KERO Tatizo la uhaba wa maji Dar

KERO Tatizo la uhaba wa maji Dar

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Baba Ntoto

New Member
Joined
Oct 28, 2020
Posts
2
Reaction score
0
Kuna uhaba mkubwa sana wa Maji maeneo ya Kwa Msuguri, Dar. Ni zaidi ya wiki tatu Sasa maji hayatoki na bili zinaletwa.

Watu tunanunua maji Kwa gharama kubwa.
Au ni mbinu ya DAWASA ili watu wafanye biashara ya maji?

Uhaba wa Maji huku ni zaidi ya Mwanza
AWESO.
 
Eneo ninaloishi ni daresalama hii hii sijawahi kuona maji yamekatika huu mwaka wa tatu na wala si mbezi beach wala kigamboni.

Mbezi na watoto wake, kimara yote, ubungo yote, kinyerezi na watoto wake shida ya maji lazima ikukumbe tu iwe leo ama kesho ipo siku utakuta hayapo.

Hamia Kiluvya ama Kibamba utanishukuru acha kukaa sehemu zenye shida ya maji toka Rais anaitwa Mkapa shida yao huwa ni hiyohiyo
 
Eneo ninaloishi ni daresalama hii hii sijawahi kuona maji yamekatika huu mwaka wa tatu na wala si mbezi beach wala kigamboni.

Mbezi na watoto wake, kimara yote, ubungo yote, kinyerezi na watoto wake shida ya maji lazima ikukumbe tu iwe leo ama kesho ipo siku utakuta hayapo.

Hamia Kiluvya ama Kibamba utanishukuru acha kukaa sehemu zenye shida ya maji toka Rais anaitwa Mkapa shida yao huwa ni hiyohiyo
Ni kweli Kibamba Kuna maji na Kwa sehemu kubwa ndipo wanapoyatoa maji wanayotuuzia. Changamoto ya maji ni kubwa sana Kwa Dar kuliko Mwanza. Watu wananyia maji siasa
 
Back
Top Bottom