Tanzanite klm
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 480
- 413
Habari za saa hizi wataalamu. Nina mashine ya kukoboa na kusaga.
Rolla tatu, mota 30hp zote mbili. Toka nianze hii biashara sijapata faida.
Naomba ushauri kwa walio kwenye hii game muda mrefu. Nifanye nini niweze kunufaika na hii biashara?
Rolla tatu, mota 30hp zote mbili. Toka nianze hii biashara sijapata faida.
Naomba ushauri kwa walio kwenye hii game muda mrefu. Nifanye nini niweze kunufaika na hii biashara?