benja
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 318
- 196
Nawasalimu
Serikali ya Awamu ya Tano Chini ya Mh. Dr. John Pombe Joseph Magufulu inajitahidi sana kujenga miundombinu nchini ikiwemo barabara. Dhumuni la kuandika uzi huu ni kuelezea ajali ambazo nimekuwa nikizishuhudia katika barabara ya Morogoro jijini Dar es Salaam hususan kuanzia Kimara Mwisho kuelekea Kibamba n.k.
Mkandarasi amejenga ile barabara kwa ustadi lkn kuna step ambayo imeachwa kwa muda mrefu sana ambapo imekuwa ikisababisha ajali nyingi sana. Nimeshuhudia magari, bajaji na bodaboda zikiserereka na kuanguka ama kuacha njia pale zinapojaribu kupanda step hiyo. Mkandarasi huyu aimize namna ya kuzuia magari kupanda step huku kazi ikiwa inaendelea ili kupunguza ajali nyingi zaidi.
Wasalaam!
Mtumiaji wa Barabara ya Morogoro
#TujilindeNaCovid19
Serikali ya Awamu ya Tano Chini ya Mh. Dr. John Pombe Joseph Magufulu inajitahidi sana kujenga miundombinu nchini ikiwemo barabara. Dhumuni la kuandika uzi huu ni kuelezea ajali ambazo nimekuwa nikizishuhudia katika barabara ya Morogoro jijini Dar es Salaam hususan kuanzia Kimara Mwisho kuelekea Kibamba n.k.
Mkandarasi amejenga ile barabara kwa ustadi lkn kuna step ambayo imeachwa kwa muda mrefu sana ambapo imekuwa ikisababisha ajali nyingi sana. Nimeshuhudia magari, bajaji na bodaboda zikiserereka na kuanguka ama kuacha njia pale zinapojaribu kupanda step hiyo. Mkandarasi huyu aimize namna ya kuzuia magari kupanda step huku kazi ikiwa inaendelea ili kupunguza ajali nyingi zaidi.
Wasalaam!
Mtumiaji wa Barabara ya Morogoro
#TujilindeNaCovid19