Biashara ya kusaga unga Dar

Biashara ya kusaga unga Dar

Tanzanite klm

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
480
Reaction score
413
Habari za saa hizi wataalamu. Nina mashine ya kukoboa na kusaga.

Rolla tatu, mota 30hp zote mbili. Toka nianze hii biashara sijapata faida.

Naomba ushauri kwa walio kwenye hii game muda mrefu. Nifanye nini niweze kunufaika na hii biashara?
 
1.Mashine yako iko dar sehem gani
2.Malengo ya mashine yako ni kuwasagia watu mahindi au unasaga sembe yako
3.Soko lako ulilolenga ni lipi na wapi
4.Mahindi unanunua toka wapi na una mtaji wa gunia ngapi
5.Msimamizi wa biashara ni wewe mwenyewe au umemuweka mtu
6.Jengo ni la kukodi au ni lako
Njoo pm tujadiliane zaidi maana me niko kwenye hii industry na hivi karibuni naenda kufungua kinu kingine Chalinze.
 
1.Mashine yako iko dar sehem gani
2.Malengo ya mashine yako ni kuwasagia watu mahindi au unasaga sembe yako
3.Soko lako ulilolenga ni lipi na wapi
4.Mahindi unanunua toka wapi na una mtaji wa gunia ngapi
5.Msimamizi wa biashara ni wewe mwenyewe au umemuweka mtu
6.Jengo ni la kukodi au ni lako
Njoo pm tujadiliane zaidi maana me niko kwenye hii industry na hivi karibuni naenda kufungua kinu kingine Chalinze.
Mkuu naweza kuja PM naona umefunga
 
1.Mashine yako iko dar sehem gani
2.Malengo ya mashine yako ni kuwasagia watu mahindi au unasaga sembe yako
3.Soko lako ulilolenga ni lipi na wapi
4.Mahindi unanunua toka wapi na una mtaji wa gunia ngapi
5.Msimamizi wa biashara ni wewe mwenyewe au umemuweka mtu
6.Jengo ni la kukodi au ni lako
Njoo pm tujadiliane zaidi maana me niko kwenye hii industry na hivi karibuni naenda kufungua kinu kingine Chalinze.
HAIWEZEKANI KUKUTUMIA DM, MAHINDI NACHUKUA MANZESE, NINA MSIMAMIZI, JENGO KUKODI
 
HAIWEZEKANI KUKUTUMIA DM, MAHINDI NACHUKUA MANZESE, NINA MSIMAMIZI, JENGO KUKODI
HAIWEZEKANI KUKUTUMIA DM, MAHINDI NACHUKUA MANZESE, NINA MSIMAMIZI, JENGO KUKODI
Mkuu sina uzoefu na hii biashara ila nilishawahi kulima.

Kwa ushauri ungepata sehemu vijijini unanuna mahindi na kuyaleta Dar ni nafuu mfano

Miaka 2 iliyopita Gunia moja la mahindi lilikua ukilitoa Manga kijiji cha kwanza ukiingia Tanga hadi manzese ni tsh 7000 hii usafiri. Bunju walikua wanafanya 5000
 
Mkuu sina uzoefu na hii biashara ila nilishawahi kulima.

Kwa ushauri ungepata sehemu vijijini unanuna mahindi na kuyaleta Dar ni nafuu mfano

Miaka 2 iliyopita Gunia moja la mahindi lilikua ukilitoa Manga kijiji cha kwanza ukiingia Tanga hadi manzese ni tsh 7000 hii usafiri. Bunju walikua wanafanya 5000
Nasikia Manga kunalimwa sana mahindi na mwezi huu ndo yanaanza kushuka bei.
 
1.Mashine yako iko dar sehem gani
2.Malengo ya mashine yako ni kuwasagia watu mahindi au unasaga sembe yako
3.Soko lako ulilolenga ni lipi na wapi
4.Mahindi unanunua toka wapi na una mtaji wa gunia ngapi
5.Msimamizi wa biashara ni wewe mwenyewe au umemuweka mtu
6.Jengo ni la kukodi au ni lako
Njoo pm tujadiliane zaidi maana me niko kwenye hii industry na hivi karibuni naenda kufungua kinu kingine Chalinze.
Kwani kaka mtaji wake sh ngapi km unataka kuanza kabisa
 
1.Mashine yako iko dar sehem gani
2.Malengo ya mashine yako ni kuwasagia watu mahindi au unasaga sembe yako
3.Soko lako ulilolenga ni lipi na wapi
4.Mahindi unanunua toka wapi na una mtaji wa gunia ngapi
5.Msimamizi wa biashara ni wewe mwenyewe au umemuweka mtu
6.Jengo ni la kukodi au ni lako
Njoo pm tujadiliane zaidi maana me niko kwenye hii industry na hivi karibuni naenda kufungua kinu kingine Chalinze.
Kaka naomba mawasiliano yako
 
Back
Top Bottom