Mdada96
Member
- Aug 15, 2017
- 76
- 153
Habari zenu wakuu,
Napost humu kwa mana najua kuna watu tofauti tofauti umu ambao wanajuana na watu ,ama wamiliki wa hosptali za binafsi.
Mimi ni muuguzi na mkunga natafuta sehemu ya kujitolea hospitali ama clinic yoyote yenye uhitaji wa waauguzi kwa sasa na nipo tayari kulipwa kama Medical Attendant kwa muda huu ambao nasubiri my lcnc😊😊
Natanguliza shukrani wakuu.
Napost humu kwa mana najua kuna watu tofauti tofauti umu ambao wanajuana na watu ,ama wamiliki wa hosptali za binafsi.
Mimi ni muuguzi na mkunga natafuta sehemu ya kujitolea hospitali ama clinic yoyote yenye uhitaji wa waauguzi kwa sasa na nipo tayari kulipwa kama Medical Attendant kwa muda huu ambao nasubiri my lcnc😊😊
Natanguliza shukrani wakuu.