Habari JF,
Naomba tufahamishane kulingana na mwongozo wa Wizara ya Elimu, hakuna mzazi atakayelipishwa ada kipindi chote cha Corona ambacho watoto wamekuwa nyumbani, unless unadaiwa huko nyuma.
Ni vipi basi kuna shule zimelipisha wazazi kwa kupunguza mwezi mmoja tu tena kwenye usafiri na sio ada. Na tofauti yake iliyobaki ikagawanywa mara mbili kwa mihula miwili iliyobaki juu ya ada ya kawaida inayotakiwa kulipwa?
Naomba tufahamishane kulingana na mwongozo wa Wizara ya Elimu, hakuna mzazi atakayelipishwa ada kipindi chote cha Corona ambacho watoto wamekuwa nyumbani, unless unadaiwa huko nyuma.
Ni vipi basi kuna shule zimelipisha wazazi kwa kupunguza mwezi mmoja tu tena kwenye usafiri na sio ada. Na tofauti yake iliyobaki ikagawanywa mara mbili kwa mihula miwili iliyobaki juu ya ada ya kawaida inayotakiwa kulipwa?