KERO Kigamboni Dar: Wazazi waendelea kumsihi mmliki wa shule kumuondoa Mwalimu Mkuu anayeelezwa kuwa na historia ya maadili mabovu

KERO Kigamboni Dar: Wazazi waendelea kumsihi mmliki wa shule kumuondoa Mwalimu Mkuu anayeelezwa kuwa na historia ya maadili mabovu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Wadau, wakiwemo baadhi ya wazazi wa wanafunzi katika shule ya sekondari ya wasichana ya 'Competence Girls' Islamic Seminary ' iliyopo Wilaya ya Kigamboni, Mkoa wa Dar es Salaam wameendelea kutoa wito kwa mmliki wa shule hiyo kumuondoa mwalimu mkuu aliyeteuliwa hivi karibuni, kwa madai ya kwamba mwalimu huyo anadaiwa kuwa na historia ya ukiukwaji wa maadili katika shule nyingine ya sekondari iliyopo Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani, (jina linahifadhiwa), ambapo inadaiwa aliondolewa kazini kufuatia tuhuma za mwenendo usiofaa unaomhusisha na mwanafunzi msichana.

Wadau hao wameendelea kudai kwamba mwalimu huyo tangu aanze kufanya kazi katika shule ya ya wasichana ya 'Competence' amelalamikiwa sana kuhusiana na mwenendo wake dhidi ya baadhi ya wanafunzi, ambapo baadhi ya wazazi wanadaiwa tayari kuhamisha watoto wao kutoka shule hiyo.

Wamesisitiza kuwa ni muhimu kwa uongozi wa shule kuchunguza kwa kina tuhuma hizo na kuchukua hatua stahiki kwa haraka ili kulinda usalama, ustawi na mazingira bora ya kujifunzia kwa wanafunzi, pamoja na kuzuia madhara yanayoweza kujitokeza endapo madai hayo yatabainika kuwa na ukweli.
 
Bila shaka huyo mwalimu ni kobazi, maana shule za kikobazi hupendelea sana kuajiri walimu wa imani hiyo kama chaguo lao la kwanza. Sasa inakuaje huyo mwalimu mwenye maadili ya kikobazi akose maadili ya ualimu?
 
Bila shaka huyo mwalimu ni kobazi, maana shule za kikobazi hupendelea sana kuajiri walimu wa imani hiyo kama chaguo lao la kwanza. Sasa inakuaje huyo mwalimu mwenye maadili ya kikobazi akose maadili ya ualimu?
Anakula kondoo wake!
 
Wadau, wakiwemo baadhi ya wazazi wa wanafunzi katika shule ya sekondari ya wasichana ya 'Competence Girls' Islamic Seminary ' iliyopo Wilaya ya Kigamboni, Mkoa wa Dar es Salaam wameendelea kutoa wito kwa mmliki wa shule hiyo kumuondoa mwalimu mkuu aliyeteuliwa hivi karibuni, kwa madai ya kwamba mwalimu huyo anadaiwa kuwa na historia ya ukiukwaji wa maadili katika shule nyingine ya sekondari iliyopo Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani, (jina linahifadhiwa), ambapo inadaiwa aliondolewa kazini kufuatia tuhuma za mwenendo usiofaa unaomhusisha na mwanafunzi msichana.

Wadau hao wameendelea kudai kwamba mwalimu huyo tangu aanze kufanya kazi katika shule ya ya wasichana ya 'Competence' amelalamikiwa sana kuhusiana na mwenendo wake dhidi ya baadhi ya wanafunzi, ambapo baadhi ya wazazi wanadaiwa tayari kuhamisha watoto wao kutoka shule hiyo.

Wamesisitiza kuwa ni muhimu kwa uongozi wa shule kuchunguza kwa kina tuhuma hizo na kuchukua hatua stahiki kwa haraka ili kulinda usalama, ustawi na mazingira bora ya kujifunzia kwa wanafunzi, pamoja na kuzuia madhara yanayoweza kujitokeza endapo madai hayo yatabainika kuwa na ukweli.
Kwa nini wabongo tunapenda kulalamika chini chini? Jambo kama hili kama ni kweli ni wazazi kwenda shuleni kwa umoja wao na kuwaambia wamiliki face to face. Au kama unashindwa uhamishe mwanao.
 
Ingekuwa huyo mwalimu ni kafiri tungesema haendani na maadili ya kiislam, ni muislam typically, inakuwaje akose maadili ya uislam na akose maadili ya ualimu? Kimsingi mwalimu hatakiwi hata kidogo kuhusishwa na kashfa za mapenzi na wanafunzi wake anaweza kupata demotion na ikibainika ni kweli ana kashfa hizo anaweza kufukuzwa kazi na utumishi na pia kushitakiwa mahakamani kabisa kwa kukiuka miiko na maadili ya ualimu
 
Upande wa pili nako huwa wana wivu sana, jamii ya wivu huona walimu wa kiume hufaidi sana wanafunzi wa kike, wanaona mwalimu anaweza kujichagulia vibinti vikali vikali akaruka navyo, utasikia mwalimu fulani anatembea na wanafunzi wake, kumbe ni wivu tu
 
Poleni sana kwa changamoto ya mwalimu mkuu. Ningeshauri mfanye vikao vya ndani kupitia kamati zenu ili kutatua shida hizo, huku kwenye mitandao ya kijamii mnajiaibisha tu
 

Attachments

  • Screenshot_20260606-134207.jpg
    Screenshot_20260606-134207.jpg
    195.5 KB · Views: 6
Back
Top Bottom