dar

Darkənd (also, Dər, Dar, and Der) is a village and municipality in the Ordubad District of Nakhchivan, Azerbaijan. It is located in the south of the Ordubad-Nakhchivan highway, 15 km in the south-west from the district center, on the right bank of the Gilanchay River. Its population is busy with gardening, vegetable-growing, animal husbandry. There are secondary school and a medical center in the village. It has a population of 500. The ruins of the historical and architectural monuments is in the territory of the village. The tomb, the mosque's minaret, etc. is attracting attention.

View More On Wikipedia.org
  1. jimama26

    JamiiForums Tanzania RC Chalamila, Dar es Salaam imekushinda, inakuwaje kuna foleni kiasi hiki huchukui hatua?

    Inasikitisha sana kuona hali ya foleni jijini Dar es Salaam imefikia kiwango hiki. Haiwezekani mtu kukaa sehemu moja kwa zaidi ya saa moja bila kusogea. Njia ya kutoka Morocco kuelekea mjini, kupita Serena Hotel hadi uwanja wa ndege, imekuwa ni mateso makubwa – asubuhi na jioni. Kwa wiki nzima...
  2. Isenye

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ingawa Dodoma pamejaa wanawake wanaojiuza, ila ni watamu kuliko Dar

    Habari zenu Nimefika Dodoma nikaopoa kipoozeo flani hivi hapa mitaa ya nkuhungu. Oya,hiki kitoto cha kihehe kina mbunye ya moto na tamu balaa,kinakata mauno kama feni. Kwa kweli wanawake wa Dar inabidi mjitafakari sana kwa huu upinzani ulioibuka huku Dodoma.
  3. figganigga

    JamiiForums Tanzania Dar: Jesh la Zimamoto na Uokoaji, limeopoa miili miwili iliyokua inaelea kwenye Maji huko Stakishari

    Jesh la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Ilala jijini Dar es Salaam, limeopoa miili miwili iliyokua inaelea kwenye Maji katika eneo la Stakishari Ukonga na daraja la Sarenda na kuikabidhi kwenye vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama kwa uchunguzi. Kamanda wa Jeshi hilo Mkoa wa Ilala ,SACF Mabusi...
  4. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Matukio mbalimbali ya ziara ya Rais Paul Kagame nchini Tanzania, Mei 3, 2026

    Matukio mbalimbali katika Ziara ya Kikazi ya Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Paul Kagame, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 03 Mei, 2026. Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Paul Kagame akizungumza na Waandishi wa Habari kufuatia Ziara yake ya Kikazi Jijini Dar es Salaam, tarehe 03 Mei, 2026. Rais wa...
  5. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Samia na Kagame Wakutana Dar

  6. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Nakupongeza Sana Mr Sugu kumzuia mkuu wa Mkoa wa Dar mpenda sifa kupanda jukwaani ili alete siasa uchwara

    Kwanza nakupongeza kuandaa concert ya maana kwa ajili ya MwanaChadema Prof Jay. Nilikuwa nije Dar ili niweze kuhudhuria . Kuna dharula ilitokea na nikafika dar nimechelewa sana. Hivyo sikuweza kuhudhuria. Lakini nakupongeza sana kumzuia huyu kada wa CCM ambaye huwa ni mpenda sifa zisizo na...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mabafu na Vyoo vya Mabibo Hostel kukosa milango ni hatarishi kwa watumiaji

    Habari, Mimi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na pia ni mkazi wa Mabibo hostel. Hii changamoto imekuwa ni kwa miaka sasa. Mabafu na vyoo havina milango na wala hakuna dalili za marekebisho kwa usalama wetu binafsi. Hilo suala ni kero kwa sisi tusiokuwa na makazi zaidi ya hostel...
  8. Damaso

    JamiiForums Tanzania Kuweni Makini na Dar Expart Sales na utapeli wa Pesa Mtandaoni

    Hivi karibuni kumeibuka wimbi jipya la kitapeli ambalo limeacha mamia ya Watanzania wakilia na kusaga meno. Ukiwa unaperuzi Facebook, unakutana na tangazo lenye mvuto wa kipekee: Ukurasa wa "Dar Expart Sales" au "Arusha Expart Sales" unatangaza kuuza bidhaa za ndani kwa bei ya "vunja bei."...
  9. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Road trip update: Dar - Mtwara - Dar | Hali ya Barabara inatisha | Ila nimetumia mafuta ya Tsh 150,000/= tu!

    Basi wakuu nikaenda Mtwara kutokea Dar na kurudi Dar. Trip ilikua ni kupunguza stress za huu mji, na haikua direct, nilienda kwa vituo vitatu jumla, na nilitumia Fit Hybrid. Safari ilianzia Mlimani City Puma pale, nikaweka wese la 100k nikachomoka. Kwasababu ya mvua, AC almost ilikua off na...
  10. radhiya

    JamiiForums Tanzania Apartment For Sale at Dar apartments

    Apartment For Sale in Dar Apartments (Opp Dawasco) at Upanga. -It's 222 SQM (4-bedroom Duplex). -Lower Floor - 1 ROOM + 1 Bathroom (Shared). -Upper Floor - 3 Rooms all en-suite. -Higher floor (9th/10th). Asking price $260,000 NET (Slightly negotiable). Unit title available. Service charge TZS...
  11. E

    JamiiForums Tanzania Safari ya Jenerali Ulimwengu kutoka Ngara hadi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

    Kumekuwa na utata wa wasifu wa mwandishi wa habari mkongwe, Jenerali Ulimwengu, hasa baada ya kutakiw akuomba upya uraia, enzi za Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa. Akizungumza katika mahojiano maalum, Jenerali Ulimwengu anasimulia safari yake tangu alipozaliwa wilayani Ngara mkoani...
  12. R_Breazy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni tips za sehemu nzuri Dar Kwa Outing low budget

    Habari zenyu, poleni na majukumu Moja Kwa moja kwenye pointi, 2024 nlivyoondoka huku dar kulikuwa na kabinti Kwa huo mwaka niliona si vyema kuingia nako kwenye mahusiano, tukawa tu marafiki story story na maswali ya shuleni ya hapa na pale, in short sikuwa na interest nacho. 2026 nimerudi ila...
  13. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Nyumba za Dar zinazouzwa bilioni tano, zinastahili?

    Nimejaribu kuwaza thamani ya baadhi ya nyumba za kuishi zinazouzwa kwenye Jiji la Dar es salaam kama zina thamani inayotajwa, Bado sijapata jibu. Hivi nyumba inawezaje kuuzwa kwa bei ya shilingi bilioni tano kama hakuna dhana ya utakatishaji fedha ndani mwake? Ni thamani ya Hela yetu imeshuka...
  14. BigTall

    JamiiForums Tanzania Maeneo mengi ya makutano ya barabara Dar es Salaam yamejaa askari wenye silaha; nini kinaendelea?

    Leo asubuhi, nikiwa natokea Bunju, nimekuta askari wengi wakiwa wamejaa kwenye mataa ya Tegeta. Pia, kwenye Kona ya Masana walikuwepo kwa wingi wakiwa na silaha, na hata maeneo ya Mwenge wameongezeka zaidi. Najiuliza, kuna nini kinaendelea? Au ni suala la ripoti ya Jaji Chande inayotarajiwa...
  15. R

    JamiiForums Tanzania Mlio Dar, taarifa hii ni kweli by SATIVA

    Naambiwa leo Jiji la dar polisi wenye silaha wametapakaa kila kona. Ni wazi kesho CHANDE Anakuja kuongea visivyoeleweka Usitegemee jipya kesho jiandae kupasuka moyo mara 200..by SATIVA
  16. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Bonde La Msimbazi Jijini Dar Kuwa Sehemu Muhimu Kwa Uchumi Na Mazingira - Prof. Shemdoe

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, amesema Mradi wa Uendelezaji wa Bonde la Mto Msimbazi utaleta mabadiliko ya kweli kwa kubadilisha eneo la bonde la msimbazi ambalo ni hatarishi kwa sasa na kuwa sehemu muhimu kwa...
  17. figganigga

    JamiiForums Tanzania Hivi watu wa Mikoani, Mnakuja Dar kutuchunguza au kutupeleleza?

    Salaam, Yaani watu Mikoani wanajua maisha ya Dar ni sawa na walikotoka. Ndugu anakupigia simu Jumatano saa tano asubuhi. Anakuambia ukamuone kafikia Tegeta, hapo wewe unaishi Gongo la mboto na kazi unafanya Chanika. Usipoenda utalaumiwa mwaka mzima. Basi mumekutana, anaanza...
  18. Quinton Canosa

    JamiiForums Tanzania Kitasa kama hiki nitakipata wapi kwa DAR?

  19. M

    JamiiForums Tanzania Nina Milioni hamsini, naweza kujenga nyumba Dar?

    Wakuu hbr za majukumu, Nina milioni 50, nataka ninunue kiwanja milionin 15, afu milion 30, nijenge nyumba vyumba vitatu, Vipi wadau ntatoboa kweli?
  20. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Akifungua Mkutano Wa Pili Wa Kimataifa Wa WFNS, Aprili 16, 2026, Dar es Salaam

    https://www.youtube.com/live/zvViP7gngNM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akifungua Mkutano wa Pili wa Kimataifa wa Shirikisho la Dunia la Madaktari Bingwa wa Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu, tarehe 16 Aprili, 2026, Dar es Salaam
Back
Top Bottom