ngebe mbele ya Wazee wa Dar es Salaam kuwa nguvu aliyotumia hadi kuuwa watu ilikuwa sahihi.
Zaidi akawauliza Waliomsema kuua, kuteka na kupoteza watu hasa Marekani na Umoja wa Ulaya "Who are You?" Huku...
Habari zenu wakuu, ninatafuta professional wireless microphone za shure original kabisa kariakoo sijaona anaeuza wengi wanauza shure za kichina, kuna yeyote anaeziuza hapa tanzania? na kwa wazoefu wa hizi mic ni frequency zipi ni nzuri kwa bongo mana kuna
h9(512-542Mhz)
h10(542-572Mhz)...
Dar es Salaam, jiji kubwa na kitovu cha uchumi wa Tanzania, limeendelea kukumbwa na uhaba mkubwa wa maji safi na salama kwa matumizi ya binadamu
Jana nimemsikia Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba akiwa mto ruvu anadai tatizo la maji ni tatizo la kidunia.Pia Waziri wa Maji kwa Nyakati tofautitofauti...
Hizi semi zimekuwa kero mara dufu.
Kulikuwa na trafiki mmoja pale Mbezi Mwisho anazuia haya malori hadi saa 3 au saa 4 ndio anayaachia sasa sijui wamemtoa. Sasa hivi vyuma havitembei.
Hapa kuna nyororo imeanzia Kimara Mwisho hadi Suka.
Bila kucontrol hizi lori hata mkijenga barabara 5 kila...
Habari zenu wakuu, ninatafuta professional wireless microphone za shure original kabisa kariakoo sijaona anaeuza wengi wanauza shure za kichina, kuna yeyote anaeziuza hapa tanzania? na kwa wazoefu wa hizi mic ni frequency zipi ni nzuri kwa bongo mana kuna
h9(512-542Mhz)
h10(542-572Mhz)...
Kwa siku za karibuni imejengeka kasumba ya wanawake wa Dar kwenda maeneo ya public na kutumia usafiri wa umma hali ya kuwa hawavai underwear (chupi) ambazo huwastiri. Tabia hii imekuwa kero hususani kwa wanaume hasa ukizingatia kwamba usafiri wa umma unajaza sana hali inayopelekea baadhi ya...
Habari ya sikukuu wakuu. Kiwanja kinauzwa
🔥Kina ukubwa wa square metres 597
🔥Kinapatikana KISOTA BLOCK 3 Mtaa wa nyuma ya barabara ya Dr Dau.(Ni mtaa ulio oposite na nyumba ya Dr Dau.
🔥Kina hati ya wizara
🔥Ni corner plot yaani kinatazama barabara mbili za mtaa.
🔥Hakina mgogoro wowote kinauzwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.