dar es salaam

Dar es Salaam
Dar es Salaam is the largest city and financial hub of Tanzania. With a population of over five million people, Dar es Salaam is the largest city in East Africa and the sixth-largest in Africa. Located on the Swahili coast, Dar es Salaam is an important economic center and one of the fastest-growing cities in the world.
  1. O

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa hospitali ya magonjwa ya watoto kwa Dar es Salaam

    Ndugu zangu, naomba kujuzwa hospital nzuri ya kutibu magonjwa ya watoto kwa hapa Dar es Salaam. Kijana wangu anasumbuliwa na kifua. Nimezunguka hospital kadhaa bila msaada wa maana. Anayejua tiba au hospital ninayoweza kupata matibabu mazuri, naomba anisaidie.
  2. W

    JamiiForums Tanzania Form one selection Dar es Salaam

    Ndugu wanaJF, Tafadhali naomba ambaye anaweza kunisaidia hizi selection za mkoa wa Dar wanao ingia form one mwaka 2020 zinapatikana wapi siku zinaaisha niko njia panda tafadhali.
  3. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Sasa ni rasmi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul C. Makonda ana Akili, Elimu na Ufahamu mkubwa kuliko Watanzania wote

    Kama kuna Mtu ambaye nilikuwa nabisha na nakataa kabisa kuhusu ‘ Dhihaka ‘ za Watanzania wenye Akili nyingi dhidi ya Uelewa na Uwezo wa Maarifa aliyonayo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul C. Makonda basi nilikuwa ni Mimi GENTAMYCINE ila kwa nilichokisikia leo na Mimi sasa rasmi...
  4. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Dar: Mfanyabiashara wa Tandale afikishwa kizimbani kwa kukutwa na bunduki ya kivita

    Mfanyabiashara ambaye ni Mkazi wa Tandale kwa Tumbo, Ally Makwaya (40) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kwa kosa la kukutwa na silaha ya moto. Mwendesha Mashtaka wa Jamhuri, Saada Mohamed, akisoma hati ya mashtaka mbele ya Hakimu Mwamini Kazema, alidai Januari 7...
  5. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Je, ni kwanini upimaji wa DNA umeongezeka sana kwa Mikoa ya Dar es Salaam, Kilimanjaro na Morogoro pekee?

    Nina Jirani yangu Mmoja ana Watoto Saba ( 7 ) ila hakuna hata Mmoja amefanana nae achilia mbali hata Kufanana na Wazazi wake na Ndugu zake lakini anawapenda kweli kweli. Yaani Mimi nizae na Mwanamke Watoto Saba ( 7 ) kama hao halafu hata Mmoja hajafanana nami kwa chochote kile huyo Mwanamke...
  6. beth

    JamiiForums Tanzania Waziri Jenista Mhagama atangaza punguzo la bei ununuzi wa nyumba za PSSSF za Buyuni - Chanika jijini Dar es Salaam

    Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia, Bunge, Sera, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama (Mb), ametangaza punguzo la bei kwa karibu asilimia 50 kwa atakayehitaji kununua nyumba zilizo katika mradi wa nyumba za gharama nafuu zinazomilikiwa na Mfuko...
  7. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Administrative Assistant at United State Embassy Dar es salaam

    Announcement Number: DaresSalaam-2019-041 Hiring Agency: Embassy Dar Es Salaam Position Title: Administrative Assistant-OSC (Military Security Asst and Training Coord)-(All interested candidates) Salary: TZS TSh37,474,950 Work Schedule: Full-time - 40 hours a week - work schedule...
  8. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Dar es Salaam: Rais Magufuli amemsimamisha kazi kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga

    Rais John Magufuli amemsimamisha kazi Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Richard Abwao na mkuu wa upelelezi mkoani humo, John Rwamulema kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazowakabili. Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Novemba 23, 2019 na msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime inaeleza kuwa...
  9. Sky Eclat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndugu wa James wana jimwambafai Dar es Salaam nyumbani kwa ndugu yao

    James ni mtoto wa pekee kuzaliwa, wazazi wake walikuwa fukara mno na uzazi uliwapa shida. Mama yake alipata ujauzito akiwa na miaka 40+ bahati mbaya alifariki akiwa anajifungua. Ndugu walimsaidia baba James kumlea mtoto mpaka alipofika umri wa kwenda shule. Wakati huo mzee umri umesogea akiwa...
  10. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania TRC yatangaza kurejesha huduma za treni ya abiria kutoka Dar kwenda Moshi

    Shirika la Reli Tanzania, TRC linawatangazia watu wote kuwa safari za treni la biria kutoka Dar kuelekea Moshi zitarejea rasmi mwanzoni mwa mwezi Desemba mwaka 2019 Nauli Dar - Moshi inategemewa kuwa ifuatavyo: - Daraja la tatu Tsh. 16,500 - Daraja la pili kukaa Tsh. 23,500 - Daraja la pili...
  11. Influenza

    JamiiForums Tanzania Dar: Mtu afariki katika Mtaa wa Stakishari kutokana na mvua zinazonyesha jijini humo

    Mvua iliyonyesha leo Alhamisi Novemba 21, 2019 jijini Dar es Salaam nchini Tanzania imesababisha kifo cha Mwenga Agustino mwenye umri wa miaka 78 katika mtaa wa Stakishari. Inaelezwa kutokana na maji yaliyokuwa yamezidi katika eneo hilo, Agustino alikuwa akifanya jitihada za kujiokoa kutoka...
  12. ESCORT 1

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli ajiandikisha kwenye daftari la mpiga kura kitongoji cha Sokoine. Asema amehamia Ikulu ya Chamwino, Dodoma

    Rais Magufuli amejitokeza katika kitongoji cha Sokoine jijini Dodoma kwa ajili ya kujiandikisha kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Baada ya kujiandikisha, amewaambia wakazi wa eneo hilo kuwa kwa sasa yeye ni mwenzao na ameshahamia rasmi kwenye Ikulu ya Chamwino. Hivyo yeye ni mwenzao...
  13. Mtambuzi

    JamiiForums Tanzania Ushauri, Maoni, Mapendekezo na Pongezi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda

    Kwanza ningependa kukupongeza kwa juhudi zako za kutaka kuliboresha jiji letu hili la Dar. Nimekuwa nikifuatilia juhudi zako tangu ulipokuwa mkuu wa wilaya ya Kinondoni. Naamini jitihada zako za kutaka kuboresha wilaya ya Kinondoni ndizo zilizomfanya Raisi akuongezee majukumu kutokana na kuona...
  14. G

    JamiiForums Tanzania Rock City ( Mwanza) vs Mlimani City & City mall ( Dar es Salaam)

    Nimekuwa mtu wa kuja Dar es salaam na kuondoka mara kwa mara bila kufanikiwa kufika ndani ya majengo mawili yaliyondani ya jiji hili la dar es salaam( MLIMANI CITY & CITY MALL). Nashukuru awamu hii nimefanikwa kufika na kutembea ndani ya majengo hayo. kiukweli ni majengo ya kawaida sana katika...
  15. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania New Scholarship Opportunities at The University of Dar es Salaam ( UDSM ) 2019/20 | Deadline: 31st October, 2019

    New Scholarship Opportunities The University of Dar es Salaam ( UDSM ) 2019/2020 NAFASI ZA UDHAMINI WA MASOMO 2019 Overview: The University of Dar es Salaam is the oldest and biggest public university in Tanzania. It is situated on the western side of the city of Dar es Salaam, occupying...
  16. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi ni nani aliyewadanganyeni kuwa ukimuhamisha ' Taahira ' toka Muhimbili Dar es Salaam ataenda ' Kuponea ' Bugando Mwanza?

    Wewe tumekuambia mapema sana kuwa tibiwa Hospitali ya Muhimbili Mkoani Dar es Salaam utapona haraka dhidi ya Ugonjwa wako wa ‘ Pyramid Mwarabu Fever ‘ ukatuona wenye Akili akina GENTAMYCINE ni ‘ Mapopoma ‘ na ukasema kuwa unataka kwenda Kutibiwa Hospitali ya Bugando Mkoani Mwanza ambapo sasa...
  17. Mukulu wa Bakulu

    JamiiForums Tanzania Makao makuu ya Rais yako Dar es Salaam au Dodoma?

    Juzi nilimsikia Mheshimiwa Rais Magufuli akisema amehamia rasmi jiji la vumbi Dodoma na kujiandikisha mtaa wa jirani na ofisi yake na makazi yake yalipo Ikulu ya Chamwino. Lakini kwa siku za hivi karibuni nimekuwa nikimuona Mheshimiwa akiapisha watu Ikulu ya Dar es Salaaam, na leo amepokea...
  18. figganigga

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Samia Suluhu anatarajiwa kumuwakilisha Rais Magufuli katika Mkutano wa 58 wa AALCO

    Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kumuwakilisha Rais Magufuli kuwa mgeni rasmi katika Mkutano wa 58 wa mwaka wa Shirika la Mashauriano ya Kisheria kwa Nchi za Asia na Afrika (AALCO) utakao anza Jumatatu Oktoba 21 hadi 25 jijini Dar es Salaam.
  19. loyalty

    JamiiForums Tanzania Maswali kuhusu Reseller Program ya Amazon

    E-commerce itaenda kuwa mustakabali wa ulimwengu wa biashara na siku zijazo uwezekano wa biashara hii kuwa chini ya kampuni ya Amazon ni kubwa Kutokana na ukubwa wa biashara hiyo ya Amazon, ambayo hurahisisha na kusaidia ufikishwaji wa mizigo mbalimbali kupitia mtandao. Kuanzisha biashara kama...
  20. Tanzanianiano

    JamiiForums Tanzania Usafiri wa Basi from Dar es Salaam to Johannesburg

    Habari wanaJF, Nipo na plan ya kusafiri Dar -Jo'burg kwa bus. Naomba msaada kufahamu yafuatayo: Safari inachukua siku ngapi? Route ipi ni the best kati ya kupitia Lusaka au lilongwe? Nauli ni bei gani, kampuni ipi ya mabasi ipo vizuri? Na kingine chochote cha kuzingatia kwenye safari.
Back
Top Bottom