Kasi ya maambukizi ya Corona licha ya lockdown inadhihirisha Corona si jambo la kibinadamu ni la kiroho zaidi

Mtini

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
1,487
2,344
Nimekuwa nikifatilia kasi ya maambukizi kwa nchi zilizo kwenye lockdown, nimestaajabu sana kuona maambukizi yanaongezeka badala ya kupungua. Kiukweli tulitarajia kuona maambukizi yameisha au kupungua sana, hebu jiulize nawe nchi iko kwenye lockdown zaidi ya miezi mitatu badala ya maambukizi kupungua ndio kwanza yanashika kasi.

Baada ya tafakuri hii nimeamini Corona ni suala la kiroho zaidi kuliko kimwili. Ni wakati muafaka wa mataifa na mtu mmoja mmoja kuachana na mapambano ya kimwili na kuchukua hatua za kumkaribia Mungu ikiwa ni pamoja na kuacha njia zetu mbaya kwa kumaanisha kabisa.

Screenshot_20200624-092329.png
 
Kitu kinachofanana na hiki ulichokisema wewe nimekisikia pia jana akikisema msomi nguli mwana wa Afrika, Prof. Patrick Lumumba wa Kenya. Alisema kwamba possibly kunahitajika utafiti kuweza kujua kwa nini lockdown inakuwa na maambukizi zaidi. Alisema jana kwenye kipindi cha saa 3 usiku Star Tv
 
Back
Top Bottom